Pre GE2025 Benson Kigaila amshambulia vikali Tundu Lissu, asema hajui chochote kuhusu Uchaguzi sababu hakuwepo nchini

Pre GE2025 Benson Kigaila amshambulia vikali Tundu Lissu, asema hajui chochote kuhusu Uchaguzi sababu hakuwepo nchini

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Siku mbowe atakapoamua kukaa pembeni basi safari ya kuitoa CCM itafika ,ila ni ngumu Sana kuiondoa CCM madarakani wakati mbowe akiwa mwenyekiti.Mbowe ni kibaraka hatari ni mfanyabiashara wa kisiasa hawa kina KIGAILA ni vifaranga tu hawana lolote la maana.Haiwezekana wagombea wa chama chako waondolewe nchi nzima halafu wewe mwenyekiti umekaa tu,kama huelewi kinacho endelea.Mbowe itisha kamati kuu ya chama ya dharura Kisha mtoke na maazimio ya kutokukubaliana na kinacho endeleo,kesho yake wagombea wote watapitishwa tu.Huyu KIGAILA ni kifaranga wa CCM ambaye anawazuga raia na wanachadema.
 
Benson Kigaila mume wa Kunti Majala Mbunge toka muungano wa Covid 19 na Katibu Mkuu wa nne wa Freeman Mbowe ajae endapo Mbowe atashinda Uchaguzi kwa mara ya nne ili kuongoza chama hicho kikuu Cha Upinzani kwa nafasi ya Uenyekiti wa Taifa.

Kupitia vyombo vya habari mbalimbali vya ndani na nje Kigaila ambae ni Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA amemshambulia vikali Makamu Mwenyekiti wake Bwana Tundu Lissu kwa madai kuwa hajui chochote kuhusu maandalizi ya Uchaguzi kwani hakuwepo nchini kauli ambayo imezua minong'ono miongoni mwawatu mbalimbali wakijaribu kuhoji uadilifu wa Kigaila dhidi ya ule wa Lissu ndani ya chama hicho Cha CHADEMA.

Kwambali naiona CHADEMA ikimalizikia ni swala la muda na uhai tu tuendelee kumwomba Mungu atulinde ili tushuhudie haya.

Ikumbukwe Press Conference ya Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho bwana Tundu Lissu kule Singida ndio imezaa matunda chanya na kumwibua Katibu Mkuu wa CCM Dkt Emmanuel Nchimbi na yote yanayoendelea Sasa ambayo kwa kiasi kikubwa yameisaidia CHADEMA na Vyama Vingine.
"... Kupitia vyombo vya habari ...nk". Halafu tunatakiwa kumwamini?! Hajui maTomaso wako wengi!! Kufanya nukuu bila kuonyesha chanzo inakufanya usiaminike na jamii, waxomaji- kwamba ni uongo mtupu ...nk. Xiku nyngne onyesha vyanzo- nje ya hapo watakufananisha na chawa
 
Benson Kigaila mume wa Kunti Majala Mbunge toka muungano wa Covid 19 na Katibu Mkuu wa nne ajae wa Freeman Mbowe endapo Mbowe atashinda Uchaguzi kwa mara nyingine ya nne ili kuongoza tena chama hicho kikuu cha Upinzani kwa nafasi ya Uenyekiti wa Taifa.

Kupitia vyombo vya habari mbalimbali vya ndani na nje Kigaila ambae ni Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA BARA amemshambulia vikali Makamu Mwenyekiti wake Bwana Tundu Lissu kwa madai kuwa hajui chochote kuhusu maandalizi ya Uchaguzi kwani hakuwepo nchini kauli ambayo imezua minong'ono miongoni mwawatu mbalimbali wakijaribu kuhoji uadilifu wa Kigaila dhidi ya ule wa Lissu ndani ya chama hicho Cha CHADEMA.

Kwambali naiona CHADEMA ikimalizikia ni swala la muda na uhai tu tuendelee kumwomba Mungu atulinde ili tushuhudie haya.

Ikumbukwe Press Conference ya Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho bwana Tundu Lissu kule Singida ndio imezaa matunda chanya na kumwibua Katibu Mkuu wa CCM Dkt Emmanuel Nchimbi na yote yanayoendelea Sasa ambayo kwa kiasi kikubwa yameisaidia CHADEMA na Vyama Vingine vya Upinzani.
Kigaila kachukizwa kuona walioenguliwa wamerudishwa.....

Kumbe ilikuwa plan fulani amazing
 
Mbowe haitakii mema Chadema. He has overstayed as chairman as such he has nothing new to offer!

Kwanini hafuati mfano wa watangulizi wake mkwewe Edwin Mtei na marehemu Bob Makani ambao waliomgoza kwa muda na baadae kupisha wengine kuongoza.

Ccm kuelekea kwenye uchaguzi watawasambaratisha viongozi wa Chadema kwa kupanda sumu kati yao kiasi kwamba wakifanikiwa Chadema will be very weak to contest both the local and general elections next year!

Mbowe is a ccm MOLE!😭
🤔
 
Benson Kigaila mume wa Kunti Majala Mbunge toka muungano wa Covid 19 na Katibu Mkuu wa nne ajae wa Freeman Mbowe endapo Mbowe atashinda Uchaguzi kwa mara nyingine ya nne ili kuongoza tena chama hicho kikuu cha Upinzani kwa nafasi ya Uenyekiti wa Taifa.

Kupitia vyombo vya habari mbalimbali vya ndani na nje Kigaila ambae ni Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA BARA amemshambulia vikali Makamu Mwenyekiti wake Bwana Tundu Lissu kwa madai kuwa hajui chochote kuhusu maandalizi ya Uchaguzi kwani hakuwepo nchini kauli ambayo imezua minong'ono miongoni mwawatu mbalimbali wakijaribu kuhoji uadilifu wa Kigaila dhidi ya ule wa Lissu ndani ya chama hicho Cha CHADEMA.

Kwambali naiona CHADEMA ikimalizikia ni swala la muda na uhai tu tuendelee kumwomba Mungu atulinde ili tushuhudie haya.

Ikumbukwe Press Conference ya Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho bwana Tundu Lissu kule Singida ndio imezaa matunda chanya na kumwibua Katibu Mkuu wa CCM Dkt Emmanuel Nchimbi na yote yanayoendelea Sasa ambayo kwa kiasi kikubwa yameisaidia CHADEMA na Vyama Vingine vya Upinzani.
Siku zote chama kisipoendeshwa kitaasisi kinageuka kuwa mali ya mtu.Tokea Chadema impate katibu mkuu Dr.Wilbroad Peter Slaa ni dhahiri kabisa haijapata mtu makini kama yule tena katika nafasi hiyo hadi leo.Hao madogo akina John Mnyika wala hawajui kazi wanayotakiwa kufanya hadi sasa.Naamini watanzania wanaona na kufuatilia mambo yanavyokwenda ndani ya CHADEMA.Viongozi wanatakiwa kujitambua ,mkiwa na katibu mkuu tena ndiye mtandaji mkuu wa chama Alafu mnashuhudia ukimya uliopitiliza ujue kuna zaidi ya problem ya aina na usahihi wa watu ktk nafasi zao ndani ya Chama.
 
Akili ndogo!
Dunia sasa ni Kijiji, ukiwa USA, Kwa Sasa unafahamu Kila kitu na Kila mahali huku bongo
Sio lazima uwepo
 
Benson Kigaila mume wa Kunti Majala Mbunge toka muungano wa Covid 19 na Katibu Mkuu wa nne ajae wa Freeman Mbowe endapo Mbowe atashinda Uchaguzi kwa mara nyingine ya nne ili kuongoza tena chama hicho kikuu cha Upinzani kwa nafasi ya Uenyekiti wa Taifa.

Kupitia vyombo vya habari mbalimbali vya ndani na nje Kigaila ambae ni Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA BARA amemshambulia vikali Makamu Mwenyekiti wake Bwana Tundu Lissu kwa madai kuwa hajui chochote kuhusu maandalizi ya Uchaguzi kwani hakuwepo nchini kauli ambayo imezua minong'ono miongoni mwawatu mbalimbali wakijaribu kuhoji uadilifu wa Kigaila dhidi ya ule wa Lissu ndani ya chama hicho Cha CHADEMA.

Kwambali naiona CHADEMA ikimalizikia ni swala la muda na uhai tu tuendelee kumwomba Mungu atulinde ili tushuhudie haya.

Ikumbukwe Press Conference ya Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho bwana Tundu Lissu kule Singida ndio imezaa matunda chanya na kumwibua Katibu Mkuu wa CCM Dkt Emmanuel Nchimbi na yote yanayoendelea Sasa ambayo kwa kiasi kikubwa yameisaidia CHADEMA na Vyama Vingine vya Upinzani.
Wasaidieni hao waganga njaa watauwana
 
Lissu is a genuine opposition leader unlike Mbowe who uses his chaimanship for personal business gain!
He will be more respected if he relinquished the chairmanship now rather than later
Congratulations. You really have a calling in BROKEN English.
 
Lissu is a genuine opposition leader unlike Mbowe who uses his chairmanship for personal business gain! In short he’s a conman!
He will be more respected if he relinquished the chairmanship now rather than later!
Mzee Mbowe will never relinquish Chairmanship as long he is alive.
 
Back
Top Bottom