TANZIA Bernard Kamilius Membe afariki dunia
 
You can’t defame a deceased person, hiyo kesi ishaisha.

Hakuna mdai tena wa defamation.

Tumeumbiwa udongo na tutarudi kwa udongo.

R.I.P Membe

Usifurahie jambo ambalo utaki wewe likupate kiko wapi leo.
hakuna kesi, kesi ilishaisha ikabaki kulipa. Ni deni. Na warithi wana haki ya kurithi madeni ya marehemu kupitia Msimamizi wa mirathi atakayeteuliwa.


JESUS IS LORD
 
Duuuuuuh. Kwa mala ya kwanza Leo nimekupongeza. Lakini Hadi Leo wapi watu wanashangilia hata kama adui yako kafa Huwa tunaacha yote yaliyopitaaa, sio kutoa FURAHA na kumhusisha mungu eti ni fundii. Tujifunze kuwa wapole, mbele ya haki Kila mtu ataenda Kwa wakati wake.
Well said mkuu, nahuo ndio ukweli.
Humu wapo waliokwenda mbali zaidi nakusema kama unampenda marehemu kazikwenae, Mungu anaangalia midomoyao.
 
Nape Nauye waziri wa habari tayari amekaangwa na Mungu mbele ya macho yake kutokana na lugha zake chafu alizowahi kuzitoa baada ya kifo Cha Rais Magufuli,kauli ya kwamba Mungu ameamua ugomvi ilionekana wazi alishangilia msiba wa Rais wetu. Leo na yeye Nape ameonyeshwa namna ambavyo Mungu ameamua ugomvi wa Memba na Cyprian.

Bado Zito Kabwe kwani na yeye ni mmoja ya waliotoa lugha Cha Kwa hayati Magufuli kwamba anayempenda akazikwe nae. Zito Kabwe atashihudia ukuu wa Mungu mbele ya macho yake.
Hayo ni mawazo ya kijinga kweli,Wapo waliompenda Magu na Wapo waliomchukia KUTOKANA na matendo yake.Hata wewe ukifa Leo sio wote watakao lia itategmeana na jinsi ulivyo ishi nao
 
Wazuri hawafi....Makamba sr. Naye tunamsubiri
yani acha tu😁

hatimaye kachero mbobezi mzee wa gusa unase kawa MWENDAZAKE😁
Kufa ni kufa tu!!

Nani anabisha kwamba kufa ni kufa tu.

Ila kuna watu huwa wanaamini kwamba wapendwa wao hawawezi kufa. Na wakifa ndiyo watu huwakumbusha kwamba hawawezi kuzuia mtu kufa.
UMEJUA LEO HILI?😁

tunawasubiri na wazuri wengine ambao hawafi

mlijawa kashfa mkaita na majina yote mkidhani nyie au jamaa zenu wataishi milele

Mungu wetu sote
 
Nape Nauye, waziri wa habari, tayari amekaangwa na Mungu mbele ya macho yake kutokana na lugha zake chafu alizowahi kuzitoa baada ya kifo cha Rais Magufuli. Kauli ya kwamba Mungu ameamua ugomvi ilionekana wazi alishangilia msiba wa Rais wetu. Leo na yeye Nape ameonyeshwa namna ambavyo Mungu ameamua ugomvi wa Memba na Cyprian.

Bado Zito Kabwe, kwani na yeye ni mmoja wa waliotoa lugha chafu kwa hayati Magufuli kwamba anayempenda akazikwe naye. Zito Kabwe atashuhudia ukuu wa Mungu mbele ya macho yake.
 
Back
Top Bottom