Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini wazuri nao wanakufa lkn? Si walisema wanaokufa ni wabaya tuuTuko msibani, tukimaliza tunakomaa na 9 billion zetu
Umeongea kile tayari watu wengi wanajiuliza Mkuu! Lakini itoshe tu kusema! Mwenye shamba lake anapoamua kuvuna mazao yake, hahitaji amuulize nani, maana yeye ndo mkulima na anajua gharama ya mazao yakeKifo kimekuja wakati mbaya kitazua maswali mengi sana.
Una makamasi kichwaniFamilia yake ilipwe fedha na Musiba.
Inapokelewa na mahakama mpaka mirathi ikikamilika inagawanywa kwa wanufaika wote wa Mirathi.Hiyo billion 9 aliyotakiwa kulipwa nan aaipokea
Wewe bado kipofu. Unaishi nchi ya kihuni lakini huna macho ya kujua unaishi nchi ya kihuni.Deni halifi na Marehemu, hapo kuna Mrithi wa marehemu atakeyerithi pia madeni ya marehemu kwa mujibu wa Sheria ya Mirathi! Labda amsamehe!
MkuuIla kusema ukweli, membe alikuwa anaumwa kitambo sema mambo ya pesa tu. Nakumbuka 2018 au 2019 nilikutana nae nmb pale lindi akiwa na gari yake flani ya kibabe hivii; alionekana dhaifu sana.
Nilikutana nae tena Dar, 2022 mwanzoni, alikuwa amedhoofu zaidi......kuna kitu kilikuwa kinamsumbua yule, trust me!!
Ahsante mkuu. Wewe mwelevu ni Mzuri hautakufa. Mungu akujaalie kadri ya uelevu wako.Punuguza upumbavu
Akawe rais wa mafisadi huko aendakoHuu ni msiba ndio umenigusa nilimkubali nakupend siku moja awe Raisi
Any way R.I.P[emoji26][emoji26]
Msiba hakiksha unalpa Deni la mwendaZake
Uhai ni zawadi kutoka kwa Mungu, mapenzi yake yatimie. Ila sisi chetu ni 9 billionKwanini wazuri nao wanakufa lkn? Si walisema wanaokufa ni wabaya tuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Musiba kampata mganga gani wa kumpiga Jasusi kitu kizito?
Sawa Musiba,Deni lipi? Mnahubiri Demokrasia halafu nyie hao hao hamtaki ifanye kazi upande wenu. Msiba hadaiwi na mtu ni uhuni walitaka kumfanyia.
Unajua furaha yako ni kuona hivyo lakini mimi nataka twende kwenye uhalisia.Hakuna nguvu yeyote iliyo nyuma yake.
This time kende zinatoa maji na harufu.
Alibandika nini?Pascal Mayalla mabandiko yako naanza kuyaogopa sasa [emoji31]
Musiba ni mchawi kwelikweli. We jiulize kwa nini hakuna aliyeweza kumgusa hadi sasa zaidi walikimbilia mahakamani. Maana tuliambiwa like kikundi ni mamafia sana, lakini kwa musiba sijui wameshindwaje
Au Musiba kafanya yake?Manake kudaiwa hayo mabilioni sio mchezo!
Musiba akikata rufaa ya hukumu iliyotolewa huenda akashinda kesi,manake mdai hayupo.
Mlongo mganga wa Musiba sio wa kutoka Maniamba msumbiji kweli?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]May his soul rest in eternal peace.