Pre GE2025 Benson Kigaila amshambulia vikali Tundu Lissu, asema hajui chochote kuhusu Uchaguzi sababu hakuwepo nchini

Pre GE2025 Benson Kigaila amshambulia vikali Tundu Lissu, asema hajui chochote kuhusu Uchaguzi sababu hakuwepo nchini

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Haya ni matokeo ya kuja mjini kwa kuchelewa. Ulimjua lisu kipindi anashambuliwa na chizi Magufuli. Leo ndiyo unamuona mbowe shupavu?
Ati na wewe ni mpiga mbinja wa samia
Sisi tunasimama na Mbowe. Lissu ni msaliti
 
Namuunga mkono lisu kwa sababu ana akili!
Japo una haki ya kumuunga mkono ila namuomba awe makini na watu aina yako...

Wewe watu wako ni hawa, Mbowe, Kikwete, Kinana, Makamba na wezi wengine(siku hizi mnaitana watoto wa mjini)

Na kina Zitto Kabwe.
 
Japo una haki ya kumuunga mkono ila namuomba awe makini na watu aina yako...

Wewe watu wako ni hawa, Mbowe, Kikwete, Kinana, Makamba na wezi wengine(siku hizi mnaitana watoto wa mjini)

Na kina Zitto Kabwe.
Yesi sisi ni watoto wa mjini hatuongozwi na washamba wasiojua hata kiswahili.
Kwa msaada wako kasome makala iliandikwa " Magufuli atawaweza watt wa mjini" raiya mwema, 2016
Aliwaweza?
Yupo wapi?
Hahahaha
 
Yesi sisi ni watoto wa mjini hatuongozwi na washamba wasiojua hata kiswahili.
Kwa msaada wako kasome makala iliandikwa " Magufuli atawaweza watt wa mjini" raiya mwema, 2016
Aliwaweza?
Yupo wapi?
Hahahaha
Watoto wa mjini my foot...

Hicho kikundi mtaondoka mmoja mmoja, just wait n see.
 
Sinimesikia wanamleta Heche kama mwenyekiti
Nani anamleta Heche? Kila karibu na uchaguzi ccm hutumia mbinu za kuvuruga ipinzani!
Wameanza kwa kumnunua Msigwa na turufu yao inayofuata ni kuhakikisha Lissu anaondolewa Chadema ili asiweze kushindana na Samia mwaka kesho!! Na ccm imeisha mpa Mbowe mshiko kwa kazi hiyo.
Mbowe ni mamluki!
 
Benson Kigaila mume wa Kunti Majala Mbunge toka muungano wa Covid 19 na Katibu Mkuu wa nne ajae wa Freeman Mbowe endapo Mbowe atashinda Uchaguzi kwa mara nyingine ya nne ili kuongoza tena chama hicho kikuu cha Upinzani kwa nafasi ya Uenyekiti wa Taifa.

Kupitia vyombo vya habari mbalimbali vya ndani na nje Kigaila ambae ni Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA BARA amemshambulia vikali Makamu Mwenyekiti wake Bwana Tundu Lissu kwa madai kuwa hajui chochote kuhusu maandalizi ya Uchaguzi kwani hakuwepo nchini au anatumiwa na CCM kufanya hivyo kauli ambayo imezua minong'ono miongoni mwawatu mbalimbali wakijaribu kuhoji uadilifu wa Kigaila dhidi ya ule wa Lissu ndani ya chama hicho Cha CHADEMA.

Kwambali naiona CHADEMA ikimalizikia ni swala la muda na uhai tu tuendelee kumwomba Mungu atulinde ili tushuhudie haya.

Ikumbukwe Press Conference ya Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho bwana Tundu Lissu kule Singida ndio imezaa matunda chanya na kumwibua Katibu Mkuu wa CCM Dkt Emmanuel Nchimbi na yote yanayoendelea Sasa ambayo kwa kiasi kikubwa yameisaidia CHADEMA na Vyama Vingine vya Upinzani.
Mpuuzi huyo, yeye Kigaila na Lissu nani muadilifu? Lissu mke wake ni Mbunge wa mchongo huko kwenye bunge la hovyo la CCM?
CDM ili iendelee kuaminika inahitaji MABADILIKO MAKUBWA YA VIONGOZI, haiwezekani kukawa na MWENYEKITI WA MILELE kama Mbowe na magenge yake.
 
Huyo Benson Kigaila ni pandikizi la CCM, hamna kitu ni Mtu anayestahili kupuuzwa mtu mwenye mihemko kupita maelezo!!

Hiyo hamna kitu ndiye ambaye anaharibu sana chaguzi za kanda, rejea kanda ya kusini.

Intelligence ya CHADEMA ingekuwa smart kama zamani, ingejua RANGI HALISI ya Singo Kigaila, mwakani baada ya general election KIGAILA atakuwa amemfuata Peter msigwa.

Mshenga wa hii ndoa no Mke wake KUNTI MAJALA, kupitia waziri flani wa KIKE.

Kifupi Singo Kigaila Benson anapaswa KUPUUZWA maneno yake, ila anapaswa kuangaliwa kwa jicho pekenyevu ndani ya CHADEMA.

Yupo kwenye payroll ya SERIKALI.
Kabisa, hao ndio WANUFAIKA wenyewe wa pesa chafu za Mama Samia na Abdul. CDM inahitaji mabadiliko ya kiuongozi HARAKA SANA
 
Siku mbowe atakapoamua kukaa pembeni basi safari ya kuitoa CCM itafika ,ila ni ngumu Sana kuiondoa CCM madarakani wakati mbowe akiwa mwenyekiti.Mbowe ni kibaraka hatari ni mfanyabiashara wa kisiasa hawa kina KIGAILA ni vifaranga tu hawana lolote la maana.Haiwezekana wagombea wa chama chako waondolewe nchi nzima halafu wewe mwenyekiti umekaa tu,kama huelewi kinacho endelea.Mbowe itisha kamati kuu ya chama ya dharura Kisha mtoke na maazimio ya kutokukubaliana na kinacho endeleo,kesho yake wagombea wote watapitishwa tu.Huyu KIGAILA ni kifaranga wa CCM ambaye anawazuga raia na wanachadema.
Mbowe ni MFANYABIASHARA WA SIASA, hili ni dhahili sasa. Yuko kwenye cheo cha Uenyekiti wa CDM KIBIASHARA.
 
Nani anamleta Heche? Kila karibu na uchaguzi ccm hutumia mbinu za kuvuruga ipinzani!
Wameanza kwa kumnunua Msigwa na turufu yao inayofuata ni kuhakikisha Lissu anaondolewa Chadema ili asiweze kushindana na Samia mwaka kesho!! Na ccm imeisha mpa Mbowe mshiko kwa kazi hiyo.
Mbowe ni mamluki!
Mbowe tayari anafurushi la pesa chafu kwaajili ya kazi maalum ya KUFUBAZA UPINZANI, ili Mama Samia asipate "bugdha" kwenye uchaguzi mkuu 2025
 
Nafurahi sana haya yanayoendelea chadema
 
Back
Top Bottom