Hivi sio mwanachama la wale ambao hawafi kama tulivyowahi kuambiwa na mzee Yusufu?
 
R.I.P KACHERO MBOBEZI,

Najaribu kuwaza BM angeukwaa Uraisi Ile 2015 NDIO kusema Leo tungekua na TANZIA,
Tanzia ya kumpoteza Amir jeshi mkuu...au Kifo kinge be SKIPPED.....

Lowassa is still alive..na wengi wali mtabiria mzee lowassa kua hatoboi... wenyewe NDIO hawajatoboa....

Najaribu kuwaza..

2 Tim 4:7​

Umevipiga vita vilivyo vizuri, mwendo nimeumaliza, Imani Umeilinda

Pumzika Kwa amani,

R.I.P Mh. Benard Membe
 
Kuhusu deni lake Musiba atakesha baa leo
 
RIP Kachero uliyemfunza Adabu Musiba,
By the way, kwani deni si lipo palepale? na Je ni Hayati Pekee ndo aikuwa anamdai Musiba si wapo wengine, nia ni kutokumpa gap huyu Mwanakijiji Musiba!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…