Hawa watu walijua shida tumeumbiwa team Magufuli
 
Wachawi mnafuraha tele haya bwana!
Oyoooooooooo pigaaaaaaa keleeeeeeeee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji1690][emoji1690][emoji1690][emoji1690][emoji1690][emoji1690][emoji1690][emoji1690][emoji1690] bwana membe[emoji117][emoji879][emoji879][emoji879][emoji879]
 
Mmmmh... amekufa kweli!!? Mzee Makamba alituambia wazuri hawafi!! Au naota!!?
 
Deni halifi na Marehemu, hapo kuna Mrithi wa marehemu atakeyerithi pia madeni ya marehemu kwa mujibu wa Sheria ya Mirathi! Labda amsamehe!
Membe mwenyewe alishindwa kupambana na musiba, siku 5 za mnada zilipita ila akashindwa kukazia hukumu. Hao waliobaki sidhani kama Wataweza kitu, nahisi kuna nguvu isiyoonekana nyuma ya musiba
 
Aliyewahi kuwa waziri wa mambo ya Nje kwenye Serikali ya awamu ya nne, Benard Membe amefariki Dunia. Taarifa za awali zinaeleza Membe alipata changamoto ya Kifua na kupelekwa Hospitali ya Kairuki alfajiri ya leo May 12, 2023 na baadaye kufariki...
Kwa nn hizi habari zinafatana, Bashite kufutiwa kesi na Musiba.
 
Aliyewahi kuwa waziri wa mambo ya Nje kwenye Serikali ya awamu ya nne, Benard Membe amefariki Dunia. Taarifa za awali zinaeleza Membe alipata changamoto ya Kifua na kupelekwa Hospitali ya Kairuki alfajiri ya leo May 12, 2023 na baadaye kufariki...
Dah Musiba kule kijijini alikoenda kabadili gia angani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…