Msimamizi wa mirathi wa Membe nasikia ndio hatari zaidi, hivyo Musiba asidhani kuvunjika kwa koleo ndio mwisho wa uhunzi
Hakuna fisadi yoyote tanzania aliye fanyiwa hukumu kama ya musiba ...wakati musiba ajafanya ufisadi wowote hata kuiba kipande cha sabuni sasa hiyo hukumu ya mamilioni kwa mabilioni ni uhuni kamili...mahakimu wauza ngada na majaji nwauza ngada ndiyo wametumika ...bado wao ...siku zao zina hesabika
 
Lowassa Yuko South Africa in comma
 
So unaridhi mpaka kesi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…