Mpesa inawork..nmejaribu kuangalia saliowe zwazwa kweli...🤣
Hata mimi nimepata jibu hilo hilo toka Jumatatu ya wiki hiliNoma na nusu.. sasa kama mtu hana hata mia cash zote ziko bank anafanyaje leo?
View attachment 3046164
Mpesa ina work lakini ukihisisha Simbnking utatoa fedha vizuri, lakini message ya Benki unaweza kuipata after 3 hours au next dayMpesa inawork..nmejaribu kuangalia salio
NAKAZIA HAPA.Sasa hela zenyewe za mkaa na kudunduliza afutatu tatu ndiyo niende kuweka BANK?
Jana nilitoa hela through simbankingMpesa ina work lakini ukihisisha Simbnking utatoa fedha vizuri, lakini message ya Benki unaweza kuipata after 3 hours au next day
it's fucking same system babuu! ushaambiwa IT sasa simu hazihusiki na IT...??
Pesa haiwezi kuwa imetoka mara mbili kwa kuwa ungeiona upande wa pili ulikopeleka. Naamini ni misbehaviour tuJana nilitoa hela through simbanking
Sms ikaja mara 2. Haiwezi kuwa imetoka mara 2?
Kahakikishe kwa kuangalia salio, mimi nilipokea msg mara mbili NMB kuangalia nikakuta salio limekatwa mara mbiliJana nilitoa hela through simbanking
Sms ikaja mara 2. Haiwezi kuwa imetoka mara 2?