Duuuh, Mungu huwa anashangaza sana

Binafsi sikuwahi kutegemea kama viongozi wakubwa hawa

- Samwel Sitta, JPM, Benard Membe wangeondoka wamuache EDWARD LOWASSA akiwa Hai

KIFO ni Ibada, tusisahau hilo, Tupendane na Tutendeane mema

Mungu anaamua yupi aondoke kwa muda gani na KWA HAKIKA Pesa, Jina na Umaarufu sio kigezo cha kuwa Hai

Mungu awafariji wafiwa wote.
 
Sijui sheria ila nataka kujua kama mahakama ikiamua A amlipe B kiasi C, B akifa, A atamlipa nani?
Swali zuri.

B anapokufa mrithi wake uhuisha mambo yote ya kisheria. Yaani kama Marehemu anadaiwa basi mrithi anawajibika kulipa na kama anadai mrithi ndiye atakayelipwa.

Kwa maana nyingine hukumu ya Mahakama husimama hata kama Marehemu hana ndugu au watoto. Wasii Kabidhi Mkuu ndiye husimama kwa niaba ya Marehemu kama hajaacha watu wa Karibu baada ya kifo chake.
 
Hii ntaiscreen shot nimtumie Nape na Makamba
 
Alimpiga vita sana Lowassa pamoja na Sitta.
Wapite hivi
Kutofautiana kwenye maisha ni swala la kawaida, hizi habari za kumsema mtu aliyetangulia kwamba alikuwa na ugomvi na flani au flani hazifai kabisa.

Na sidhani kama kuna mtu ataondoka kwenye hii dunia akiwa amepatana na watu wote, hata mitume wa Mungu waliondoka wakiwa na ugomvi na watu wengi waliowaacha.

Cha msingi ni kujitahidi kuishi kwa amani na kuombeana safari ikifika.
 
Labda kafanya mavitu yake kule kijijini aliokuwa amejichimbia. Ni muda sasa atarudi mjini toka huko mafichoni.
Aje alipe deni; kachelewesha mpaka muathirika kafa, ikibidi familia imuongezee madai ya kuchelewesha kulipa!!
tunaingia episode 2
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…