Benki za Tanzania zagoma kuweka Vyoo kwa Wateja

Benki za Tanzania zagoma kuweka Vyoo kwa Wateja

Tanzania tuna mabenki mengi, ya Serikali na watu binafisi. Kwa walimu wengi ambao ni wateja wa NMB mtu anaka kwenye foleni masaa 2 mpaka 3 na hakuna huduma ya vyoo, inasemekana hawaweki vyoo kwasababu mteja wa kawaida huwa na fedha kidogo na hivyo hachangii chochote.

Naomba sasa Naibu Waziri Mkuu Tusaidie kuwaomba Hawa mameneja WAJENGE VYOO VYA WATEJA wa mabenki lakini pia waache tabia ya kufunga kamba kwenye kalamu pale counter: Haiwezekani napeleka milioni 20 na ninakuachia kwa kunipa kikaratasi tu ila wewe huniamini kwa kalamu ya shilingi mia tu.

Bank of Tanzania , ambaye ndiye msimamizi mkuu wa mabenki tunaomba kabla ya leseni za mabenki kutolewa, ukaguzi ufanyike na kitu cha kwanza iwe Choo cha wateja.
Wewe umefuata huduma za kibenki hapo twaini. kama hauwezi kukaza tumia app, wakala au hata ATM.
 
Tanzania tuna mabenki mengi, ya Serikali na watu binafisi. Kwa walimu wengi ambao ni wateja wa NMB mtu anaka kwenye foleni masaa 2 mpaka 3 na hakuna huduma ya vyoo, inasemekana hawaweki vyoo kwasababu mteja wa kawaida huwa na fedha kidogo na hivyo hachangii chochote.

Naomba sasa Naibu Waziri Mkuu Tusaidie kuwaomba Hawa mameneja WAJENGE VYOO VYA WATEJA wa mabenki lakini pia waache tabia ya kufunga kamba kwenye kalamu pale counter: Haiwezekani napeleka milioni 20 na ninakuachia kwa kunipa kikaratasi tu ila wewe huniamini kwa kalamu ya shilingi mia tu.

Bank of Tanzania , ambaye ndiye msimamizi mkuu wa mabenki tunaomba kabla ya leseni za mabenki kutolewa, ukaguzi ufanyike na kitu cha kwanza iwe Choo cha wateja.
Masikini bwana

Umasikini huu utatusumbua mpaka lini?

Yaani masikini thinks he is entitled to anything government says!

Government yenyewe imeshindwa wawekea vyoo kwa kodi zenu wenyewe halafu unanifata mimi private company nikuwekee choo sababu kuna mla unga mmoja huko serikalini kasema?

Masikini hudhani chochote serikali inachoongea basi ni "haki" yao.....fvck y'all!
 
Ukiweka Choo utapata yafuatayo:-
  • Wateja wengi wa Choo kuliko wa Benki - Na ukizingatia hii huduma pia ina-changamoto zake utajikuta pesa yako nyingi unaelekeza kwenye Choo (au utaanza kuchaji na vyoo vipo wapi; harufu isije fukuza wateja wako)
  • Hakuna Sheria inayolazimisha waweke choo, kama vile migahawa
  • Muda wako kwenye Benki unatakiwa uwe mfupi iwezekanavyo; hakuna sababu ya kuuongeza
  • Je kuweka kwao vyoo kutaongeza wateja ? (Sidhani kama utakwenda Benki fulani sababu kuna vyoo sanasana utakwenda pale kupata huduma ya Choo na sio ya Pesa) mteja ambaye sidhani kama Benki ina shida nae...
 
Mkuu Benki unaenda kuweka pesa au kunya?Unataka tuwekee vyoo Ili mastermind mfanye yenu,hapana Kwa kweli,hakikisheni mnakata gogo na kuChuja kabla hamjaleta maokoto,kuhusu peni mmekuwa mnaondoka nazo kama sisi wenye Benki tunapewa Bure so tunafunga kamba kama inakukera uje na yako.
mwalimu anatoka Makete kuja Njombe mjini NMB kuchukua mshara, ametumia masaa 5 kwa basi anafika benki saa 4 asubuhi kwenye foleni gogo linamkamata, unataka akakate hapo mnapokula kiti moto?
Wewe unaongelea mtu akate gogo kwake kwakuwa unaishi Dar es salaam?
hiki kizazi kila hoja inayoletwa ya kitaifa mnaichukulia kwa angle ya mtu anayeishi Dar es salaam.
 
Masikini bwana

Umasikini huu utatusumbua mpaka lini?

Yaani masikini thinks he is entitled to anything government says!

Government yenyewe imeshindwa wawekea vyoo kwa kodi zenu wenyewe halafu unanifata mimi private company nikuwekee choo sababu kuna mla unga mmoja huko serikalini kasema?

Masikini hudhani chochote serikali inachoongea basi ni "haki" yao.....fvck y'all!
WTF, wewe unajua ninaweka fedha yangu benki ?
Unajua Benki wanaikopeshea watu na wanapata faida kwa hela yangu?
Unajua Benki wanawekeza na kupata faida kubwa kwenye fedha yangu?
Unajua Bila mimi mteja, hata tukiamua kesho asubuhi kila mtu akitoe /funga akaunti yake kwenye benki yeyote siku hiyo hiyo benki inafiliska?
Unajua Bila mteja benki hakuna?
 
VYOO HAVIKO NDANI YA OFISI YA BENKI
VYOO VIPO NDANI YA MAJENGO AMBAYO BENKI ZIPO

ova
 
WTF, wewe unajua ninaweka fedha yangu benki ?
Unajua Benki wanaikopeshea watu na wanapata faida kwa hela yangu?
Unajua Benki wanawekeza na kupata faida kubwa kwenye fedha yangu?
Unajua Bila mimi mteja, hata tukiamua kesho asubuhi kila mtu akitoe /funga akaunti yake kwenye benki yeyote siku hiyo hiyo benki inafiliska?
Unajua Bila mteja benki hakuna?
Wewe ni mteja gani hasa mpaka unajitia kutoa maneno ya shombo namna hii?

Una vijihela vichache,hujui nini cha kufanyia,tunavichukua na kuwapa wafanyabiashara wafanyie kazi watupatie interests!

Tunakuwekea fedha yako,maana huna pahali pa kuziweka

Una hela chache,huna maana,unachuchafulia miundo mbinu yetu,toa hiyo hela kaweke chini ya godoro!

Unajua unatumia resource kiasi gani kwenye mifumo yetu kuangalia tu balance ya vihela vyako?Ni hasara tupu!

Wateja ni makampuni,organizations,etc,sio nyie wananchi masikini,njooni chukueni vijisenti vyenu kunuka!
 
Tatizo sio vyoo tatizo ni aina ya vyoo unakuta tale mavyoo ya kukaa kila mtu aweke matako yake hapo duh..![emoji848] mimi huwa napandaga juu nachuchumaa hapo juu ndo nakunya

Tatizo kingine ni kutawaza kwa mikono na maji wengine hatujazoea kabisa kushika mavi yaani ni heri nichambie matambara, majani ya miti, au kigogo au kwenye kona ya ukuta wa nyumba
Wewe umeendelea kweli!!!
 
Wewe umeendelea kweli!!!
Unamaanisha kuendelea kiaje? Kama ni maendeleo ya kifedha niko vizuri mimi ni mmoja ya wauzaji maarufu wa majeneza hapa Dodoma biashara yangu imenipa mafanikio sana na vihela vidogo vidogo sio ishu kwangu.
 
Tatizo sio vyoo tatizo ni aina ya vyoo unakuta tale mavyoo ya kukaa kila mtu aweke matako yake hapo duh..![emoji848] mimi huwa napandaga juu nachuchumaa hapo juu ndo nakunya

Tatizo kingine ni kutawaza kwa mikono na maji wengine hatujazoea kabisa kushika mavi yaani ni heri nichamkbie matambara, majani ya miti, au kigogo au kwenye kona ya ukuta wa nyumba
Maji ndio njia salama kabisa ya kujitawaza ndio maana tunapisha na watu mnanuka mavi kumbe mnatumia toilet tuu kujitawaza , ile ninkwa ajili ya kujikausha ukisha jiosha na maji
 
Maji ndio njia salama kabisa ya kujitawaza ndio maana tunapisha na watu mnanuka mavi kumbe mnatumia toilet tuu kujitawaza , ile ninkwa ajili ya kujikausha ukisha jiosha na maji
Kongole, anzisha uzi ufundishe vijana wa Dar es salaam kutawaza, yaani jitu zima unakuta linanukia choo, limejifuta na tissue badala atumie maji na tissue ni kujifuta tu.
 
Back
Top Bottom