This could spark mega witches war πŸ˜…πŸ˜… kila upande umeanza kutayarisha missile zao ??!!
 
Waliosema Mungu aliingilia kati, watoe neno sasa! Marehemu alipokua hai alimnenea vibaya sana mwendazake Jiwe, walisahau kua matundu ya pua yanaangalia chini, mda ukifika utarudi futi 6 tu.
Pumzika kwa amani membe, pumzika kwa amani Magufuli.. maisha ni fumbo.
 
Dah! MUSIBA amepona. Poleni sana wafiwa.
 
Sawa Musiba,
Naona umekuja kujitetea humu,
Ila atakae teuliwa kusimamia mirathi ya BM,
Alikumbuke na hili deni la marehemu analo mdai Musiba......
Unahisi kwa nini siku 5 zilipita na hakuna kilichoendelea? Ukiacha kwenda kumdai unahisi kwa nini walishindwa kumgusa musiba kwa namna nyingine!

Kuna kitu hatujui, musiba pengine ana nguvu kubwa nyuma yake
 
kwani changamoto ya kifua na kupumua bado ipo? itabidi tuchanje tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…