Benz inayopumua: Jiunge nami tujifunze mengi

Benz inayopumua: Jiunge nami tujifunze mengi

Jina la hilo gari unalotumia aisee nimestuka sana maana ni moja ya mashine nazozikubali mno Mercedes Benz Germany wana kiwanja cha mpira cha Timu moja wanatumia hilo jina...
 
@mods please ikiwapendeza naomba nisaidie kufuta huu uzi.
Sikutegemea utageuka wa ngono.

Napenda pets.SANA,
Nina mbwa pia.Wana akili kuliko baadhi yetu mandingo.

Niliamini Kuna wapenzi wenzangu wa paka hapa tufurahie na kufundishana kuhusu wanyama ila baada ya kupost ndio nimekumbuka niko Afrika ambako wanyama hawana thamani.

Naona bandiko limegeuka la mambo ya ngono na hilo sio lengo na sijisikii amani kuendelea na huu uzi.

Niwaage tu kwa KUOMBA tuache kunyanyasa wanyama.Na wao wanaumia kama wewe tu.
Kuna watu wameokolewa kifo na pets wao.

Juzi tu kuna mbwa kaokoa kichanga kilichofukiwa na mamake kife ila mbwa huyo huyo akikatiza mitaa ya Tz Kuna wajinga watampiga mawe.

Waafrika sisi ni wakatili na tunachowafanyia wanyama ndicho tunachofanyiana gizani.

My dream ni siku moja nifungue kituo cha kulelea paka waliotelekezwa.
Pia nitafurahi siku moja sheria za kutetea wanyama zikifanyiwa kazi.
Wajinga wote wanaoopiga piga paka ovyo wanatakiwa kukaa gerezani,sio watu wazuri.

Nakasirishwa sana na mawatu yanayohusisha paka na ushirikina,Naona kichwani wamejaa funza.Waafrika tuko nyuma sana ya Muda..
Tunawaza ngono tu na kuzaa zaa hovyo vitoto vingi vingi tusivyoweza kuvihudumia na kuvisomesha na vyenyewe vnaishia kurithi imani za kishirikina.
So sad!
 
Paka ni viumbe wazuri na waajabu sana, kwa mwenye kuwaelewa.

Wengi wanasema mbwa ni rafiki mkubwa wa binadam, mimi binafsi nasema paka ni rafiki mkubwa wa binadam.

Paka ana sifa nyingi nzuri za kulelewa na binadam kuliko mbwa. Mimi nimekuwa na paka tangu utotoni na siwezi kuishi bila paka nyumbani kwangu, ndani na nje ya Tanzania.

Machache kuhusu paka wangu wa shamba Tanzania.

Anajuwa kama kunakuja wageni, ana ishara zake na namna ya sauti anazotoa, mimi naelewa kuna kuja wageni.

Anakamata na kuua wadudu wabaya, kama nyoka, tandu, nge na kuwapanga mlangoni kwa nje ya nyumba, ili kunionesha kazi anayoifanya nimsifie. Anawaua tu hawali kabisa. Namsifia na kumpa dagaa nyama, basi hapo atatoa sauti fulani ambayo mimi nimeitafisiri anamshukuru Mungu na mimi kwa zawadi. Hiyo sauti huwa haitowi mpaka utapompa chakula.

Tumwacheni paka Mercedes ajielezee zaidi.

Karibu sana Merecedes Benz. aka Benzie
 
Paka ni voiumbe wazuei na waajabu sana, kwa mwenye kuwaelewa.

Wengi wanasema mbwa ni rafiki mkubwa wa bindam, mimi binafsi nasema paka ni rafiki mkubwa wa bindam.

Paka ana sifa nyingi nzuri za kullrwa na binadam kuliko mbwa. Mimi nimekuwa na paka tangu utotoni na siwezi kuishi bila paka nyumbani kwangu, ndani na nje ya Tanzania.

Machache kuhusu paka wangu wa shamba Tanzania.

Anajuwa kama kunakuja wageni, ana ishara zake na namna ya sauti anazotoa, mimi naelewa kuna kuja wageni.

Anakamata na kuua wadudu wabaya, kama nyoka, tandu, nge na kuwapanga mlangoni kwa nje ya nyumba, ili kunionesha kazi anayoifanya nimsifie. Anawaua tu hawali kabisa. Namsifia na kumpa dagaa nyama, basi hapo atatoa sauti fulani ambayo mimi nimeitafisiri anamshukuru Mungu na mimi kwa zawadi. Hiyo sauti huwa haitowi mpaka utapompa chakula.

Tumwacheni paka Mercedes ajielezee zaidi.

Karibu sana W@Merecedes Benz.
Nakuelewa sana dada yangu bravo🙏
 
Umenikumbusha movie moja (true story), ya binti mmoja (pichani chini) ambaye alijifanya yeye ni nyau, kiasi kwamba hakutaka kutambulika kwa jina lake halisi...

Sound-Of-Hope-The-Story-Of-Possum-Trot-2024-Diaana-Babnicova-Jacket.jpg
Jina la movie
 
Mapenzi yake kwa paka yalizidi.
Kuna aliyefanya surgery awe paka.
Mimi napenda sana paka,ni sehemu ya familia, ni wanyama wazuri

Nope, she was traumatized akaona bora aishi kama nyau...
 
1: Hello humans.

My name is Benzie.
Mercedes Benz.
Iam six months old.
Iam a girl.

Naomba mnipokee na mnipe nafasi ktk mtandao wenu huu bora kuliko yote hapa Tz🙏🏼🙏🏼.

Lengo la kujiunga hapa JF ni;

1)Kuonyesha karama zangu mbalimbali alizonijalia Mungu.Mimi ni paka mwenye uwezo wa kufanya vitu vingi vya kufurahisha na kufikirisha ambavyo mapaka yenu mengi ya uswazi hayawezi kufanya.Ushawahi kuona paka ana smile?
Basi mimi mwenzenu nikiota nakula whiskas huwa na smile usingizini.
Angalia picha hapo chini ila wenye imani za kijima gerarahia.

2)Kupitia mimi,wapenzi na wafugaji wa paka watapata elimu mbalimbali kuhusu mnyama paka.Mkinikaribisha vizuri nitaanza kwa kuwafundisha sababu za ki baiolojia zilizochangia imani kuwa PAKA ANA ROHO SANA.

3)Nataka nijaribu kuwashawishi wale wasiopenda paka waanze kutupenda paka maana maisha yetu hapa bongo ni ya hofu,mashaka na hatari kuliko Gaza.😕😕😭😭😭

Hivi wabongo kwani ni lazima mkiona paka mumvurumushe na mawe??
Tumewakosea nini enyi binadamu??😭😭
Jamani hata sisi tunaumia na tunaogopa kifo kama nyie?

Sisi sio wachawi kama mnavyodhani.
Na kama ni ujizi na udokozi ni vile hamtupi chakula.Hata wewe njaa ikikuuma utaiba tu.Unakuta mtu anafuga paka ila hajui wanakula wala wanakunywa nini si lazima wataenda kwa majirani kudokoa.
So sielewi kwanini mnakosa huruma.
Kuna siku nilitamani kuona mazingira ya nje,nikatoroka getini nikatoka nje.Aiseee!Kilichonikuta siku ile niseme tu mimi kuwa hai leo hii ni kwa rehema za Mungu😭😭 na daktari aliyepambania uhai wangu😕😕.

4)I want to show off🤪🤪🤪
My life is as fancy as a Dutch Mercedes Benz.
Mwenzio nina dokta wangu(We unae🙃😎)
Huyu hata nikipiga chafya saa tisa usiku akiitwa anawasha gari anakuja kunicheki.
Nina Nutrienist wangu.(We unae au unabugia tu View attachment 3159701View attachment 3159704View attachment 3159705View attachment 3159706View attachment 3159707mihogo bila fomyula🤪🤪)

Pia Nadhani mimi ndo paka mzuri kuliko wote Afrika mashariki na kati ukibisha leta wako tumuone.🤪🤪🤪.
So I got so much to brag about🙃🤪👍🏃🏿‍♀️😎🤠

5)Natafuta mchumba❤️😀
Kama Una paka handsome wa kiume weka picha na sifa zake hapa. Lengo nizae vi kitten vizuuri kuliko mimi. Wenye mapaka shume yanayotisha, msoyatunza, yana viroboto na utitiri,yamekubuhu kwa wizi mjiheshimu. Mwenzenu nina poda yangu nikinyunyiziwa nanukia vizuriiii🙈😎

6) Natafuta marafiki CATS LOVER. Ukiwa rafiki yangu sahau kununua vocha. Kwa vile hapa vocha haziruhusiwi nitafute insta ila hata hapa nikikupenda nakujia PM na zawadi ya vocha.

Umeshawahi kufika Mburahati?
 
Paka ni mnyama mzuri sana na mwenye kuvutia, ana akili nyingi, akiwa kwenye familia anajua na yeye ni mmoja wa familia so ana behave as one, kuna mdau huko juu kasema ukimpa paka samaki na wewe ukawa unakula samaki anaacha wake analilia wako hahaha kwani hiyo tabia si hata watoto wadogo wanayo?
Kinachonifurahisha kuhusu paka ni ubinafsi na uchokozi wao, yeye anaweza akakaa sehemu yoyote kwenye kochi ila ole wako wewe ukae sehemu yake atalia hadi utoke, atapanda kwenye dressing table yako na kuangusha kila kitu halafu atakuangalia like utanifanya nini i'm the boss here.

Benzie ni paka mrembo😍
 
Back
Top Bottom