Benz inayopumua: Jiunge nami tujifunze mengi

Benz inayopumua: Jiunge nami tujifunze mengi

Uncle @mshamba_hiyo dislike na tusi naomba ufute umenionea.
Mbona wale wanaopush ajenda za kubomolewa vinyeo huwapi dislike na kuwatukana.
Ina maana kufundishana kuhusu paka forum itaharibika ila contents za upinde na vinyeo forum haiharibiki?
haya bwana,

kila mmoja na afanye vile apendavyo

mods ndo waamuzi sio mimi
 
Nyie asili yenu ni kula mapanya na Yale maparata kazi kunywa kwenye ndoo za unga na isitoshe hamridhiki hata mpewe Nini
Unakuta unalipa samaki likikuona na wewe umeshika samaki linaanza kulia

Nakupiga buti Moja unaruka maili sita na isitoshe mna dharau
Paka ni mnyama msafi mkuu.
Ukiona anajisaidia ndani au kwenye unga ni hajaandaliwa sehemu yake ya kujisaidia?
Hivi mtu akikupiga na wewe buti utajisikiaje?
Kama Kulia kwake kunakukera means sio mpenzi wa paka so usiwafuge kisha uwatese.
Na wao wanaumia kama wewe
 
Back
Top Bottom