Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha! aiseeChadema watakwambia Mungu fundi.
R.I.P Membe msalimie shujaa Magufuli
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mbona chuma hakikuitika wakati anamuandda magazetini?
wana uwawa vijana wetu kwa wizi wa simu ya shilingi 30,000/- tu itakuwa hii lakini binafsi naamini Musiba hana uchawi wala nguvu ya kumfikia mtu huyu ni muda tu ulifika.Wamempiga sindano ya Sumu kisa Billion 9 hii Nchi sio kabisa yaan
Chadema au sukuma gang ndo wamefurahi?Chadema watakwambia Mungu fundi.
R.I.P Membe msalimie shujaa Magufuli
Kibongobongo kesi ishaisha hivyo... hao walimwengu watazungumza na familia watawapa ahadi za hapa na pale na wakiendelea kumsumbua wataliwa vichwa wote...
Ilitakiwa afariki lini ili wewe uone kua sio ghafla?Mbona ghafla
Kusamehe sio lazima bali ni utashi wa muhusika,akitaka kusamehe atasamehe asipotaka kusamehe pia ni sawa tu.
[emoji23][emoji23] umeanza kuogopa uchawi wa musibaNGUVU KALI ZA KIZA ZA HUYO JAMAA HUENDA UCHAGUZI WA 2025 MENGI YA KUOGOFYA YAKATOKEA!
Ndio moja kwa moja motoni sasa!Kusamehe sio lazima bali ni utashi wa muhusika,akitaka kusamehe atasamehe asipotaka kusamehe pia ni sawa tu.
Kibongobongo kesi ishaisha hivyo... hao walimwengu watazungumza na familia watawapa ahadi za hapa na pale na wakiendelea kumsumbua wataliwa vichwa wote...
Ndio tatizo la baadhi ya members humu jfIlitakiwa afariki lini ili wewe uone kua sio ghafla?