TANZIA Bernard Kamilius Membe afariki dunia
Inawezekana kuwa hujui historia.

Suala la kufa lilianza tangu zama za Adam Na Eva.

Mtu akifa watu wakafurahi huwa hawafurahii mtu huyo kufa bali wanafurahia mtu mbaya kuondoka kwenye jamii yao.

Membe hakuna mtu aliyemtendea ubaya!!

Au wewe unaweza kuutaja ubaya wa Membe kwa watu!!??
Mnazika ama mnasafirisha
 
Naaona leo mmefufua zile akaunti zenu mlizokuwa mmezizika!!

Leo mmekuja na "Full swing" kama mko harusini na chereko za kutosha!!
Wapiiiii selfiiii ya mzoga wa kanyero mbobeziii[emoji879][emoji879][emoji879][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Membe amezaliwa mwaka 1953 na amefariki mwaka 2023, ni miaka 70 net.

Huyo tayari amekula chumvi na anaweza kufa kwa pressure tu katika umri huo, na ni bora ufe kuliko pressure ikuletee major stroke ni mateso matupu kwako na familia yako, unaanza kuhudumiwa kama mtoto Mchanga kubadilishwa pampas na kulishwa.

Kwa tuliopoteza wapendwa wetu kwa maumivu makali, Membe amekufa kifo chema bila mateso wala familia kuteseka.

Ni unafki tu unatusumbuwa lakini wengi tunatamani mwisho mwema kama wa Membe, ni wachache wanaopata bahati hiyo.

Mabere Marando yupo hai lakini ni sawa na mfuko tu, sasa yote ya nini hayo?
Silipingi jibu lako, kwa sababu ni dhana kama ilivyo yangu. Uwezekano wa moja ya hizi mbili kutokea ni 50%.

Nakukumbusha, unapozungumzia 70 years, kumbuka the ex-president Mwinyi anagonga 100 sasa! Hapo unasemaje?

Last but not least, ^mwisho mwema^ ukoje? Kufa bila maumivu? I'm very curious here.
 
Kama Taifa tunatakiwa tutoke kwenye siasa hizi za chuki zilizozalishwa baada ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2015. Baada ya Uchaguzi ule na John Pombe Magufuli kuingia madarakani, kulitokea uhasama mkubwa sana kati ya watu waliokuwa wanamuunga mkono na wale waliokuwa wanapingana na staili yake ya utawala.

Leo Baada ya kutangazwa kwa Kifo cha Bernard Camilius Membe, unaona kabisa limeibuka kundi la watu humu JF ni kama wanahanikiza furaha yao kwa kifo cha Membe. Watu hao ambao wanajificha nyuma ya kuonesha furaha kwamba Cyprian Musiba hatalipa tena hela alizotakiwa kumlipa Membe, lakini kwa undani unaona kinachowafurahisha zaidi ni kuona mmojawapo wa wapinzani wa Magufuli naye Kafariki.

Wakumbuke kwamba ni wao waliokuwa wanasema wakati wa msiba wa Magufuli kwamba "hakuna atakayeishi milele" na Leo ni ushahidi mwingine kwamba hakuna atakayeishi milele.

Watu wafanye maridhiano dhidi ya nafsi zao!!
Sema ukweli tu kwamba wewe ni kati ya walioumizwa na kifo cha kipindi kile na sasa umeufurahishwa na kifo cha sasa hivi ila unajaribu kufanya ni ku present kwa namna ya kubalance ila lengo kuu wajitokeze wenzako kushangilia kupitia uzi huu.

Ila ujue tu kwamba, unao watafuta wala hawakuwahi kuwa upande wa Membe, ilitokea tu wakayaonga mkono madai na misimamo yake dhidi ya mtu wenu.

Kwa kujaribu kulazimisha kumuinua Membe ili mjisikie faraja inadhihirisha ninyi na mtu wenu mlikua ni Public enemies ndiyo maana hamjui ni wakati gani hasa wale mliowaumiza na wao mtawaona wakiumia na labda ndiyo maana sasa hivi kila matukio ya kuumiza watu yakitokea mnashangilia.

Wananchi wakilalamikia tozo mnaishia kusema ndiyo, lipeni tozo, si mliona mwendazake hafai?
Mkiona ajali zinawaumiza watu mnafurahia.

Vitu vikipanda bei na kuwaumiza watu mnafurahia.
Watu wakiuawa mnafuahia.
Huduma zikiwa mbovu na kuumiza watu mnafurahia.
Chochote kibaya sasa hivi mnakifurahia ili mradi kiumize watu.

Hii yote ni sababu washiriki wa utawala ule na wafuasi wao wote walikua ni public enemies.
 
[emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mnaona Watanzania tulipo fika jamani...

Visasi vitatumaliza
 
Mkuu hii kitu najiuliza zaidi ya wiki ya tatu sasa Kuna ka upepo ka kifua kubana na kukohoa na homa juu wenye mamlaka watupe taarifa Ili tuanze Kujipiga nyungu.
MM mwenyewe nimebanwa na mbavu wiki ya jana si mchezo nimepata homa ya mafua yaani balaa na wala sijaenda hospital zaidi ya kupiga nyungu tu leo ndo afadhali ila itabidi niende hospital maana naona hali si hali
 
Back
Top Bottom