We jamaa cha kukusaidia kasome kuhusu:
Digital money
Fractional-reserve banking
Correspondent Bank
Hizo huduma za Songesha na nyingine za kutoa mikopo kwenye mitandao ya simu kuna Bank ndiyo zinatoa hizo pesa kwa kupitia leseni walizopewa na BOT.
Bank of Tanzania na Central Banks nyingine kwa kila nchi ndiyo inayoshikilia Digital money, hakuna mtu au taasisi inaweza kujiandikia tu namba kwasababu kila muamala una taarifa (digital signature): kama mtu akitoa/akikopa 10,000 basi ujue hiyo taarifa kuna mahali ni -10,000.
Digital money ni taarifa. Mfano, bank transfer siyo kwamba ni pesa kweli zinatoka account A kwenda B, au Bank A kwenda B: kinachotokea ni kubadilishana taarifa za miamala na zote hizi zinakuwa regulated na BOT/Central Bank.