TANZIA Bernard Kamilius Membe afariki dunia
Hawajui tu lakini mwanamke kujilipua kutegesha mimba ili uolewe wengi huishia kuwa single parent (mother).

Wengine hulazimisha kuolewa kimkanda mkanda lakini baada ya muda mfupi hulipa gharama kwa kuteseka na kukosa amani.

Wengine hubutuliwa kama mipira kwa vipigo, kusalitiwa ndio usiseme [emoji108]
 
Wanaume ukiwaangalia utawaona kama mafala hivi lakini huwa wana akili yao kichwani.

Mwanzoni utampelekesha utakavyo hata kumpumbaza akili Kwa uganga na ulozi lakini ewe mwanamke ujue utawajibika kwa hila zako [emoji108]
 
Tuliungana? Nitolee upuuzi wenu hapa, wapinzani tumemkosoa JPM tokea akiwa hai Sasa kivipi tukimkosoa akiwa amekufa tuonekane "tumeungana"?

Msituingize kwenye vurugu zenu huko afe Membe au JK au January hao wote ni CCM Sasa Chadema tuna hasara Gani au tunaingiaje humo? Mnachekesha sana nyie sukuma gang.

Mnalazimisha kwamba Kila anayemchukia JPM basi kaumia na msiba wa Membe? Hivi si ni Chadema sisi tulimkataa Membe kwa kusema ni kibaraka wa CCM Cha kushangaza Leo kafa eti mnatupa pole??

Mnatia huruma sana Sukuma gang, ila hata mshangilie kifo cha nani Ile knockout ya JPM Haina simile maana alidondoka akiwa kwenye peak
Kukosoa na kufurahia kifo ni sawa? Kama kule ndo kukosoa kwenu basi hakika wazuri hawafi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16]
 
Kukosoa na kufurahia kifo ni sawa? Kama kule ndo kukosoa kwenu basi hakika wazuri hawafi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16]
We una Sonona sio bure, Sasa waziri hawafi imetolewa na Makamba wa CCM waliyemzodoa ni JPM wa CCM na aliyefariki Jana ni Membe wa CCM. Sasa inahusiana Nini na sisi Chadema?

Sukuma gang msituletee stress za kuuwana huko, nyie malizaneni but sisi kama chadema haituhusu. Tunachojua ni ibilisi wa Chato alishaoza na mifupa imeliwa na funza full stop.
 
We una Sonona sio bure, Sasa waziri hawafi imetolewa na Makamba wa CCM waliyemzodoa ni JPM wa CCM na aliyefariki Jana ni Membe wa CCM. Sasa inahusiana Nini na sisi Chadema?

Sukuma gang msituletee stress za kuuwana huko, nyie malizaneni but sisi kama chadema haituhusu. Tunachojua ni ibilisi wa Chato alishaoza na mifupa imeliwa na funza full stop.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hii ni rasharasha tayari mmetoka kwenye mapango yenu subiria ije upande huo ndo utajua umuhimu wa manyunyu
 
usiwe kama huna akili, chochote kinachopumua hufa regardless ya umaskini/utajiri

Matendo na tabia zetu, hasa tunapopata madaraka, zinasikitisha. Tunajusahau.
Ndio maana unaona kuna mambo ambayo badala ya kusikitika na kuombeana mema, wengine wanafurahia.
As long as we live in world, our time is limited. We don't live forever. Pity, because of personal gains and power, some sacrifice things that nobody can sacrifice.
Tujifunze kuwa wanyenyekevu
 
Tishia nyau tu hapo na wazee wao hakuna hata wanaostuka, wakakabidhi hata kwa miti nn wazee? Washalowa hao Mungu fundi bwana sasa kati ya Mungu na wazee nani zaidi? Wazuri hawafi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom