Benki zote zina matatizo ya kimtandao, tatizo ni la dunia nzima

Benki zote zina matatizo ya kimtandao, tatizo ni la dunia nzima

Jana nilitoa hela through simbanking
Sms ikaja mara 2. Haiwezi kuwa imetoka mara 2?
Kahakikishe kwa kuangalia salio, mimi nilipokea msg mara mbili NMB kuangalia nikakuta salio limekatwa mara mbili
 
Back
Top Bottom