TANZIA Bernard Kamilius Membe afariki dunia
Ila kusema ukweli, membe alikuwa anaumwa kitambo sema mambo ya pesa tu. Nakumbuka 2018 au 2019 nilikutana nae nmb pale lindi akiwa na gari yake flani ya kibabe hivii; alionekana dhaifu sana.

Nilikutana nae tena Dar, 2022 mwanzoni, alikuwa amedhoofu zaidi......kuna kitu kilikuwa kinamsumbua yule, trust me!!
Mkuu

Linda afya yako ukiwa kijana!!

Gigi,in na nk vinasumbua sana uzeeni na macho pia plus mapafu!!

Rip Mzee Membe!!
 
Musiba ni mchawi kwelikweli. We jiulize kwa nini hakuna aliyeweza kumgusa hadi sasa zaidi walikimbilia mahakamani. Maana tuliambiwa like kikundi ni mamafia sana, lakini kwa musiba sijui wameshindwaje

Ukikaa na kuamini makonda,sabaya,musiba waliibuka tu kama akina baba level umechagua kuwaza vibaya.

Japo siamini ktk uchawi kwenye hili ila kwa vyovyote membe asingelipwa na wala hatalipwa pesa zile.
 
Back
Top Bottom