The ice breaker
JF-Expert Member
- Apr 20, 2023
- 880
- 1,985
Huyu mganga wa musiba, lazima nimjue niwe nafanya nae kaziMganga wa Musiba sio Tapeli[emoji1544][emoji1544]
Pumzika kwa amani Mzee wetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu mganga wa musiba, lazima nimjue niwe nafanya nae kaziMganga wa Musiba sio Tapeli[emoji1544][emoji1544]
Pumzika kwa amani Mzee wetu
Shujaa wako uchara sawa! Kila mtu anamuono wake huyo Membe hana lolote la maana1 Apumzike kwa amani!Huyu ni miongoni mwa mashujaa wachache katika nchi hii, aliyeweza kuongea ukweli juu ya uvunjifu wa haki za waTanzania uliofanywa na Serikali ya magufuli, huna ubaya mtu mwenye msimamo, tunakuombea
Yule Dada wa Udom aliyefariki kiutata shughuri yake ndio imekwisha rasmi.Uzi unakimbia huoo ndio trend ya mwez huu mpaka maziko na weng
Sikuwahi kujuwa kama una akili ndogo kiasi hiki, unaelewa maana ya mirathi ni nini?
jujuView attachment 2618772
Aliyewahi kuwa waziri wa mambo ya Nje kwenye Serikali ya awamu ya nne, Benard Membe amefariki Dunia. Taarifa za awali zinaeleza Membe alipata changamoto ya Kifua na kupelekwa Hospitali ya Kairuki alfajiri ya leo May 12, 2023 na baadaye kufariki.
Benard Membe alipata kuwa mbunge wa Bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia jimbo la Mtama na alihitimisha safari hiyo mwaka 2015 na kujaribu kuwania tiketi ya kuwania nafasi ya Urais kupitia chama cha mapinduzi(CCM), tiketi ambayo alipewa hayati John Magufuli.
Mwaka 2018 aliandikwa na gazeti la Tanzanite akituhumiwa kuweka ajenda ya kutaka Rais Magufuli asipewe nafasi ya kuwania Urais 2020, ambapo alifungua kesi ya madai ya kuchafuliwa na kushinda kesi hiyo, alikazia hukumu iliyomtaka mmiliki wa gazeti la Tanzanite, Cyprian Musiba alipe Tsh. bilioni 9 ndani ya siku 14.
Bu he is still alive and not in vegetative condition!!Lowassa Yuko South Africa in comma
Unajua sio rahisi kama unavyotamani. Kisheria kabisa musiba alitakiwa kupata adhabu kwa kukataa wito wa mahakama.Wewe endelea kuishi kwa hisia, Mimi nimekupa fact za kisheria.
Kwa sisi Wapagani tunaamini kutumia nguvu za mababu sio dhambi.Kiimani hakuna kulala unono maana wanasiasa wote huwa ni mashetani. Sijui kwa nini watu hutumia nguvu za giza kuwa wanasiasa
Tunashukuru Membe amekufa kishukaa baada ya kumjambisha Musiba et alApumzike kwa amani,kabla haijalipwa na musiba Mungu amemchukua
Amekufa bila kumsahemu Musiba huyu pita kuleeee
USSR
Jiwe pia anasurubiwa hukoMaghufuli inabd amchape mboko za kutosha huyu huko kuzimu
Huwa wanaacha kwanza hadi muda wa kukata rufaa upite.Membe mwenyewe alishindwa kupambana na musiba, siku 5 za mnada zilipita ila akashindwa kukazia hukumu. Hao waliobaki sidhani kama Wataweza kitu, nahisi kuna nguvu isiyoonekana nyuma ya musiba
Kumbe aliyechana Hukumu alikuwa Lowasa?Unajua sio rahisi kama unavyotamani. Kisheria kabisa musiba alitakiwa kupata adhabu kwa kukataa wito wa mahakama.
Musiba alipokea wito wa mahakama, Ila akakataa kwenda. Unahisi kwa nini mahakama haikuchukua hatua kwa kudharauliwa na musiba?
Usifikiri bongo mahakama Ina nguvu kiasi hiko. Juzi hapa yule jaji mstaafu wa mahakama kuu alisema moja ya kitu kilichomtesa sana ni pale alipoona hukumu ya mahakama kuu inachanwa hadharani kabisa na aliyekua waziri mkuu lowassa. Na hakuna kitu walifanya
Sasa kwa Mungu wote mnaingia kapu moja, hutaachwa kwa kuwa wewe ulikua mpaganiKwa sisi Wapagani tunaamini kutumia nguvu za mababu sio dhambi.
Mungu ameamua ugomvi alijisemea NapeView attachment 2618772
Aliyewahi kuwa waziri wa mambo ya Nje kwenye Serikali ya awamu ya nne, Benard Membe amefariki Dunia. Taarifa za awali zinaeleza Membe alipata changamoto ya Kifua na kupelekwa Hospitali ya Kairuki alfajiri ya leo May 12, 2023 na baadaye kufariki.
Benard Membe alipata kuwa mbunge wa Bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia jimbo la Mtama na alihitimisha safari hiyo mwaka 2015 na kujaribu kuwania tiketi ya kuwania nafasi ya Urais kupitia chama cha mapinduzi(CCM), tiketi ambayo alipewa hayati John Magufuli.
Mwaka 2018 aliandikwa na gazeti la Tanzanite akituhumiwa kuweka ajenda ya kutaka Rais Magufuli asipewe nafasi ya kuwania Urais 2020, ambapo alifungua kesi ya madai ya kuchafuliwa na kushinda kesi hiyo, alikazia hukumu iliyomtaka mmiliki wa gazeti la Tanzanite, Cyprian Musiba alipe Tsh. bilioni 9 ndani ya siku 14.
TrueHuwa wanaacha kwanza hadi muda wa kukata rufaa upite.
Mungu ameingilia kati?Huyu ni miongoni mwa mashujaa wachache katika nchi hii, aliyeweza kuongea ukweli juu ya uvunjifu wa haki za waTanzania uliofanywa na Serikali ya magufuli, huna ubaya mtu mwenye msimamo, tunakuombea