Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Kwa hiyo hata Gwajima hatumii mvinyo?Wapo wengi Sana. ..Mkuu
Na usipotumia mvinyo afya inakuwa strong na Mwonekano mzuri
Kuna mahali pamesemwa kuna mtu hatakufa bali ataishi milele?Ndio muache upumbavu mjue kilamtu atakufa.
Wote wanaosema hivyo hawajui kuwa nao ni Marehemu watarajiwa, duniani hapa sisi sote ni wasafiri.Dah wasichojua au kuwaza wanaita hivyo wenzao ni kwamba kila mtu atakufa je aitwe mzoga, au wao hawajawahi kifiwa[emoji17][emoji17][emoji17]
[emoji1787][emoji1787] Sisi tulisha kubali kuzikwa nae, wao sijui vipi.mwambie huyo bwege! Kila siku thread za kumkashifu Magufuli!
Dugange hoyeeee!Tuseme tu ukweli kifo chake kimezua maswali mengi. Na kutokana na hiki kifofo chake, naamini yule Naibu Waziri atapumua.
hakuna kesi, kesi ilishaisha ikabaki kulipa. Ni deni. Na warithi wana haki ya kurithi madeni ya marehemu kupitia Msimamizi wa mirathi atakayeteuliwa.You can’t defame a deceased person, hiyo kesi ishaisha.
Hakuna mdai tena wa defamation.
Tumeumbiwa udongo na tutarudi kwa udongo.
R.I.P Membe
Usifurahie jambo ambalo utaki wewe likupate kiko wapi leo.
Very handsome guy, I must say. Ujana wake atakuwa alisumbua hataree.Jamaa alikuwa hakui miaka 70 sura Kama Kama kijana wa miaka 30
Mmmhh! Faiza nawe kwa kujifanya Answar hujambo,😂Laa 'Ilaaha 'Illa Allaahu Wahdahu La Shareeka Lahu, Lahul Mulku Wa Lahul Hamdu Yuhyi Wa Yumeet Wahuwa A'la Kulli Shay'iin Qadeer.
Hakuna kesi, kuna deni. Msimamizi wa mirathi atayafuatilia madeni ya marehemu.You can’t defame a deceased person, hiyo kesi ishaisha.
Hakuna mdai tena wa defamation.
Tumeumbiwa udongo na tutarudi kwa udongo.
R.I.P Membe
Usifurahie jambo ambalo utaki wewe likupate kiko wapi leo.
It might be you too!Tuendelee kula mtori, nyama tutazikuta chini, walidhani wao ni untouchables.. Who's next??
Well said mkuu, nahuo ndio ukweli.Duuuuuuh. Kwa mala ya kwanza Leo nimekupongeza. Lakini Hadi Leo wapi watu wanashangilia hata kama adui yako kafa Huwa tunaacha yote yaliyopitaaa, sio kutoa FURAHA na kumhusisha mungu eti ni fundii. Tujifunze kuwa wapole, mbele ya haki Kila mtu ataenda Kwa wakati wake.
Hayo ni mawazo ya kijinga kweli,Wapo waliompenda Magu na Wapo waliomchukia KUTOKANA na matendo yake.Hata wewe ukifa Leo sio wote watakao lia itategmeana na jinsi ulivyo ishi naoNape Nauye waziri wa habari tayari amekaangwa na Mungu mbele ya macho yake kutokana na lugha zake chafu alizowahi kuzitoa baada ya kifo Cha Rais Magufuli,kauli ya kwamba Mungu ameamua ugomvi ilionekana wazi alishangilia msiba wa Rais wetu. Leo na yeye Nape ameonyeshwa namna ambavyo Mungu ameamua ugomvi wa Memba na Cyprian.
Bado Zito Kabwe kwani na yeye ni mmoja ya waliotoa lugha Cha Kwa hayati Magufuli kwamba anayempenda akazikwe nae. Zito Kabwe atashihudia ukuu wa Mungu mbele ya macho yake.
Wazuri hawafi..Kuna watu waanze kupata picha hali itakuwaje siku wakijifia.
Watu wanasubiri kuyasimanga mamizoga yao kabla hata haijajulikana yatafukiwa lini.
Amani James Temba huwa anasema,"Roho mbaya mmetufundisha wenyewe".
Kachero wa mchongoNa wewe jiandae kutwaliwa maana ulishangilia!
Kwanza kachero gani anajifia kizembe namna hiyo?
Mungu ameamua ugomvi!
Mungu fundi.
yani acha tu😁Wazuri hawafi....Makamba sr. Naye tunamsubiri
UMEJUA LEO HILI?😁Kufa ni kufa tu!!
Nani anabisha kwamba kufa ni kufa tu.
Ila kuna watu huwa wanaamini kwamba wapendwa wao hawawezi kufa. Na wakifa ndiyo watu huwakumbusha kwamba hawawezi kuzuia mtu kufa.
He looking Young than real age , moja ya kuwa hivyo ni kujitenga na wanawake na ngono so wanwake wanazeesha Sana na kuwa NuruVery handsome guy, I must say. Ujana wake atakuwa alisumbua hataree.
RIP Membe
Nape Nauye, waziri wa habari, tayari amekaangwa na Mungu mbele ya macho yake kutokana na lugha zake chafu alizowahi kuzitoa baada ya kifo cha Rais Magufuli. Kauli ya kwamba Mungu ameamua ugomvi ilionekana wazi alishangilia msiba wa Rais wetu. Leo na yeye Nape ameonyeshwa namna ambavyo Mungu ameamua ugomvi wa Memba na Cyprian.
Bado Zito Kabwe, kwani na yeye ni mmoja wa waliotoa lugha chafu kwa hayati Magufuli kwamba anayempenda akazikwe naye. Zito Kabwe atashuhudia ukuu wa Mungu mbele ya macho yake.