hahahah ungemjazai wish ningekua hicho kiti
HahahahhahahaaKinachoniumiza kafungwa hizo kamba na mwanaume kweli kaishia kumfunga!?
Lianzishe basi nami nitafuata! Sema dah, sijawahi kukuona ukianzisha mada hapa jamvini....Kuna haja yakuanzisha operation maalumu ya kuokoa jukwaa pendwa hili [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
Skuizi hakuna ubuyu, hakuna dai vs kiba...... Etc
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] kwa ubuyu wewe nishakushindwa. Karibu pm upo mwingiiiiiii [emoji13] [emoji13] [emoji13]Kuna haja yakuanzisha operation maalumu ya kuokoa jukwaa pendwa hili [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
Skuizi hakuna ubuyu, hakuna dai vs kiba...... Etc
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] Mungu hajanipa kipaji cha kuandika aiseee....Lianzishe basi nami nitafuata! Sema dah, sijawahi kukuona ukianzisha mada hapa jamvini....
Hehehe wewe.... Najaaa [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12][emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] kwa ubuyu wewe nishakushindwa. Karibu pm upo mwingiiiiiii [emoji13] [emoji13] [emoji13]
Hilo paji la uso si la Ben Pol, umbile la kichwa si la Ben Pol, midomo ya Ben Pol ni mipana iliyobinuka. Uso wa ben Pol umejaa nyama tofauti na wa huyu. Linganisha macho, pua, midomo, mashavu, kichwa na hii hapa.
View attachment 511500
Pia Pol amekomaa. Si mlainilaini kama huyo.View attachment 511501
Jaza ujazweee
Unauliza udongo kaburini?[emoji16][emoji16][emoji16]Mhhhhhhh analiwa! !!!!! Au ni vipi hapa mbona sielewi vile?