Lwiva
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 15,416
- 22,334
Hakuna fisadi yoyote tanzania aliye fanyiwa hukumu kama ya musiba ...wakati musiba ajafanya ufisadi wowote hata kuiba kipande cha sabuni sasa hiyo hukumu ya mamilioni kwa mabilioni ni uhuni kamili...mahakimu wauza ngada na majaji nwauza ngada ndiyo wametumika ...bado wao ...siku zao zina hesabikaMsimamizi wa mirathi wa Membe nasikia ndio hatari zaidi, hivyo Musiba asidhani kuvunjika kwa koleo ndio mwisho wa uhunzi