TANZIA Bernard Kamilius Membe afariki dunia
Musiba hapo alipo anafurahi kinyama
Kwa utumishi wake uliotukuka kwenye taifa hili BM, na serikali iko upande wao, imekuwaje kifo chake kitangazwe haraka haraka hivi?
Mtu amefariki sijui saa 12 saa 5 asubuhi taarifa zimeshazangaa nchini na kwingineko,

Je Born to Town hana mkono kweli kwenye hili ili aweke anayemtaka yeye 2025 kitini?
 
Unajua sio rahisi kama unavyotamani. Kisheria kabisa musiba alitakiwa kupata adhabu kwa kukataa wito wa mahakama.
Musiba alipokea wito wa mahakama, Ila akakataa kwenda. Unahisi kwa nini mahakama haikuchukua hatua kwa kudharauliwa na musiba?

Usifikiri bongo mahakama Ina nguvu kiasi hiko. Juzi hapa yule jaji mstaafu wa mahakama kuu alisema moja ya kitu kilichomtesa sana ni pale alipoona hukumu ya mahakama kuu inachanwa hadharani kabisa na aliyekua waziri mkuu lowassa. Na hakuna kitu walifanya
You can’t defame a deceased person, hiyo kesi ishaisha.

Hakuna mdai tena wa defamation.

Tumeumbiwa udongo na tutarudi kwa udongo.

R.I.P Membe

Usifurahie jambo ambalo utaki wewe likupate kiko wapi leo.
 
Leo ni siku ya furaha sana team JPM tunagonga grass tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Uchuro huo.
 
Kwa Lugha nyepesi kabisa na hili liweze kufahamika kwamba kwa namna yoyote ile utawala wa chama kile umefika ukomo, kwani hata huyu angekuwa kiongozi wa nchi, saizi taifa lingekuwa kwenye maombolezo.

Hizi ni ishara tu na kama kutakuwa kuna kulazimisha kubaki katika utawala baada ya miaka 40 ya kuanzishwa kwao na kutawala kwao basi tutasikia wengi wakiwahi viwanja.

Kwa wasomaji wa Biblia, kuanzia kitabu cha mwanzo mpaka ufunuo, tawala za watu mbalimbali wakiwemo kina Mussa, Suleiman na wengineo wengi zilikuwa ni miaka 40. Miaka 40 kwa nchi yetu na chama kile iliishia 2017 na ilipotokea kulazimisha mambo wote twajua yaliyotokea.

Asikiaye na Afahamu.
Unataka chama gani kiingie madarakani ? Kama ni hv vya akina Chadema basi utakuwa na shida kubwa kwenye ubongo
 
Lala unono Benard, umeonyesha Unafiki wa Maaskofu ulipo.

Lala unono Benard umedhihirisha Pascal Mayalla kuwa ni Ndumilakuwili.
 
View attachment 2618772

Aliyewahi kuwa waziri wa mambo ya Nje kwenye Serikali ya awamu ya nne, Benard Membe amefariki Dunia. Taarifa za awali zinaeleza Membe alipata changamoto ya Kifua na kupelekwa Hospitali ya Kairuki alfajiri ya leo May 12, 2023 na baadaye kufariki.

Benard Membe alipata kuwa mbunge wa Bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia jimbo la Mtama na alihitimisha safari hiyo mwaka 2015 na kujaribu kuwania tiketi ya kuwania nafasi ya Urais kupitia chama cha mapinduzi(CCM), tiketi ambayo alipewa hayati John Magufuli.

Mwaka 2018 aliandikwa na gazeti la Tanzanite akituhumiwa kuweka ajenda ya kutaka Rais Magufuli asipewe nafasi ya kuwania Urais 2020, ambapo alifungua kesi ya madai ya kuchafuliwa na kushinda kesi hiyo, alikazia hukumu iliyomtaka mmiliki wa gazeti la Tanzanite, Cyprian Musiba alipe Tsh. bilioni 9 ndani ya siku 14.


Ndugu Msiba yupo kijijini katulia.
 
Rufaa kwa mtu ambae hakutokea kabisa mahakamani? Kumbuka musiba alidharau mahakama na hakuitikia wito, pia hukumu ilitoka toka mwaka jana na hakuna rufaa ilikatwa
Mfano akitoa sababu za kueleweka akafanya restoration?
 
Back
Top Bottom