Benki za Marekani kufeli ni ishara ya nini?

Benki za Marekani kufeli ni ishara ya nini?

Ndio maana waliunda FDIC Kule Marekani wao ndio insuerer wa hiyo kitu benki ikifaik wana take over kuhakikisha wateja wanalipwa pesa zao na kuendesha hiyo benki au kuuza assets za hiyo benki mpaka sintofahamu itakapoisha ,wamefanya hivyo jana kwa Signature bank , ingawa kwa giants kama city banks ,Morgan Stanley , JP Morgan NK wao ni too big to fail ,wao huwa wanapewa" bailout " au fidia na serikali ili kufidia hiyo pesa ya hao wateja , ndio maana kuna mjadala Marekani wa kwanini zinapofail hizo bank ndogo wao wanafilisiwa lakini banks kubwa wao wanapewa " bailout " ambazo ni pesa za walipa kodi ,
Bailout inatolewa na serikali kwa makampuni makubwa kwenye market fulani ili yalinde market nzima. Ulaya serikali hazinaga wivu kwa biashara zao, sio kama sisi huku.
South Korea walikuwa wanatoa bailout kwa Hanjin shipping ili kulinda shipping business iliyokuwa mpya na Hanjin ndio ilikuwa kubwa. Kuiacha Hanjin ife ilikuwa ni sawa na kuacha shipping lines zife, hata hivyo management walikuwa wahuni kampuni ikashindikana na South Korea marais wake wastaafu mara nyingi wanafungwa kwa matatizo yanayotokana conducts za biashara. Au Daewoo nzima inavyolelewa.

Na kampuni nyingine ni matter of national interest. Marekani haiwezi ruhusu shipbuilder kama Huntington Ingalls kufirisika, sasa nani atatengeneza meli kubwa za kivita na aircraft carriers.
Wala Marekani piga ua haiwezi kubali kupoteza market share ya ndege ndio maana Bombardier iliwekewa figisu hadi Wacanada wakaiuza kwa Airbus. Niliyokuwa na wasiwasi nayo ni Embraer ila naona wamejiwahi kujipa security. Na Airbus iko vile kwa sababu ni consortium, Marekani alizembea McDonnell Douglas ikafeli ikanunuliwa na Boeing kwahiyo hakuna mbadala.

Serikali duniani huumia sana kampuni zao kubwa zinapopotea kwenye soko la dunia, Finland maumivu ya Nokia hayawezi isha. Sasa Marekani iwaache wababe kwenye banking kama Chase ili benki moja ifeli iporomoshe uchumi mzima. Mwaka 2008 wale AIG waliokuwa wanaonekana kwenye jezi za Man U muda fulani walikuwa bailed out zaidi ya $80 billion na ndio waliosababisha 2008 Economic Crisis.
Uzuri wa Federal Reserve haifanyagi kazi kisiasa muda ule AIG inakopeshwa tena serikali ilishasema imechoka kukopesha anayekufa afe.
Kwenye COVID-19 nilimuona Jerome Power Chair wa Fed anatangaza stimulus package ya zaidi ya $2 trillion bila kuingiliwa na Rais wala nani serikalini wakati huo tuna Magufuli hapa ananunua ndege mbili serikali nzima inaamia airport kuzipokea.

Na kitu kingine, ili kuondoa risk Marekani haipendi kampuni iwe kubwa kupitiliza au iwe na monopoly. Naamini Marekani haifurahii Apple kukua sana bali inapendelea ingetokea kina AT&T wawe na ushindani pale. Miaka ya nyuma sikumbuki ila ni before WW2 waliivunja Standard Oil ya number one billionaire John D. Rockefeller (mtoto wake alikuwa kiongozi wa New York, mjukuu wake alipotea kwenye misitu ya visiwa fulani akatafutwa hadi na meli za kivita). Standard Oil ilikuwa kubwa kupitiliza, makampuni mengi ya mafuta unayoona leo yana roots kutoka Standard Oil.

Au hata kwenye banking mzee J.P Morgan alikuwa na domination kwenye mabenki na yakavunjwa yanauzwa na kuunganishwa siku hizi mara utasikia JP Morgan Chase, Morgan Stanley
 
Wengi ni huwa hawajui mambo yanspotokea.
Hawaelewi kuwa mwaka 2008 bank zaidi ya 300 zlipitia hali hiyo na bado nchi hiyohiyo iliimarika zaidi, leo bank mbili tu watu wanapishana na vi comment uchwara utadhani wameahidiwa kupigwa mjegeli.
Bila "Bailout" unajua magnitude ya economic Armageddon iliyokuwa inaenda kutokea ? ,Na actually kilichoanzishwa ile collapse kilikuwa ni scenario tofauti na hii , ile ilikuwa ni issue ya mabenki kutoa mikopo kizembe kama wendawazimu kwenye activities za real estate bila kufanya risk analysis ya handler WA mkopo na destination ya hiyo pesa , so watu na makampuni yakakopa pesa kwa kufuru kununua ,kukarabati na kujenga majengo mapya huko Marekani bila kuangalia market dynamics ya real estate Kwa wakati huo na kilichotokea ni mdororo wa real estate market then the dominos followed ,watu wakashindwa kurejesha mikopo wala interests za mortgages then mabenki yakaanza kufail na fear kwa depositor ikaanza watu wakaanza kuwithdraw pesa zao then chaos ,mpaka serikali kupitia federal reserve bank walipoanza kubailot banks, karibia benki zote zilikuwa kwenye huo mnyororo ,nyingine ilibidi zifail kabisa mfano Lehman Brothers , wasingezidhamini hizo jp Morgan's na wenzake walikuwa wanafuata siku si nyingi
 
'When risks don't pay off, investors lose their money. That's how capitalism works'....
Hizi ndio kauli za viongozi sasa.
Hili nalo mkalitazame. Wabongo tumezoea deko na lawama. Ile kutegemea wakifanya fujo, kwenda kwenye media au kulalamika watahurumiwa ndio maana sisi bado ni nchi ya "namwomba Mheshimiwa Rais atutazame". Marekani huwezi leta huo upuuzi wa Rais awatazame, sheria inasemaje ndio muongozo.

Kama pale Magomeni wakazi wa kota wanagoma kutoka au kununua hizo nyumba za serikali wakidai Magufuli sijui ilikuwaje. Ingekuwa nchi nyingine unaanze huo ujinga, unawekewa mnada hapo uone kama nyumba zitakaa hata siku tatu hazijaisha.

Sisi uchumi wetu ni fungua mipaka wakulima wauze chakula chote wabaki watupu, au funga mipaka bei za vyakula zishuke na mkulima abaki maskini. Tafrani
 
Bailout inatolewa na serikali kwa makampuni makubwa kwenye market fulani ili yalinde market nzima. Ulaya serikali hazinaga wivu kwa biashara zao, sio kama sisi huku.
South Korea walikuwa wanatoa bailout kwa Hanjin shipping ili kulinda shipping business iliyokuwa mpya na Hanjin ndio ilikuwa kubwa. Kuiacha Hanjin ife ilikuwa ni sawa na kuacha shipping lines zife, hata hivyo management walikuwa wahuni kampuni ikashindikana na South Korea marais wake wastaafu mara nyingi wanafungwa kwa matatizo yanayotokana conducts za biashara. Au Daewoo nzima inavyolelewa.

Na kampuni nyingine ni matter of national interest. Marekani haiwezi ruhusu shipbuilder kama Huntington Ingalls kufirisika, sasa nani atatengeneza meli kubwa za kivita na aircraft carriers.
Wala Marekani piga ua haiwezi kubali kupoteza market share ya ndege ndio maana Bombardier iliwekewa figisu hadi Wacanada wakaiuza kwa Airbus. Niliyokuwa na wasiwasi nayo ni Embraer ila naona wamejiwahi kujipa security. Na Airbus iko vile kwa sababu ni consortium, Marekani alizembea McDonnell Douglas ikafeli ikanunuliwa na Boeing kwahiyo hakuna mbadala.

Serikali duniani huumia sana kampuni zao kubwa zinapopotea kwenye soko la dunia, Finland maumivu ya Nokia hayawezi isha. Sasa Marekani iwaache wababe kwenye banking kama Chase ili benki moja ifeli iporomoshe uchumi mzima. Mwaka 2008 wale AIG waliokuwa wanaonekana kwenye jezi za Man U muda fulani walikuwa bailed out zaidi ya $80 billion na ndio waliosababisha 2008 Economic Crisis.
Uzuri wa Federal Reserve haifanyagi kazi kisiasa muda ule AIG inakopeshwa tena serikali ilishasema imechoka kukopesha anayekufa afe.
Kwenye COVID-19 nilimuona Jerome Power Chair wa Fed anatangaza stimulus package ya zaidi ya $2 trillion bila kuingiliwa na Rais wala nani serikalini wakati huo tuna Magufuli hapa ananunua ndege mbili serikali nzima inaamia airport kuzipokea.

Na kitu kingine, ili kuondoa risk Marekani haipendi kampuni iwe kubwa kupitiliza au iwe na monopoly. Naamini Marekani haifurahii Apple kukua sana bali inapendelea ingetokea kina AT&T wawe na ushindani pale. Miaka ya nyuma sikumbuki ila ni before WW2 waliivunja Standard Oil ya number one billionaire John D. Rockefeller (mtoto wake alikuwa kiongozi wa New York, mjukuu wake alipotea kwenye misitu ya visiwa fulani akatafutwa hadi na meli za kivita). Standard Oil ilikuwa kubwa kupitiliza, makampuni mengi ya mafuta unayoona leo yana roots kutoka Standard Oil.

Au hata kwenye banking mzee J.P Morgan alikuwa na domination kwenye mabenki na yakavunjwa yanauzwa na kuunganishwa siku hizi mara utasikia JP Morgan Chase, Morgan Stanley
Yeah ! Naelewa mkuu , wana kitu kinaitwa Antitrust policy ,ni moja ya sera ya kupambana na anticompetitive and monopoly practices hata bill gates na microsoft nadhani alishakula rungu mara kadhaa la hii policy , ndio iliyovunja standard oil ile ya akina Rockefeller na kuzaa kampuni kadhaa ambazo ndio zilizozaa hizo Chevron , Exxon NK
Sema raia wa Marekani wanachukia sana serikali kutumia pesa yao kubail out criminal mafioso WA banking cartels , ukizingatia kwanza wao ndio waliofanya ujanja ujanja mpaka wakaunda federal reseve bank , the United states federal reserve Bank is nothing but a carefully and cunningly masked cartel of the bankster working for their interest ingawa iko pale kuvunga kama ina waregulate but it isn't at all ,iko pale kuwalinda wale mamafioso wakubwa akina JP Morgan , Well fargo ,Backlays , Morgan Stanley na Wengine ambao kwanza michezo yao michafu ya kumanipulate market na banking imefanyika miaka mingi na bado wapo.

It seems rules tends to be bent when it comes to banking cartels ,financial mafioso seems to thrives , they engineer collapses and they are the ones who benefits out of all the collapses while the little guys screwed
 
Yeah ! Naelewa mkuu , wana kitu kinaitwa Antitrust policy ,ni moja ya sera ya kupambana na anticompetitive and monopoly practices hata bill gates amekutana na hili rungu mara kadhaa.
Sema raia wa Marekani wanachukiwa sana na serikali kutumia pesa yao kubail out criminal mafioso WA banking cartels , ukizingatia kwanza wao ndio waliofanya ujanja ujanja mpaka wakaunda federal reseve bank , the United federal reserve Bank is nothing but a carefully and cunningly masked cartel of the bankster working for their interest ingawa iko pale kuvunga kama ina waregulate but it isn't at all ,iko pale kuwalinda wale mamafioso akina JP Morgan , Well forgo , Morgan Stanley na Wengine ambao kwanza michezo yao michafu ya kumanipulate market na banking imefanyika miaka mingi na bado wapo
Bahati mbaya mimi ni muumini wa nguvu za watu zaidi. Marekani ilivyo ni nchi iliyoundwa na nguvu za watu binafsi kabla ya institutions kuwepo. Kina Benjamin Franklin wakati wa ujana wao ni mabondia, wamiliki wa watumwa na wafanyabishara ila serikalini walikuwa wazalendo kupindukia. Hao giants wa Marekani serikali inaweza umiza kichwa ikakosa cha kufanya ikawaita kwenye vikao, vile vichwa vikipanga mikakati mara moja unaona tatizo limeisha.

Kwenye matatizo au matukio makubwa ya Marekani unawaona wafanyabishara wakubwa hawa hapa, kwenye foreign policy ya nchi yao unawaona. Hadi vita kubwa duniani wakawa war profiteers Marekani ikienda vitani nao wamo.

Uwepo mfumo wa wazi usio na upendeleo ila unaogusa watu, yeyote aweze kuingia akiwa na uwezo kweli. Mimi ni muumini wa wakiwepo wafanyabishara wengi, watatoa ajira nyingi kwa wasioweza kufanya biashara. Federal Reserve hiyo hapo inalalamikiwa ni genge la watu ila hiyo hiyo ndio ilitoa zaidi ya $2 trillion kama stimulus package ya COVID-19. Sasa taasisi gani duniani ina uwezo wa kutoa trilioni zaidi ya 4000 za Tanzania, quadrilioni 4 hapo. Hizo hela zimeenda kusaidia watu maskini na wa kawaida.

Nchi yoyote inayoendekeza kusikiliza wajinga na maskini hupotea. Na mtaalamu aliyetoa theory kwamba demokrasia ni mfumo wa ovyo kuna namna nakubaliana nae. Tajiri anajua namna ya kumfanya maskini aishi, ila maskini hajui namna ya kumfanya tajiri aishi. Ukiikabidhi nchi kwa maskini mbona hata mwaka hamkai uchumi unafeli. Wajinga na maskini ndio waharibifu namba moja wa uchumi
 
Bahati mbaya mimi ni muumini wa nguvu za watu zaidi. Marekani ilivyo ni nchi iliyoundwa na nguvu za watu binafsi kabla ya institutions kuwepo. Kina Benjamin Franklin wakati wa ujana wao ni mabondia, wamiliki wa watumwa na wafanyabishara ila serikalini walikuwa wazalendo kupindukia. Hao giants wa Marekani serikali inaweza umiza kichwa ikakosa cha kufanya ikawaita kwenye vikao, vile vichwa vikipanga mikakati mara moja unaona tatizo limeisha.

Kwenye matatizo au matukio makubwa ya Marekani unawaona wafanyabishara wakubwa hawa hapa, kwenye foreign policy ya nchi yao unawaona. Hadi vita kubwa duniani wakawa war profiteers Marekani ikienda vitani nao wamo.

Uwepo mfumo wa wazi usio na upendeleo ila unaogusa watu, yeyote aweze kuingia akiwa na uwezo kweli. Mimi ni muumini wa wakiwepo wafanyabishara wengi, watatoa ajira nyingi kwa wasioweza kufanya biashara. Federal Reserve hiyo hapo inalalamikiwa ni genge la watu ila hiyo hiyo ndio ilitoa zaidi ya $2 trillion kama stimulus package ya COVID-19. Sasa taasisi gani duniani ina uwezo wa kutoa trilioni zaidi ya 4000 za Tanzania, quadrilioni 4 hapo. Hizo hela zimeenda kusaidia watu maskini na wa kawaida.

Nchi yoyote inayoendekeza kusikiliza wajinga na maskini hupotea. Na mtaalamu aliyetoa theory kwamba demokrasia ni mfumo wa ovyo kuna namna nakubaliana nae. Tajiri anajua namna ya kumfanya maskini aishi, ila maskini hajui namna ya kumfanya tajiri aishi. Ukiikabidhi nchi kwa maskini mbona hata mwaka hamkai uchumi unafeli. Wajinga na maskini ndio waharibifu namba moja wa uchumi
😆😆😆😆😆hahaaa , uko poa ,kumbe unawafuatilia vizuri hao wazee wa Jerkyl Island ,anyway Ndio wameijenga Marekani hata hivyo so serikali ya Marekani haiwezi pambana na kivuli chake ,ndio maana marais wote waliongia whitehouse walikuwa wanajibaraguza juwa watapambana na hao profiteer cartels WA banking Ila wakaishia kuwapa " bail out " ambayo kiuhalisia ni kodi ya wananchi maana federal reseve si kwamba wanatoa pesa zao , wale wanachukua pesa ya serikali kuu ambayo ni tax revenue ya mwananchi ,maana hata Ile printing ya Zile note amambazo trilioni mbili zilizotolewa kama covid releaf funds Kwa raia na makampuni binafsi kama paychek protection funds ili watu wasipoteze ajira , ile ni printing ya pesa ambazo hazikuwepo swali na walipewa go ahead na treasury ya federal government kitu ambacho financial analysts pia wanasena kilichangia kuongeza mfumuko wa bei huo ambao umeleta hizo effects zote mpaka leo hii hayo mabenki madogo kufail kama sababu kuu , inflation ndio kitu kilicholeta interest rate kubwa then bond price kushuka then fear ya depositor na collapse ya hizo banks so banking cartels ndio beneficiaries WA hiyo scheme mwisho wa siku , they engineer problems that screw small banks and customers & reduce competition from small banks to get big market share for them to profit massively.

Kiufupi hao jamaa familia kumi na tatu zinazo control finance hapo marekani wana historia ndefu sana na ni mamafia haswa ni vile tu ndio hao pia wako behind ya serikali so serikali ya Marekani always wanajaribu kudivert attention Ila hao jamaa ndio wako behind issues nyingi

Federal reserve chairmen wote akina Alan Greenspan ,Ben benankie NK wote wamekuwa vibaraka wa hilo genge la mamafioso ,wanawekwa hapo kupokea maelekezo ya kuwalinda hao watu.

Rais pekee aliyekuwa jasiri wa kwenda nao Toe to toe alikuwa ni JF Kennedy nadhani unajua kilichomkuta , na mdogo wake pia alikuwa attorney na mtu machachari akawa anapiga campaign ya kuingia whitehouse 1968 ili kuwanyooshea hao mamafia ,nadhani naye unajua kilichomkuta huyo Robert Kennedy , kama kaka yake
 
Mambo yanayokuja ni hatari sana. Marekani inaonekana kakalia kuti kavu. Inflation iko juu, akisema apambane nayo kwa kuongeza riba recession inamfuata. Na recession ni mbaya kuliko inflation. Ataacha mfumo ucollapse tuanze upya? Tujipange sana.
 
Bongo benki inafirisika mnakadiriwa kiasi cha kuchukua. Umeweka mamilioni unaambiwa chukua laki tatu ilimradi uonekane umelipwa. Au kama kina Mr. Kuku hela zilikuwepo zaidi ya bilioni moja ila serikali ikataifisha wakati waliozichanga wanajulikana. Bongo nyoso
SIYO KWELI. Benki yoyote ya kibiashara ikipatwa na changamoto ni lazima iwekwe chini ya usimamizi na uangalizi wa benki kuu ya Tanzania, kitendo kinachoitwa, Receivership. Twiga Bancorp ilifanyiwa hivyo na BOT mwaka 2016. Mwaka 2018, iliunganishwa na kuwa sehemu ya Benki ya Posta. Huu ndiyo utaratibu wa benki kuu kuhakikisha, Financial Stability.

Hili hufanyika duniani kote, hata kule Cyprus ambako mabenki yalikwapua zaidi ya asilimia 60% ya fedha za wateja baada ya mtikisiko wa mabenki, kilichoanza kilikuwa ni, Receivership.
 
ile ilikuwa a classic case ya bank induced panic, walipotoa news kuwa wanataka cash injection from equity markets , hedge funds nyingi zilitoa pesa haraka kupelekea collaspe ya benki.

Ila dont read too much into it, isipokuwa credit suisse , all major banks za dunia i.e Jp morgan , BOA , Goldman sachs ukiangalia reports za financial stress tests na liquidity ratios vs leverage portfolio zao wako sawa currently .
Ila risks to tier 2 banks and below bado zipo
Nimeyapenda maelezo yako sana kwenye huu uzi. Umezungumza vitu ambavyo wengi hawajavisema kwenye chambuzi zao, nakupa hongera. Ila kuna jambo ambalo nataka tuwekane sawa kidogo. Haya matatizo yameanza mwaka jana kule visiwani Uingereza, lakini dunia haikutilia maanani. Kinachotokea leo hii ni muendelezo tu, The Domino Effect.

Mabenki yote uliyoyataja hapo juu, Sachs, Morgan na BOA yako kwenye matatizo tangu mwezi wa pili ambapo yalipunguza maelfu ya wafanyakazi. Sachs imepunguza wafanyakazi 3,200, Morgan imepunguza asilimia 30% ya oparesheni zake kule Asia, huku BOA wakipanga kupunguza, Investment Bankers 200 duniani kote. Hayafanyi vizuri na chanzo kikubwa ni riba kupandishwa juu isivyo kawaida. Nadhani hili liwe bayana.

Siku zote The American Financial Economy is propelled by the Stock-Market. The Stock-Market is Backstopped by banks and financial institutions. Meanwhile, banks and financial institutions deeply depend on consumer psychology, which is heavily influenced by The Federal Reserve which is an American Central Bank influencing the economy at macro and micro levels. Like house of cards, clip one and you trigger a chain reaction.

Kiufupi Marekani hucheza ngoma yao hivi. Punguza riba za ukopaji zifike hata 1% au 0%, ili kuhamasisha wananchi wakope fedha sana, kutumia sana na kuwekeza sana. Hili likifanyika mashirika makubwa na watu wanaokopa hupata mitaji ambayo huimarisha soko la hisa. Hili ni muhimu mno kulifahamu. Mabenki ya kibiashara hupata faida nyingi mno kwenye kutoa mikopo na huamua kufanya uwekezaji kwenye Stocks, Mortgage Backed Securities na Sovereign Bonds. Mambo yakikaa vizuri Marekani basi hata kule Ulaya na Asia kwenye masoko ya hisa mambo hukaa vizuri pia.

Likitokea tatizo lolote kama mlipuko wa deni la taifa au uzembe kwenye usimamizi wa uchumi ambao unapelekea mfumuko wa bei, Federal Reserve ikishirikiana FDIC zinaingilia kati kusimamia taasisi zote aidha kupitia, MORAL SUASION au JAW BONE. Mambo yakiwa mabaya zaidi, tunapandisha riba juu kudhibiti mfumuko wa bei. Tatizo huja pale ambapo tunapandisha riba juu halafu hatuingizi chochote, bidhaa au huduma kwenye uchumi ambazo kinaweza kupunguza mfumuko wa bei.

Hili tatizo likiendelea watu hupunguza nguvu ya kukopa fedha kutoka kwenye mabenki, Discourages Borrowing because it becomes too expensive because of high rates. Upande mwingine, It diminishes peoples' savings. Kama unakumbuka tatizo kama hili lilizikumba benki nyingi za Tanzania mwaka 2016-2017 na baadaye kuanzia mwaka 2018 mambo yakaanza kukaa sawa. Riba za kukopa zilitoka asilimia 14% hadi kufika 19% na kwingine hadi 21%, wafanyakazi wakaacha kukopa na mtaani mambo yakawa magumu.

Hili ndilo limewakumba Wamarekani baada ya riba kupanda hadi kufika asilimia 4.65% huku wengine wakisema inaweza kufika 5% mwaka 2023. Wamarekani wengi wameguswa na riba kupandishwa, hivyo hata mabenki hayawezi kufanya vizuri. Riba zimegoma kushuka, serikali inahamia kwenye kununua dhamana zake ili kuongeza hela kwenye mfumo, Quantitative Easing which is crude as printing money illegally. Uingereza alifanya hivi mwaka jana akaangukia pua na IMF ikawakosoa hadharani. Japan naye mwezi uliopita ametangaza kufanya, Quantitative Easing, nasubiri kuona atafika wapi.

Kama ilivyokuwa mwaka 2008 ambapo Lehman Brothers ililaumiwa na kugeuzwa mbuzi wa kafara, ilhali matatizo ya anguko la uchumi la mwaka 2008 yalikuwa na mlolongo mrefu, tokea mwaka 2000. Ilianza, Tech Bubble, September 11 Schock, hadi Abuse of Mortgage Backed Securities lakini hakukuwa na MORAL SUASION wala taasisi za nchi kustuka, walianza kunyooshena vidole bila kuwajibika na mwishowe, BAIL-OUTS.

Matatizo yanayoyakumba haya mabenki kwa sehemu kubwa yamesababishwa na, Covid-19, Contradictory Military Spending on Ukranian War, The Global Oil Inflation, Rising Interest Rates, Dwindling and Disproportionate Wages, Reckless Printing of Money, Reckless Speculation in Tech Industry, The Trump Deregulation Law, Massive National Debt, Massive Corporate Debt and Massive House-Hold Debts. Matatizo ni mengi mno yamejificha, lakini The Last Straw To Break The Camel's Back ni INFLATION.

Janet Yellen kasema hakuna, Bailout kwa haya mabenki, ila hata kama wakiwapa wateja fedha zao tatizo mzizi wa tatizo uko palepale, INFLATION and LOOSE BANKING. Federal Reserve, ikidhibiti mfumuko wa bei itakuwa ni hatu ya kwanza muhimu sana, baadaye waweke sheria nzito kuhakakisha mabenki ya kibiashara hayajiamulii tu mambo kama yatakavyo. Hapa kwetu Tanzania tuko nyuma, lakini benki haziwezi kujiamlia tu, sheria zimekuwa kali mno.

Kuna sehemu naona kuna mtu kazungumzia kuhusu Tanzania. Hili tatizo lisipodhibitiwa huko Marekani Tanzania na Afrika tutie maji nywele. Jana na leo masoko ya hisa ya Ulaya na Asia yametikisika mno mbali na zile mbwembwe za juzi za benki kubwa ya kibiashara ya Uingereza, HSBC kujimilikisha tawi la SVB ambalo liko Uingereza kama mbinu ya kuwatia moyo wateja na wawekezaji. Tena Uingereza kacheza mchezo mbaya ambao kama mambo hayatakaa sawa utamgharimu.
 
😆😆😆😆😆hahaaa , uko poa ,kumbe unawafuatilia vizuri hao wazee wa Jerkyl Island ,anyway Ndio wameijenga Marekani hata hivyo so serikali ya Marekani haiwezi pambana na kivuli chake ,ndio maana marais wote waliongia whitehouse walikuwa wanajibaraguza juwa watapambana na hao profiteer cartels WA banking Ila wakaishia kuwapa " bail out " ambayo kiuhalisia ni kodi ya wananchi maana federal reseve si kwamba wanatoa pesa zao , wale wanachukua pesa ya serikali kuu ambayo ni tax revenue ya mwananchi ,maana hata Ile printing ya Zile note amambazo trilioni mbili zilizotolewa kama covid releaf funds Kwa raia na makampuni binafsi kama paychek protection funds ili watu wasipoteze ajira , ile ni printing ya pesa ambazo hazikuwepo swali na walipewa go ahead na treasury ya federal government kitu ambacho financial analysts pia wanasena kilichangia kuongeza mfumuko wa bei huo ambao umeleta hizo effects zote mpaka leo hii hayo mabenki madogo kufail kama sababu kuu , inflation ndio kitu kilicholeta interest rate kubwa then bond price kushuka then fear ya depositor na collapse ya hizo banks so banking cartels ndio beneficiaries WA hiyo scheme mwisho wa siku , they engineer problems that screw small banks and customers & reduce competition from small banks to get big market share for them to profit massively.

Kiufupi hao jamaa familia kumi na tatu zinazo control finance hapo marekani wana historia ndefu sana na ni mamafia haswa ni vile tu ndio hao pia wako behind ya serikali so serikali ya Marekani always wanajaribu kudivert attention Ila hao jamaa ndio wako behind issues nyingi

Federal reserve chairmen wote akina Alan Greenspan ,Ben benankie NK wote wamekuwa vibaraka wa hilo genge la mamafioso ,wanawekwa hapo kupokea maelekezo ya kuwalinda hao watu.

Rais pekee aliyekuwa jasiri wa kwenda nao Toe to toe alikuwa ni JF Kennedy nadhani unajua kilichomkuta , na mdogo wake pia alikuwa attorney na mtu machachari akawa anapiga campaign ya kuingia whitehouse 1968 ili kuwanyooshea hao mamafia ,nadhani naye unajua kilichomkuta huyo Robert Kennedy , kama kaka yake
Sasa hizi ndiyo analsis. Vinakuja vimtu hapa vinashangilia eti bank zimefikisika sababu ya kumuwekea vikwazo Russia.
Tuna deal na watu wa ajabu sana humu
 
Nafikiri hilo likafanya balance za benki zisikae sawa. Lakini bado ikawa imesimama. Watu waliposikia vitabu vya benki havipo sawa wakakimbilia kutoa pesa zao, hilo ndilo likaleta kufilisika

Kwani banks si zina viwango vya kutoa ?? au baadhi ya banks za Marekani unaweza kutoa chochote ulicho nacho kwenye account yako ??
 
Kwani banks si zina viwango vya kutoa ?? au baadhi ya banks za Marekani unaweza kutoa chochote ulicho nacho kwenye account yako ??
Sijajua. Lakini kawaida kwenye hizi benki watu wengi wakitoa ndani ya kiwango lazima zianguke. Ni pyramid schemes tu.
 
Okay, so kwa ushauri wako tu.. mtu afanyeje?
1. Tununue dollars?
2. Na hela zilizopo banks je zitakua salama bila kupoteza thamani kwa sie ambao zipo kwenye tzs?
3. Na kwa wale wenye hela zao kwenye government bonds wafanyaje?
 
Nimeyapenda maelezo yako sana kwenye huu uzi. Umezungumza vitu ambavyo wengi hawajavisema kwenye chambuzi zao, nakupa hongera. Ila kuna jambo ambalo nataka tuwekane sawa kidogo. Haya matatizo yameanza mwaka jana kule visiwani Uingereza, lakini dunia haikutilia maanani. Kinachotokea leo hii ni muendelezo tu, The Domino Effect.

Mabenki yote uliyoyataja hapo juu, Sachs, Morgan na BOA yako kwenye matatizo tangu mwezi wa pili ambapo yalipunguza maelfu ya wafanyakazi. Sachs imepunguza wafanyakazi 3,200, Morgan imepunguza asilimia 30% ya oparesheni zake kule Asia, huku BOA wakipanga kupunguza, Investment Bankers 200 duniani kote. Hayafanyi vizuri na chanzo kikubwa ni riba kupandishwa juu isivyo kawaida. Nadhani hili liwe bayana.

Siku zote The American Financial Economy is propelled by the Stock-Market. The Stock-Market is Backstopped by banks and financial institutions. Meanwhile, banks and financial institutions deeply depend on consumer psychology, which is heavily influenced by The Federal Reserve which is an American Central Bank influencing the economy at macro and micro levels. Like house of cards, clip one and you trigger a chain reaction.

Kiufupi Marekani hucheza ngoma yao hivi. Punguza riba za ukopaji zifike hata 1% au 0%, ili kuhamasisha wananchi wakope fedha sana, kutumia sana na kuwekeza sana. Hili likifanyika mashirika makubwa na watu wanaokopa hupata mitaji ambayo huimarisha soko la hisa. Hili ni muhimu mno kulifahamu. Mabenki ya kibiashara hupata faida nyingi mno kwenye kutoa mikopo na huamua kufanya uwekezaji kwenye Stocks, Mortgage Backed Securities na Sovereign Bonds. Mambo yakikaa vizuri Marekani basi hata kule Ulaya na Asia kwenye masoko ya hisa mambo hukaa vizuri pia.

Likitokea tatizo lolote kama mlipuko wa deni la taifa au uzembe kwenye usimamizi wa uchumi ambao unapelekea mfumuko wa bei, Federal Reserve ikishirikiana FDIC zinaingilia kati kusimamia taasisi zote aidha kupitia, MORAL SUASION au JAW BONE. Mambo yakiwa mabaya zaidi, tunapandisha riba juu kudhibiti mfumuko wa bei. Tatizo huja pale ambapo tunapandisha riba juu halafu hatuingizi chochote, bidhaa au huduma kwenye uchumi ambazo kinaweza kupunguza mfumuko wa bei.

Hili tatizo likiendelea watu hupunguza nguvu ya kukopa fedha kutoka kwenye mabenki, Discourages Borrowing because it becomes too expensive because of high rates. Upande mwingine, It diminishes peoples' savings. Kama unakumbuka tatizo kama hili lilizikumba benki nyingi za Tanzania mwaka 2016-2017 na baadaye kuanzia mwaka 2018 mambo yakaanza kukaa sawa. Riba za kukopa zilitoka asilimia 14% hadi kufika 19% na kwingine hadi 21%, wafanyakazi wakaacha kukopa na mtaani mambo yakawa magumu.

Hili ndilo limewakumba Wamarekani baada ya riba kupanda hadi kufika asilimia 4.65% huku wengine wakisema inaweza kufika 5% mwaka 2023. Wamarekani wengi wameguswa na riba kupandishwa, hivyo hata mabenki hayawezi kufanya vizuri. Riba zimegoma kushuka, serikali inahamia kwenye kununua dhamana zake ili kuongeza hela kwenye mfumo, Quantitative Easing which is crude as printing money illegally. Uingereza alifanya hivi mwaka jana akaangukia pua na IMF ikawakosoa hadharani. Japan naye mwezi uliopita ametangaza kufanya, Quantitative Easing, nasubiri kuona atafika wapi.

Kama ilivyokuwa mwaka 2008 ambapo Lehman Brothers ililaumiwa na kugeuzwa mbuzi wa kafara, ilhali matatizo ya anguko la uchumi la mwaka 2008 yalikuwa na mlolongo mrefu, tokea mwaka 2000. Ilianza, Tech Bubble, September 11 Schock, hadi Abuse of Mortgage Backed Securities lakini hakukuwa na MORAL SUASION wala taasisi za nchi kustuka, walianza kunyooshena vidole bila kuwajibika na mwishowe, BAIL-OUTS.

Matatizo yanayoyakumba haya mabenki kwa sehemu kubwa yamesababishwa na, Covid-19, Contradictory Military Spending on Ukranian War, The Global Oil Inflation, Rising Interest Rates, Dwindling and Disproportionate Wages, Reckless Printing of Money, Reckless Speculation in Tech Industry, The Trump Deregulation Law, Massive National Debt, Massive Corporate Debt and Massive House-Hold Debts. Matatizo ni mengi mno yamejificha, lakini The Last Straw To Break The Camel's Back ni INFLATION.

Janet Yellen kasema hakuna, Bailout kwa haya mabenki, ila hata kama wakiwapa wateja fedha zao tatizo mzizi wa tatizo uko palepale, INFLATION and LOOSE BANKING. Federal Reserve, ikidhibiti mfumuko wa bei itakuwa ni hatu ya kwanza muhimu sana, baadaye waweke sheria nzito kuhakakisha mabenki ya kibiashara hayajiamulii tu mambo kama yatakavyo. Hapa kwetu Tanzania tuko nyuma, lakini benki haziwezi kujiamlia tu, sheria zimekuwa kali mno.

Kuna sehemu naona kuna mtu kazungumzia kuhusu Tanzania. Hili tatizo lisipodhibitiwa huko Marekani Tanzania na Afrika tutie maji nywele. Jana na leo masoko ya hisa ya Ulaya na Asia yametikisika mno mbali na zile mbwembwe za juzi za benki kubwa ya kibiashara ya Uingereza, HSBC kujimilikisha tawi la SVB ambalo liko Uingereza kama mbinu ya kuwatia moyo wateja na wawekezaji. Tena Uingereza kacheza mchezo mbaya ambao kama mambo hayatakaa sawa utamgharimu.
Okay, so kwa ushauri wako tu.. mtu afanyeje?
1. Tununue dollars?
2. Na hela zilizopo banks je zitakua salama bila kupoteza thamani kwa sie ambao zipo kwenye tzs?
3. Na kwa wale wenye hela zao kwenye government bonds wafanyaje?
 
Na pia kiasili bonds za serikali ni uwekezaji salama zaidi wa kifedha. Ni kama risk free. Wengi wanawekeza huko, tungeona mabenki na taasisi nyingi zikianguka. Sidhani kama benki inaweza pata shida sababu ya kununua bonds.
Bonds are safer than equity markets Ila sio absolutely safe in reality ,several months ago ,UK bond yields zilicollapse ,the central bank had to intervene purchasing the govt bonds ,but still pension schemes nyingi zilipata steep losses ...
In a Fiat currency system ,faith of the people in it's monetary system is what keeps it going not the government
 
SIYO KWELI. Benki yoyote ya kibiashara ikipatwa na changamoto ni lazima iwekwe chini ya usimamizi na uangalizi wa benki kuu ya Tanzania, kitendo kinachoitwa, Receivership. Twiga Bancorp ilifanyiwa hivyo na BOT mwaka 2016. Mwaka 2018, iliunganishwa na kuwa sehemu ya Benki ya Posta. Huu ndiyo utaratibu wa benki kuu kuhakikisha, Financial Stability.

Hili hufanyika duniani kote, hata kule Cyprus ambako mabenki yalikwapua zaidi ya asilimia 60% ya fedha za wateja baada ya mtikisiko wa mabenki, kilichoanza kilikuwa ni, Receivership.
Mkuu ule mwaka kipindi cha Magufuli Covenant Bank for Women, Efatha Bank Ltd, Njombe Community Bank, Meru Community Bank na Kagera Cooperative Bank zilipofutwa malipo yalikuwa kiasi gani kwa wenye fedha zao kule. Nakumbuka ilikuwa ni kiwango sawa ila sina kumbukumbu nzuri unaweza nikumbusha
 
Wiki iliyopita Benki ya Marekani Silicon Valley Bank ilipatwa na bank run(watu wengi kutaka kutoa pesa benki kwa pamoja) na kupelekea kufilisika. Tena benki ya pili, Silvergate, imepatwa na kitu kama hicho.

Haya mambo yanaashiria nini? Tujipangaje?
Maana yake kuna mmarekani mmoja asiye na akili,anaiangamiza Marekani 🤔
 
Shikamoo Putin na wenzako mlio form BRICS - the beginning of the end ya mfumo wa wenzetu kifedha/ kiuchumi ndio unaanza kujongea taratibu kwenye meat grinder ya kigeuziwa kibao - hawata amini macho yao.
Acha waporomoke washenzi hao,tutajielekeza hata kwenye rouble na Yuan😂
 
Back
Top Bottom