Pre GE2025 Benson Kigaila amshambulia vikali Tundu Lissu, asema hajui chochote kuhusu Uchaguzi sababu hakuwepo nchini

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Siku mbowe atakapoamua kukaa pembeni basi safari ya kuitoa CCM itafika ,ila ni ngumu Sana kuiondoa CCM madarakani wakati mbowe akiwa mwenyekiti.Mbowe ni kibaraka hatari ni mfanyabiashara wa kisiasa hawa kina KIGAILA ni vifaranga tu hawana lolote la maana.Haiwezekana wagombea wa chama chako waondolewe nchi nzima halafu wewe mwenyekiti umekaa tu,kama huelewi kinacho endelea.Mbowe itisha kamati kuu ya chama ya dharura Kisha mtoke na maazimio ya kutokukubaliana na kinacho endeleo,kesho yake wagombea wote watapitishwa tu.Huyu KIGAILA ni kifaranga wa CCM ambaye anawazuga raia na wanachadema.
 
"... Kupitia vyombo vya habari ...nk". Halafu tunatakiwa kumwamini?! Hajui maTomaso wako wengi!! Kufanya nukuu bila kuonyesha chanzo inakufanya usiaminike na jamii, waxomaji- kwamba ni uongo mtupu ...nk. Xiku nyngne onyesha vyanzo- nje ya hapo watakufananisha na chawa
 
Kigaila kachukizwa kuona walioenguliwa wamerudishwa.....

Kumbe ilikuwa plan fulani amazing
 
🤔
 
Siku zote chama kisipoendeshwa kitaasisi kinageuka kuwa mali ya mtu.Tokea Chadema impate katibu mkuu Dr.Wilbroad Peter Slaa ni dhahiri kabisa haijapata mtu makini kama yule tena katika nafasi hiyo hadi leo.Hao madogo akina John Mnyika wala hawajui kazi wanayotakiwa kufanya hadi sasa.Naamini watanzania wanaona na kufuatilia mambo yanavyokwenda ndani ya CHADEMA.Viongozi wanatakiwa kujitambua ,mkiwa na katibu mkuu tena ndiye mtandaji mkuu wa chama Alafu mnashuhudia ukimya uliopitiliza ujue kuna zaidi ya problem ya aina na usahihi wa watu ktk nafasi zao ndani ya Chama.
 
Akili ndogo!
Dunia sasa ni Kijiji, ukiwa USA, Kwa Sasa unafahamu Kila kitu na Kila mahali huku bongo
Sio lazima uwepo
 
Wasaidieni hao waganga njaa watauwana
 
Lissu is a genuine opposition leader unlike Mbowe who uses his chaimanship for personal business gain!
He will be more respected if he relinquished the chairmanship now rather than later
Congratulations. You really have a calling in BROKEN English.
 
Lissu is a genuine opposition leader unlike Mbowe who uses his chairmanship for personal business gain! In short he’s a conman!
He will be more respected if he relinquished the chairmanship now rather than later!
Mzee Mbowe will never relinquish Chairmanship as long he is alive.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…