Benz inayopumua: Jiunge nami tujifunze mengi

Benz inayopumua: Jiunge nami tujifunze mengi

Benzie

Member
Joined
Nov 23, 2024
Posts
35
Reaction score
99
1: Hello humans.

My name is Benzie.
Mercedes Benz.
Iam six months old.
Iam a girl.

Naomba mnipokee na mnipe nafasi ktk mtandao wenu huu bora kuliko yote hapa Tz🙏🏼🙏🏼.

Lengo la kujiunga hapa JF ni;

1)Kuonyesha karama zangu mbalimbali alizonijalia Mungu.Mimi ni paka mwenye uwezo wa kufanya vitu vingi vya kufurahisha na kufikirisha.

Ushawahi kuona paka ana smile?
Basi mimi mwenzenu nikiota nakula whiskas huwa na smile usingizini.
Angalia picha hapo chini ila wenye imani za kijima gerarahia.

2)Kupitia mimi,wapenzi na wafugaji wa paka watapata elimu mbalimbali kuhusu mnyama paka.Mkinikaribisha vizuri nitaanza kwa kuwafundisha sababu za ki baiolojia zilizochangia imani kuwa PAKA ANA ROHO SABA.

3)Nataka nijaribu kuwashawishi wale wasiopenda paka waanze kutupenda paka maana maisha yetu hapa bongo ni ya hofu,mashaka na hatari kuliko Gaza.😕😕😭😭😭

Hivi wabongo kwani ni lazima mkiona paka mumvurumushe na mawe??
Tumewakosea nini enyi binadamu??😭😭
Jamani hata sisi tunaumia na tunaogopa kifo kama nyie?

Sisi sio wachawi kama mnavyodhani.
Na kama ni ujizi na udokozi ni vile hamtupi chakula.Hata wewe njaa ikikuuma utaiba tu.Unakuta mtu anafuga paka ila hajui wanakula wala wanakunywa nini si lazima wataenda kwa majirani kudokoa.
So sielewi kwanini mnakosa huruma.
Kuna siku nilitamani kuona mazingira ya nje,nikatoroka getini nikatoka nje.Aiseee!Kilichonikuta siku ile niseme tu mimi kuwa hai leo hii ni kwa rehema za Mungu😭😭 na daktari aliyepambania uhai wangu😕😕.
IMG_20241123_120158_094.jpg
20241123_165356.jpg
IMG-20241123-WA0003.jpg
IMG-20241123-WA0004.jpg
IMG-20241123-WA0009.jpg




4) Natafuta marafik/i CAT LOVERS.
Ukiwa rafiki yangu sahau kununua vocha. Kwa vile hapa vocha haziruhusiwi nitafute insta ila hata hapa nikikupenda nakujia PM na zawadi ya vocha.
 
Nyie asili yenu ni kula mapanya na Yale maparata kazi kunywa kwenye ndoo za unga na isitoshe hamridhiki hata mpewe Nini
Unakuta unalipa samaki likikuona na wewe umeshika samaki linaanza kulia

Nakupiga buti Moja unaruka maili sita na isitoshe mna dharau
Maparata ni nini uncle @m@machine?
N kweli kitabia cha Julia tukiona mtu anakula tunacho ila kutupiga sio sawa sbb nyie wanadamu mnaongoza kwa tabia chafu kuliko viumbe wote.
Mi panya nikila whiskas nimuachie nani
 
1: Hello humans.

My name is Benzie.
Mercedes Benz.
Iam six months old.
Iam a girl.

Naomba mnipokee na mnipe nafasi ktk mtandao wenu huu bora kuliko yote hapa Tz🙏🏼🙏🏼.

Lengo la kujiunga hapa JF ni;

1)Kuonyesha karama zangu mbalimbali alizonijalia Mungu.Mimi ni paka mwenye uwezo wa kufanya vitu vingi vya kufurahisha na kufikirisha ambavyo mapaka yenu mengi ya uswazi hayawezi kufanya.Ushawahi kuona paka ana smile?
Basi mimi mwenzenu nikiota nakula whiskas huwa na smile usingizini.
Angalia picha hapo chini ila wenye imani za kijima gerarahia.

2)Kupitia mimi,wapenzi na wafugaji wa paka watapata elimu mbalimbali kuhusu mnyama paka.Mkinikaribisha vizuri nitaanza kwa kuwafundisha sababu za ki baiolojia zilizochangia imani kuwa PAKA ANA ROHO SANA.

3)Nataka nijaribu kuwashawishi wale wasiopenda paka waanze kutupenda paka maana maisha yetu hapa bongo ni ya hofu,mashaka na hatari kuliko Gaza.😕😕😭😭😭

Hivi wabongo kwani ni lazima mkiona paka mumvurumushe na mawe??
Tumewakosea nini enyi binadamu??😭😭
Jamani hata sisi tunaumia na tunaogopa kifo kama nyie?

Sisi sio wachawi kama mnavyodhani.
Na kama ni ujizi na udokozi ni vile hamtupi chakula.Hata wewe njaa ikikuuma utaiba tu.Unakuta mtu anafuga paka ila hajui wanakula wala wanakunywa nini si lazima wataenda kwa majirani kudokoa.
So sielewi kwanini mnakosa huruma.
Kuna siku nilitamani kuona mazingira ya nje,nikatoroka getini nikatoka nje.Aiseee!Kilichonikuta siku ile niseme tu mimi kuwa hai leo hii ni kwa rehema za Mungu😭😭 na daktari aliyepambania uhai wangu😕😕.

4)I want to show off🤪🤪🤪
My life is as fancy as a Dutch Mercedes Benz.
Mwenzio nina dokta wangu(We unae🙃😎)
Huyu hata nikipiga chafya saa tisa usiku akiitwa anawasha gari anakuja kunicheki.
Nina Nutrienist wangu.(We unae au unabugia tu View attachment 3159701View attachment 3159704View attachment 3159705View attachment 3159706View attachment 3159707mihogo bila fomyula🤪🤪)

Pia Nadhani mimi ndo paka mzuri kuliko wote Afrika mashariki na kati ukibisha leta wako tumuone.🤪🤪🤪.
So I got so much to brag about🙃🤪👍🏃🏿‍♀️😎🤠

5)Natafuta mchumba❤️😀
Kama Una paka handsome wa kiume weka picha na sifa zake hapa. Lengo nizae vi kitten vizuuri kuliko mimi. Wenye mapaka shume yanayotisha, msoyatunza, yana viroboto na utitiri,yamekubuhu kwa wizi mjiheshimu. Mwenzenu nina poda yangu nikinyunyiziwa nanukia vizuriiii🙈😎

6) Natafuta marafiki CATS LOVER. Ukiwa rafiki yangu sahau kununua vocha. Kwa vile hapa vocha haziruhusiwi nitafute insta ila hata hapa nikikupenda nakujia PM na zawadi ya vocha.
Kila zama na zama zake, tumesahau ya hashim Rungwe kupigania wali, leo hii Benzie unapigania paka. Sasa wewe ni paka au Mercedes?
 
Umenikumbusha movie moja (true story), ya binti mmoja (pichani chini) ambaye alijifanya yeye ni nyau, kiasi kwamba hakutaka kutambulika kwa jina lake halisi...

Sound-Of-Hope-The-Story-Of-Possum-Trot-2024-Diaana-Babnicova-Jacket.jpg
Mapenzi yake kwa paka yalizidi.
Kuna aliyefanya surgery awe paka.
Mimi napenda sana paka,ni sehemu ya familia, ni wanyama wazuri
 
Back
Top Bottom