My Honest Book
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 1,363
- 2,161
We unadhan hao matajiri unaongoja wafe usherehekee na maskini wanaokufa kila siku wap wapo kwny risk group ya kufa?!! Hiz IDs zinatutia sana uchiziHatangulii mtu hapa acha kujifariji. Mpaka tufukie wote wanaojifanya hii nchi ni mali ya baba zao
Hivi mmegundua kuwa jana bar zilijaa sana tofauti na weekend zote toka huu mwaka uanze!!
Shauri yako we si unaishi kijijiniHakuna lolote, Membe hakuwa na ubaya na mtu yeyote!
usiwe kama huna akili, chochote kinachopumua hufa regardless ya umaskini/utajiriWe unadhan hao matajiri unaongoja wafe usherehekee na maskini wanaokufa kila siku wap wapo kwny risk group ya kufa?!! Hiz IDs zinatutia sana uchizi
Twanga kotekote iendeleeViongozi msibani sisi tunaendelea na Mikutano ya hadhara leo Tundu Lissu anaunguruma Ushirombo Bukombe.
Viongozi msibani sisi tunaendelea na Mikutano ya hadhara leo Tundu Lissu anaunguruma Ushirombo Bukombe.
AsubutuuDuh..
Team Magu bado ipo kwa system wazee.. Tekini Care..
Heche kapanda Jukwaani ili kuwaamsha Wasumbwa waache Wanzuki wadai KATIBA MPYA.Twanga kotekote iendelee
Usijifiche kichwa chini, kiwili wili juu utakua kichekesho.. nyie mnajiita wapinzani mliungana na wahuni wachache wa CCM kushukuru mungu kuingilia kati kifo cha JPM. Mlisahau kaburini ni kwa kila mtu... Mbowe, lissu, zitto, nape na makamba sr. ... pamoja na chawa zao ukiwepo mliongea sana...Nani kapigwa kitu kizito, Mimi ni Anti-JPM ila sipo CCM Sasa hayo ya Membe yananiumaje Mimi? Unless ingekua Mbowe au Lissu ndio ningeumia.
Tuliungana? Nitolee upuuzi wenu hapa, wapinzani tumemkosoa JPM tokea akiwa hai Sasa kivipi tukimkosoa akiwa amekufa tuonekane "tumeungana"?Usijifiche kichwa chini, kiwili wili juu utakua kichekesho.. nyie mnajiita wapinzani mliungana na wahuni wachache wa CCM kushukuru mungu kuingilia kati kifo cha JPM. Mlisahau kaburini ni kwa kila mtu... Mbowe, lissu, zitto, nape na makamba sr. ... pamoja na chawa zao ukiwepo mliongea sana...
Sasa namba zitaitwa mmoja baada ya mwingine.... dhihaka mlioifanya iliwaliza watu, machozi ya watu hayataenda bure... kilichotokea ni kdg sana.. bado Godfather wao anasubiriwa.. hawa chawa wengine hawana nguvu kama yule Godfather akiondoka... na hapo nchi itatulia sana.
Magufuli ndio alimuua Dr mvungi? Magufuli ndio alimpiga bomu mwangosi? Tuseme ya akina Dr ulimboka?Msiba wa MEMBE umesadifu mpasuko na chuki alizoziotesha magufuli.....
Magufuli alikuta taifa linaloahikamana, ameacha taifa lililogawanyika ....
Kama raha zinatesa sawa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] njoo unywee bia upunguze povu wazuri hawafi we vipi??Mimi siumii naona wewe unateseka sana.