Membe amezaliwa mwaka 1953 na amefariki mwaka 2023, ni miaka 70 net.
Huyo tayari amekula chumvi na anaweza kufa kwa pressure tu katika umri huo, na ni bora ufe kuliko pressure ikuletee major stroke ni mateso matupu kwako na familia yako, unaanza kuhudumiwa kama mtoto Mchanga kubadilishwa pampas na kulishwa.
Kwa tuliopoteza wapendwa wetu kwa maumivu makali, Membe amekufa kifo chema bila mateso wala familia kuteseka.
Ni unafki tu unatusumbuwa lakini wengi tunatamani mwisho mwema kama wa Membe, ni wachache wanaopata bahati hiyo.
Mabere Marando yupo hai lakini ni sawa na mfuko tu, sasa yote ya nini hayo?