Ongezaaa sautiiiiiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hakuna cha maridhiano we mwenyewe Kwa unafiki mkubwa mliitukana maiti ya Maghufuli na Kejeli za kila Aina , hv Vifo vya watu wenu ndo mtajua chuki waliyo nayo wananchi Kwa hao watu wenu , uzuri hata wale waliobaki wapo kwenye closing age akiwemo na mwenyekiti wako Mbowe , twendeni hv hv
 
Wazuri hawafi
Hii kauli Mzee Marope itamcost sana. Ningekuwa yeye ningejitokeza tu hadharani na kuomba msamaha yakaisha. Mzee Pinda mbona alijitokeza hadharani akaomba msamaha kwa ile kauli yake ya wapigwe tu?

Asipofanya hivyo yeye na wazuri wenzie siku wakifa wasije kushangaa watu wakafanya sherehe kabisa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…