Mnazika ama mnasafirishaInawezekana kuwa hujui historia.
Suala la kufa lilianza tangu zama za Adam Na Eva.
Mtu akifa watu wakafurahi huwa hawafurahii mtu huyo kufa bali wanafurahia mtu mbaya kuondoka kwenye jamii yao.
Membe hakuna mtu aliyemtendea ubaya!!
Au wewe unaweza kuutaja ubaya wa Membe kwa watu!!??
Wapiiiii selfiiii ya mzoga wa kanyero mbobeziii[emoji879][emoji879][emoji879][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]Naaona leo mmefufua zile akaunti zenu mlizokuwa mmezizika!!
Leo mmekuja na "Full swing" kama mko harusini na chereko za kutosha!!
Silipingi jibu lako, kwa sababu ni dhana kama ilivyo yangu. Uwezekano wa moja ya hizi mbili kutokea ni 50%.Membe amezaliwa mwaka 1953 na amefariki mwaka 2023, ni miaka 70 net.
Huyo tayari amekula chumvi na anaweza kufa kwa pressure tu katika umri huo, na ni bora ufe kuliko pressure ikuletee major stroke ni mateso matupu kwako na familia yako, unaanza kuhudumiwa kama mtoto Mchanga kubadilishwa pampas na kulishwa.
Kwa tuliopoteza wapendwa wetu kwa maumivu makali, Membe amekufa kifo chema bila mateso wala familia kuteseka.
Ni unafki tu unatusumbuwa lakini wengi tunatamani mwisho mwema kama wa Membe, ni wachache wanaopata bahati hiyo.
Mabere Marando yupo hai lakini ni sawa na mfuko tu, sasa yote ya nini hayo?
Niyeye unadhani ni naniheeeeeeeeee jamani ni wewe kweli au mbona hatuelewi
Mkuu hii kitu najiuliza zaidi ya wiki ya tatu sasa Kuna ka upepo ka kifua kubana na kukohoa na homa juu wenye mamlaka watupe taarifa Ili tuanze Kujipiga nyungu.Au corona imerudi ?
Aiseee kweli Dunia ni tambara bovu. Hata mabilion yake hajapokea.
Sema ukweli tu kwamba wewe ni kati ya walioumizwa na kifo cha kipindi kile na sasa umeufurahishwa na kifo cha sasa hivi ila unajaribu kufanya ni ku present kwa namna ya kubalance ila lengo kuu wajitokeze wenzako kushangilia kupitia uzi huu.Kama Taifa tunatakiwa tutoke kwenye siasa hizi za chuki zilizozalishwa baada ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2015. Baada ya Uchaguzi ule na John Pombe Magufuli kuingia madarakani, kulitokea uhasama mkubwa sana kati ya watu waliokuwa wanamuunga mkono na wale waliokuwa wanapingana na staili yake ya utawala.
Leo Baada ya kutangazwa kwa Kifo cha Bernard Camilius Membe, unaona kabisa limeibuka kundi la watu humu JF ni kama wanahanikiza furaha yao kwa kifo cha Membe. Watu hao ambao wanajificha nyuma ya kuonesha furaha kwamba Cyprian Musiba hatalipa tena hela alizotakiwa kumlipa Membe, lakini kwa undani unaona kinachowafurahisha zaidi ni kuona mmojawapo wa wapinzani wa Magufuli naye Kafariki.
Wakumbuke kwamba ni wao waliokuwa wanasema wakati wa msiba wa Magufuli kwamba "hakuna atakayeishi milele" na Leo ni ushahidi mwingine kwamba hakuna atakayeishi milele.
Watu wafanye maridhiano dhidi ya nafsi zao!!
Mungu pekee ndo anaejua,
Sasa mvurugano upi?Kaacha mke na watoto watatu tu,ambao mama yao ni mmoja.Wala hata hawataendelea na hili dai.
Mnaona Watanzania tulipo fika jamani...[emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
MM mwenyewe nimebanwa na mbavu wiki ya jana si mchezo nimepata homa ya mafua yaani balaa na wala sijaenda hospital zaidi ya kupiga nyungu tu leo ndo afadhali ila itabidi niende hospital maana naona hali si haliMkuu hii kitu najiuliza zaidi ya wiki ya tatu sasa Kuna ka upepo ka kifua kubana na kukohoa na homa juu wenye mamlaka watupe taarifa Ili tuanze Kujipiga nyungu.