Beno Kakolanya imeinajisi kazi yake

beno ana familia.inamtegemea na ile ni kazi yake
hata messi akiona mambo hayaendi vizuri kwenye mikataba uwa anagoma.
dawq ni kumlipa hela zake.
sio mshahara elewa ni hela ya usajili ,familia itakufaje njaa kwa hela ya usajili wakati mshahara anapata
 
Ziko njia nyingi za kulalamika, lakini kugoma kucheza sio mojawapo Kwa mchezaji, maana kazi ya mchezaji inaimarika kadri anavyopata mechi nyingi. Wachezaji wengi wanaojitambua hawagomei mechi bali wanagomea mkataba mpya au huomba kuvunja mkataba katikati ya mkataba na msimu.
Ukiona mchezaji anakwenda kujificha siku ya mechi kama njia ya kuwasilisha malalamiko yake mchezaji huyo hawezi kufika mbali kisoka hata kama angekuwa na kipaji kama mchwa. Yeye ni short sighted kwelikweli, hand to mouth, tumbo street. Yaani kafika hapo alipofika. Nina uhakika hata yeye sasa hivi anajutia kwanini alitumia njia Ile ya kudai na kuisahau profession yake.
 
Itapendeza zaidi kama ukianza na hata tulaki tu moja.
 
tungefungwa angetulipa nini?
 
Wengi wanaoshabikia ni simba ambayo walimshawishi agome ili mechi za mikoani yanga ifungwe bahati mbaya kwao ilo halikuwezekana.
Sasa hv anajuta maana hatocheza na dirisha dogo ndio linafungwa hivyo.
 
Mna kipa pazia tu mchukueni Beno
Ugolikipa ni namba takatifu haitaki najisi kama hii. Rafiki wa adui yako ni adui yako pia, Beno hawezi kuwa na meneja shabiki wa Simba halafu akaachiwa adakie Yanga, kufanya hivyo ni ujuha wa hali ya juu. Zahera ana akili nyingi sana kupita kiasi kwa kumkataa Beno kurudi Yanga.
 
Wengi wanaoshabikia ni simba ambayo walimshawishi agome ili mechi za mikoani yanga ifungwe bahati mbaya kwao ilo halikuwezekana.
Sasa hv anajuta maana hatocheza na dirisha dogo ndio linafungwa hivyo.
Atapata muda mzuri wa kukaa na familia yake iliyosababisha amgomee kocha wake. Atagundua kuwa pesa sio kila kitu kwenye football. Kama kuna mwanachama na shabiki wa Yanga mwenye pesa au mbinu ya kuboresha kipato cha Yanga aupeleke mchango wake kwenye club ikasaidia kutatua shida za club na sio kutafuta kick kwa wachezaji wanaogomea mechi, kufanya hivyo ni sawa na kulipa kikombozi kwa maharamia ili wawaachie mateka wao, kesho watateka wengine ili kulipwa tena, na maharamia wengine zaidi wanaweza kuibuka kuteka watu kama njia ya kujipatia fedha.

Hebu fikiria iingekuwaje kama Yanga ingefungwa mechi zote ambazo Beno aligomea kucheza?

Hafai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…