Benpol hapa umepotea, huu sio uanaume

Benpol hapa umepotea, huu sio uanaume

Kuna haja yakuanzisha operation maalumu ya kuokoa jukwaa pendwa hili [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]

Skuizi hakuna ubuyu, hakuna dai vs kiba...... Etc
Lianzishe basi nami nitafuata! Sema dah, sijawahi kukuona ukianzisha mada hapa jamvini....
 
Kuna haja yakuanzisha operation maalumu ya kuokoa jukwaa pendwa hili [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]

Skuizi hakuna ubuyu, hakuna dai vs kiba...... Etc
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] kwa ubuyu wewe nishakushindwa. Karibu pm upo mwingiiiiiii [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Lianzishe basi nami nitafuata! Sema dah, sijawahi kukuona ukianzisha mada hapa jamvini....
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] Mungu hajanipa kipaji cha kuandika aiseee....
 
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] kwa ubuyu wewe nishakushindwa. Karibu pm upo mwingiiiiiii [emoji13] [emoji13] [emoji13]
Hehehe wewe.... Najaaa [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Hilo paji la uso si la Ben Pol, umbile la kichwa si la Ben Pol, midomo ya Ben Pol ni mipana iliyobinuka. Uso wa ben Pol umejaa nyama tofauti na wa huyu. Linganisha macho, pua, midomo, mashavu, kichwa na hii hapa.
View attachment 511500



Pia Pol amekomaa. Si mlainilaini kama huyo.View attachment 511501

Tayari ipo kwny page yake ya Instagram na mpaka Leo hajakanusha popote
 
Eti kuna wasanii wanajiuza
Waliopoteza marinda[emoji445]
Mnasema[emoji441]

WAPO[emoji444]
 
Mbona hawa povu halikuwatoka
Screenshot_2017-05-20-07-57-47.png
Screenshot_2017-05-20-07-55-49.png
 
Back
Top Bottom