Pre GE2025 Benson Kigaila amshambulia vikali Tundu Lissu, asema hajui chochote kuhusu Uchaguzi sababu hakuwepo nchini

Pre GE2025 Benson Kigaila amshambulia vikali Tundu Lissu, asema hajui chochote kuhusu Uchaguzi sababu hakuwepo nchini

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Benson Kigaila mume wa Kunti Majala Mbunge toka muungano wa Covid 19 na Katibu Mkuu wa nne ajae wa Freeman Mbowe endapo Mbowe atashinda Uchaguzi kwa mara nyingine ya nne ili kuongoza tena chama hicho kikuu cha Upinzani kwa nafasi ya Uenyekiti wa Taifa.

Kupitia vyombo vya habari mbalimbali vya ndani na nje Kigaila ambae ni Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA BARA amemshambulia vikali Makamu Mwenyekiti wake Bwana Tundu Lissu kwa madai kuwa hajui chochote kuhusu maandalizi ya Uchaguzi kwani hakuwepo nchini kauli ambayo imezua minong'ono miongoni mwawatu mbalimbali wakijaribu kuhoji uadilifu wa Kigaila dhidi ya ule wa Lissu ndani ya chama hicho Cha CHADEMA.

Kwambali naiona CHADEMA ikimalizikia ni swala la muda na uhai tu tuendelee kumwomba Mungu atulinde ili tushuhudie haya.

Ikumbukwe Press Conference ya Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho bwana Tundu Lissu kule Singida ndio imezaa matunda chanya na kumwibua Katibu Mkuu wa CCM Dkt Emmanuel Nchimbi na yote yanayoendelea Sasa ambayo kwa kiasi kikubwa yameisaidia CHADEMA na Vyama Vingine vya Upinzani.

CHADEMA inahitaji mabadiliko ya haraka ya Viongozi


True.

Watu wameanza kupoteza Imani nao kwa kasi kubwa sana
 
Siku zote chama kisipoendeshwa kitaasisi kinageuka kuwa mali ya mtu.Tokea Chadema impate katibu mkuu Dr.Wilbroad Peter Slaa ni dhahiri kabisa haijapata mtu makini kama yule tena katika nafasi hiyo hadi leo.Hao madogo akina John Mnyika wala hawajui kazi wanayotakiwa kufanya hadi sasa.Naamini watanzania wanaona na kufuatilia mambo yanavyokwenda ndani ya CHADEMA.Viongozi wanatakiwa kujitambua ,mkiwa na katibu mkuu tena ndiye mtandaji mkuu wa chama Alafu mnashuhudia ukimya uliopitiliza ujue kuna zaidi ya problem ya aina na usahihi wa watu ktk nafasi zao ndani ya Chama.
Mnyika ni mtendaji mzuri tu,tatizo kafunikwa na John Mrema ambae kimsingi ndio anaefanya kazi za katibu mkuu kwa baraka ya kaka yake Mzee Freeman Mbowe.
 
Benson Kigaila mume wa Kunti Majala Mbunge toka muungano wa Covid 19 na Katibu Mkuu wa nne ajae wa Freeman Mbowe endapo Mbowe atashinda Uchaguzi kwa mara nyingine ya nne ili kuongoza tena chama hicho kikuu cha Upinzani kwa nafasi ya Uenyekiti wa Taifa.

Kupitia vyombo vya habari mbalimbali vya ndani na nje Kigaila ambae ni Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA BARA amemshambulia vikali Makamu Mwenyekiti wake Bwana Tundu Lissu kwa madai kuwa hajui chochote kuhusu maandalizi ya Uchaguzi kwani hakuwepo nchini kauli ambayo imezua minong'ono miongoni mwawatu mbalimbali wakijaribu kuhoji uadilifu wa Kigaila dhidi ya ule wa Lissu ndani ya chama hicho Cha CHADEMA.

Kwambali naiona CHADEMA ikimalizikia ni swala la muda na uhai tu tuendelee kumwomba Mungu atulinde ili tushuhudie haya.

Ikumbukwe Press Conference ya Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho bwana Tundu Lissu kule Singida ndio imezaa matunda chanya na kumwibua Katibu Mkuu wa CCM Dkt Emmanuel Nchimbi na yote yanayoendelea Sasa ambayo kwa kiasi kikubwa yameisaidia CHADEMA na Vyama Vingine vya Upinzani.
Fanya ya kwako ndugu utakonda bure!!
 
Benson Kigaila mume wa Kunti Majala Mbunge toka muungano wa Covid 19 na Katibu Mkuu wa nne ajae wa Freeman Mbowe endapo Mbowe atashinda Uchaguzi kwa mara nyingine ya nne ili kuongoza tena chama hicho kikuu cha Upinzani kwa nafasi ya Uenyekiti wa Taifa.

Kupitia vyombo vya habari mbalimbali vya ndani na nje Kigaila ambae ni Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA BARA amemshambulia vikali Makamu Mwenyekiti wake Bwana Tundu Lissu kwa madai kuwa hajui chochote kuhusu maandalizi ya Uchaguzi kwani hakuwepo nchini kauli ambayo imezua minong'ono miongoni mwawatu mbalimbali wakijaribu kuhoji uadilifu wa Kigaila dhidi ya ule wa Lissu ndani ya chama hicho Cha CHADEMA.

Kwambali naiona CHADEMA ikimalizikia ni swala la muda na uhai tu tuendelee kumwomba Mungu atulinde ili tushuhudie haya.

Ikumbukwe Press Conference ya Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho bwana Tundu Lissu kule Singida ndio imezaa matunda chanya na kumwibua Katibu Mkuu wa CCM Dkt Emmanuel Nchimbi na yote yanayoendelea Sasa ambayo kwa kiasi kikubwa yameisaidia CHADEMA na Vyama Vingine vya Upinzani.
Watu wasiozoea kuambizana ukweli ndio wataona kuna kugombana hapo. Lazima mkubaliane kutokubaliana kwa baadhi ya mambo na si kuburuzana. Mfano mambo ya fomu moja ya ugombea Urais ni kinyume na Katiba na ni kuburuzana.
 
Watu wasiozoea kuambizana ukweli ndio wataona kuna kugombana hapo. Lazima mkubaliane kutokubaliana kwa baadhi ya mambo na si kuburuzana. Mfano mambo ya fomu moja ya ugombea Urais ni kinyume na Katiba na ni kuburuzana.
Mbona kwenye kumpokea Lowasa, wakina Mnyika waliburuzwa kumkubali pasipo utayari wao ?
 
Siku mbowe atakapoamua kukaa pembeni basi safari ya kuitoa CCM itafika ,ila ni ngumu Sana kuiondoa CCM madarakani wakati mbowe akiwa mwenyekiti.Mbowe ni kibaraka hatari ni mfanyabiashara wa kisiasa hawa kina KIGAILA ni vifaranga tu hawana lolote la maana.Haiwezekana wagombea wa chama chako waondolewe nchi nzima halafu wewe mwenyekiti umekaa tu,kama huelewi kinacho endelea.Mbowe itisha kamati kuu ya chama ya dharura Kisha mtoke na maazimio ya kutokukubaliana na kinacho endeleo,kesho yake wagombea wote watapitishwa tu.Huyu KIGAILA ni kifaranga wa CCM ambaye anawazuga raia na wanachadema.
Siku zote chama kisipoendeshwa kitaasisi kinageuka kuwa mali ya mtu.Tokea Chadema impate katibu mkuu Dr.Wilbroad Peter Slaa ni dhahiri kabisa haijapata mtu makini kama yule tena katika nafasi hiyo hadi leo.Hao madogo akina John Mnyika wala hawajui kazi wanayotakiwa kufanya hadi sasa.Naamini watanzania wanaona na kufuatilia mambo yanavyokwenda ndani ya CHADEMA.Viongozi wanatakiwa kujitambua ,mkiwa na katibu mkuu tena ndiye mtandaji mkuu wa chama Alafu mnashuhudia ukimya uliopitiliza ujue kuna zaidi ya problem ya aina na usahihi wa watu ktk nafasi zao ndani ya Chama.
Kigaila kachukizwa kuona walioenguliwa wamerudishwa.....

Kumbe ilikuwa plan fulani amazing
Huyu ni pandikizi la ccm. “MOLE”.
Marehemu Ngombale Mwilu akiwaita hawa mapandikizi kwa jina la “ KIKULACHO”.
Inavyoonekana Kuna mvurugano ndani ya Chadema. Kiini cha kuwepo kwa mvurugano huu huko Chadema kwa maoni yangu ni kutokana na namna Mwenyekiti wa Chama chao hicho Freeman Mbowe kukosa misimamo inayoeleweka kuhusiana na Siasa za nchi hii kwa sasa. Siyo siri hata kidogo, Mbowe akiwa Kama Kiongozi wa Chama Chao hicho, amekuwa ni mtu ambaye Hana msimamo unaoeleweka hali hii imesababisha mkwamo na kuyumba kwa Wanachama wa chama hicho.

Mbowe amekuwa ni mtu asiyeaminika tena kwa sasa ndani ya Chama Chao hicho, watu wengi kwanza wanamchukulia kama ni Mamluki wa Chama tawala ambaye amejipachika kwenye Vyama vya upinzani kwa 'kazi maalumu ya kuvuruga vyama vya upinzani' ili kukinufaisha chama tawala.

'Engine' ya treni ikiharibika mabehewa yote ya treni nayo huyumba na kusimama!
 
Kupitia vyombo vya habari mbalimbali vya ndani na nje Kigaila ambae ni Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA BARA amemshambulia vikali Makamu Mwenyekiti wake Bwana Tundu Lissu kwa madai kuwa hajui chochote kuhusu maandalizi ya Uchaguzi kwani hakuwepo nchini watu mbalimbali wakijaribu kuhoji uadilifu wa Lissu ndani ya chama hicho Cha CHADEMA.
Hili mimi niliwahi kuwauliza humu Msikie Tundu Lissu Hapa, Anauliza Kama Wenzake Wana Akili Kweli! Maridhiano Ayaita Ujinga. Je, Lissu Bado ni Asset or Sasa ni A Liability?
P
 
Inavyoonekana Kuna mvurugano ndani ya Chadema. Kiini cha kuwepo kwa mvurugano huu huko Chadema kwa maoni yangu ni kutokana na namna Mwenyekiti wa Chama chao hicho Freeman Mbowe kukosa misimamo inayoeleweka kuhusiana na Siasa za nchi hii kwa sasa. Siyo siri hata kidogo, Mbowe akiwa Kama Kiongozi wa Chama Chao hicho, amekuwa ni mtu ambaye Hana msimamo unaoeleweka hali hii imesababisha mkwamo na kuyumba kwa Wanachama wa chama hicho.

Mbowe amekuwa ni mtu asiyeaminika tena kwa sasa ndani ya Chama Chao hicho, watu wengi kwanza wanamchukulia kama ni Mamluki wa Chama tawala ambaye amejipachika kwenye Vyama vya upinzani kwa 'kazi maalumu ya kuvuruga vyama vya upinzani' ili kukinufaisha chama tawala.

'Engine' ya treni ikiharibika mabehewa yote ya treni nayo huyumba na kusimama!
 
Sisi kama CCM tunamuunga mkono Kigaila na Mbowe.

Hawa ni viongozi shupavu wa upinzani.

Lissu ni msaliti ndani ya CHADEMA na anafaa kufutwa uanachama.
Haya ni matokeo ya kuja mjini kwa kuchelewa. Ulimjua lisu kipindi anashambuliwa na chizi Magufuli. Leo ndiyo unamuona mbowe shupavu?
Ati na wewe ni mpiga mbinja wa samia
 
Huyo Benson Kigaila ni pandikizi la CCM, hamna kitu ni Mtu anayestahili kupuuzwa mtu mwenye mihemko kupita maelezo!!

Hiyo hamna kitu ndiye ambaye anaharibu sana chaguzi za kanda, rejea kanda ya kusini.

Intelligence ya CHADEMA ingekuwa smart kama zamani, ingejua RANGI HALISI ya Singo Kigaila, mwakani baada ya general election KIGAILA atakuwa amemfuata Peter msigwa.

Mshenga wa hii ndoa no Mke wake KUNTI MAJALA, kupitia waziri flani wa KIKE.

Kifupi Singo Kigaila Benson anapaswa KUPUUZWA maneno yake, ila anapaswa kuangaliwa kwa jicho pekenyevu ndani ya CHADEMA.

Yupo kwenye payroll ya SERIKALI.
Naunga mkono hoja yako hii.
 
Siku mbowe atakapoamua kukaa pembeni basi safari ya kuitoa CCM itafika ,ila ni ngumu Sana kuiondoa CCM madarakani wakati mbowe akiwa mwenyekiti.Mbowe ni kibaraka hatari ni mfanyabiashara wa kisiasa hawa kina KIGAILA ni vifaranga tu hawana lolote la maana.Haiwezekana wagombea wa chama chako waondolewe nchi nzima halafu wewe mwenyekiti umekaa tu,kama huelewi kinacho endelea.Mbowe itisha kamati kuu ya chama ya dharura Kisha mtoke na maazimio ya kutokukubaliana na kinacho endeleo,kesho yake wagombea wote watapitishwa tu.Huyu KIGAILA ni kifaranga wa CCM ambaye anawazuga raia na wanachadema.
Hakuna mchaga anaweza kufanya Jambo bila kuwa na maslahi binafsi,, Mbowe hatokaa alete mabadiliko hata siku Moja,, Chadema inapaswa kuongozwa na watu wenye karba za Heche,, mnyika,,Lissu,, au hata Luhaga mpina,,, Siyo akina Mbowe,, Lema,, kigaila,, John mrema na etal ni kupoteza muda
 
Hakuna mchaga anaweza kufanya Jambo bila kuwa na maslahi binafsi,, Mbowe hatokaa alete mabadiliko hata siku Moja,, Chadema inapaswa kuongozwa na watu wenye karba za Heche,, mnyika,,Lissu,, au hata Luhaga mpina,,, Siyo akina Mbowe,, Lema,, kigaila,, John mrema na etal ni kupoteza muda
Sinimesikia wanamleta Heche kama mwenyekiti
 
Haya ni matokeo ya kuja mjini kwa kuchelewa. Ulimjua lisu kipindi anashambuliwa na chizi Magufuli. Leo ndiyo unamuona mbowe shupavu?
Ati na wewe ni mpiga mbinja wa samia
Kama hadi wewe unamuunga mkono Lissu...

Kuna namna Lissu anapaswa kuongeza umakini.
 
Back
Top Bottom