Mzalendo Uchwara
JF-Expert Member
- Jan 26, 2020
- 4,437
- 13,836
Duuh! Natumaini ni kazi ya Mungu na hakukuwa na rafu iliyochezwa. Maana hiyo michezo huwa ni piga nikupige, mpaka watamalizana.
RIP kachero.
RIP kachero.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hukumu ilitolewa na Mahakama au na Membe?Hakuna kitu kama hicho!
Yaani mtu akuseme vibaya ndio una taka kumkwangua Tzs9b
That was totally crazy!
Kuna mfukuto mkubwa huko chini.Watu wako serious na KAZI ZAO, walikua wamekaa kimya sasa wanaanza kufungulia mbwa
COVID-19 kimtindo... 💬 🤔Changamoto ya upumuaji awamu ya pili imeanza, baadhi ya viongozi waandamizi wachukue tahadhari..
Hawakumshtaki kipindi kile kwa kuwa Musiba alikuwa anatumiwa na Magufuli kutukana watu, so alikuwa anamkingia kifua. Hakuna hakimu wala jaji angeweza kuwagusa team Magufuli na Sukuma Gang.Jiulize kwa nini hawakumshtaki kipindi Magufuli yupo?Unafikiri Mahakama wanatoa haki kila hukumu?
Amekufwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji3578][emoji3578]Chaliiiii kabisaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Siku 14 si zimepita na majembe wapo. Waende tu kuchukuaBado heirs wake wata enforce judgment ya mahakama
Mimi ni Team JPM, lakini sipo kabisa kwenye huu ujinga wa kufurahia na kushangilia kifo cha mtu mwingine, hata angekuwa adui. I'm sorry for you!Leo ni siku ya furaha sana team JPM tunagonga grass tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Membe alikua mwanasiasa mstaarabu? Membe si ndio aliahidi ikifika 2016 Kuna watu watakimbilia kenyaPumzika kwa amani mwanasiasa mstaarabu, nilipenda sana nyendo zako.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sema mashimo yachimbwe mawili nawee uambatane nae mfukiwe wote siku 1, nitolee kwikwi zako hapa..Bado chali ya kwako....iko ple pale
😆😆😆Oyoooooyooooooo 😄!
Musiba usituangushe mzee.
Akili nyingine bnana!!kwa akili yako unadhania na kesi ambayo tayari hukumu yake ipo tayari imekufa?hukumu iko pale pale tu labda familia yake waamue kuachana nayo!!Apumzike kwa amani,kabla haijalipwa na musiba Mungu amemchukua
Amekufa bila kumsahemu Musiba huyu pita kuleeee
USSR
I remember to comment 🤐View attachment 2618772
Aliyewahi kuwa waziri wa mambo ya Nje kwenye Serikali ya awamu ya nne, Benard Membe amefariki Dunia. Taarifa za awali zinaeleza Membe alipata changamoto ya Kifua na kupelekwa Hospitali ya Kairuki alfajiri ya leo May 12, 2023 na baadaye kufariki.
Benard Membe alipata kuwa mbunge wa Bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia jimbo la Mtama na alihitimisha safari hiyo mwaka 2015 na kujaribu kuwania tiketi ya kuwania nafasi ya Urais kupitia chama cha mapinduzi(CCM), tiketi ambayo alipewa hayati John Magufuli.
Mwaka 2018 aliandikwa na gazeti la Tanzanite akituhumiwa kuweka ajenda ya kutaka Rais Magufuli asipewe nafasi ya kuwania Urais 2020, ambapo alifungua kesi ya madai ya kuchafuliwa na kushinda kesi hiyo, alikazia hukumu iliyomtaka mmiliki wa gazeti la Tanzanite, Cyprian Musiba alipe Tsh. bilioni 9 ndani ya siku 14.
Km sio mdogo wake wa kambo.Tena leo ana uchungu sana,best friend wake katangulia.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji115][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95] pigaaaaa keleeeeeleeeeeeUsishangilie kama WAPUMBAVU wafanyavyo.
Lipa wema ukitendewa baya.
Mwogope Mungu.
Hakuna sababu ya kukataa wito wa mahakama, ilipaswa atume mtu kumuwakilishaMfano akitoa sababu za kueleweka akafanya restoration?
cha yeyeBaada ya kifo cha nani sasa