We nawe Acha uongo taifa lilishikamana na nani?? Chuki mlizianza wenyewe msimtwishe baba wa watu!!! Wazuri hawafi kaeni kwa kutuliaMsiba wa MEMBE umesadifu mpasuko na chuki alizoziotesha magufuli.....
Magufuli alikuta taifa linaloahikamana, ameacha taifa lililogawanyika ....
Mlikosoa au mlitukana? Ngoja tufukie mzoga tutaongea vzrChadema tokea 2004, Cha ajabu tukimkosoa JPM tunageuka team membe!! Sukuma gang mna stress
Ndio.Kama ilivotulia march sio [emoji16]
Tishia nyau tu hapo na wazee wao hakuna hata wanaostuka, wakakabidhi hata kwa miti nn wazee? Washalowa hao Mungu fundi bwana sasa kati ya Mungu na wazee nani zaidi? Wazuri hawafi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tutafahamu pindi wazee wakikabidhiwa mwili huo.
Kweli mwana KWENDAZAKE [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji253][emoji253][emoji253] limempendeza
Nimekuona mkuu RONDO ukipeleka sufuria [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kukosoa na kufurahia kifo ni sawa? Kama kule ndo kukosoa kwenu basi hakika wazuri hawafi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16]Tuliungana? Nitolee upuuzi wenu hapa, wapinzani tumemkosoa JPM tokea akiwa hai Sasa kivipi tukimkosoa akiwa amekufa tuonekane "tumeungana"?
Msituingize kwenye vurugu zenu huko afe Membe au JK au January hao wote ni CCM Sasa Chadema tuna hasara Gani au tunaingiaje humo? Mnachekesha sana nyie sukuma gang.
Mnalazimisha kwamba Kila anayemchukia JPM basi kaumia na msiba wa Membe? Hivi si ni Chadema sisi tulimkataa Membe kwa kusema ni kibaraka wa CCM Cha kushangaza Leo kafa eti mnatupa pole??
Mnatia huruma sana Sukuma gang, ila hata mshangilie kifo cha nani Ile knockout ya JPM Haina simile maana alidondoka akiwa kwenye peak
Wewe tayari umeshalewa siyo kosa lako.Kama raha zinatesa sawa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] njoo unywee bia upunguze povu wazuri hawafi we vipi??
Kuzimu hakuna amaniAlikuwa Msakatonge tu yule, ukachara wake ulikuwa kwa ajiri ya tumbo lake , Apumzike kwa Amani
We una Sonona sio bure, Sasa waziri hawafi imetolewa na Makamba wa CCM waliyemzodoa ni JPM wa CCM na aliyefariki Jana ni Membe wa CCM. Sasa inahusiana Nini na sisi Chadema?Kukosoa na kufurahia kifo ni sawa? Kama kule ndo kukosoa kwenu basi hakika wazuri hawafi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16]
Zikeni si Mzoga wenu CCM Sasa unatuhusu Nini Chadema.Mlikosoa au mlitukana? Ngoja tufukie mzoga tutaongea vzr
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hii ni rasharasha tayari mmetoka kwenye mapango yenu subiria ije upande huo ndo utajua umuhimu wa manyunyuWe una Sonona sio bure, Sasa waziri hawafi imetolewa na Makamba wa CCM waliyemzodoa ni JPM wa CCM na aliyefariki Jana ni Membe wa CCM. Sasa inahusiana Nini na sisi Chadema?
Sukuma gang msituletee stress za kuuwana huko, nyie malizaneni but sisi kama chadema haituhusu. Tunachojua ni ibilisi wa Chato alishaoza na mifupa imeliwa na funza full stop.
usiwe kama huna akili, chochote kinachopumua hufa regardless ya umaskini/utajiri
Limepita hiloKweli mwana KWENDAZAKE [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji253][emoji253][emoji253] limempendeza
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tishia nyau tu hapo na wazee wao hakuna hata wanaostuka, wakakabidhi hata kwa miti nn wazee? Washalowa hao Mungu fundi bwana sasa kati ya Mungu na wazee nani zaidi? Wazuri hawafi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie mpishi wa uji wa wafiwaa.Nimekuona mkuu RONDO ukipeleka sufuria [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Pole sana lakini hatorudi.Hata sisi tunatapatapa mpaka leo kujua chanzo cha kifo cha jemedari wetu pambaneni na hali zenu
Bahari imetulia