Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
kanidanganya nini?nani kakudanganya? hata kama wamemaliza deni litalipwa
Narudia shimo la kwako bado lipo pale pale! Huyu kaziba lake.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sema mashimo yachimbwe mawili nawee uambatane nae mfukiwe wote siku 1, nitolee kwikwi zako hapa..
Na badooooo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Labda kafanya mavitu yake kule kijijini aliokuwa amejichimbia. Ni muda sasa atarudi mjini toka huko mafichoni.VP MUSIBA ATAMLIPA?RIP MEMBE
Aliaambiwa asamehe akagoma,amekufa na chuki+hasira,Membe apite hivi,amempiga vita sana Lowassa na Magufuli.
Chezea wajitaLabda kafanya mavitu yake kule kijijini aliokuwa amejichimbia. Ni muda sasa atarudi mjini toka huko mafichoni.
Yan atukane watu yete, atishie hadharani kuvunja miguu ya watu yeye na bado akashtaki yeye!!! Duh!!Au Cyprian Musiba inawezekana kaenda kushtaki kwenye mahakama ya mnyonge(kilingeni)?
Swali zuri.Sijui sheria ila nataka kujua kama mahakama ikiamua A amlipe B kiasi C, B akifa, A atamlipa nani?
Hii ntaiscreen shot nimtumie Nape na MakambaTumefika hapa kwasababu wapo wajuaji waliogoma kusahau yaliyopita, wayaache yaende, hawa wakajiona wamekaa juu wamefika, wao kila siku ikawa ni kumuimba marehemu mtangulizi, wasikumbuke nae alikuwa na wapendwa wake, wakajisahau wakidhani kifo kina undugu au urafiki, leo kifo kimewakumbusha hakina mwenyewe, sote tunapita.
Sio wakati wa kulaumiana tena, maisha ni fumbo, tujifunze kuyaacha yaliyopita yapite, lakini sio kujisahau na kujipachika majina ya ajabu kama wazuri hawafi au Mungu fundi, leo majina hayo hayo yanarudishwa upande wa pili, ni vyema wahusika wayapokee kwa mikono miwili kama walivyoanza kuwapa wenzao, time to feel a test of your own medicine.
Wakati alidhulumu uchaguzi na kuingiza wabunge feki 19 Bungeni kwa rushwa ya ngono wakishirikiana yeye na Job Ndugai.Aliaambiwa asamehe akagoma,amekufa na chuki+hasira,
Hayati Magufuli aliwasamehe, alikwemda salama
Kutofautiana kwenye maisha ni swala la kawaida, hizi habari za kumsema mtu aliyetangulia kwamba alikuwa na ugomvi na flani au flani hazifai kabisa.Alimpiga vita sana Lowassa pamoja na Sitta.
Wapite hivi
Aisee pole sana wahi matibabuMM mwenyewe nimebanwa na mbavu wiki ya jana si mchezo nimepata homa ya mafua yaani balaa na wala sijaenda hospital zaidi ya kupiga nyungu tu leo ndo afadhali ila itabidi niende hospital maana naona hali si hali
Kwa hiyo Eajita nao wako vizuri kwenye hiyo taaluma siyo...!!?Chezea wajita
Aje alipe deni; kachelewesha mpaka muathirika kafa, ikibidi familia imuongezee madai ya kuchelewesha kulipa!!Labda kafanya mavitu yake kule kijijini aliokuwa amejichimbia. Ni muda sasa atarudi mjini toka huko mafichoni.