😂😂😂 Eti wali Maharage
 
Na mimi nimemtukana matusi yote ya nguonì huyo mzoga wenu
 
Mungu fundi
Ni kweli Mungu ni fundi ndio maana Lisu aliye pigwa risasi 30 yuko hai wakati aliye amuru apigwe risasi hizo yuko chato analiwa na funza.
Mungu ni fundi ndo maana walio mkejeri Rowasa kwenye kampeni mwaka 2015 kwa sababu ya afya yake mpaka wakapiga pushap sasa hivi ni mizoga wakati Rowasa yuko hai.
 
Ubaya ni musiba hujui ety 9bln ya kumchafua na pesa hampati tunafurahia maneno ya nape na makamba decree in a civil matter dies with the Plaintiff/Decree Holder's death. It cannot be inherited or be put under administration of his/her estate
 
Kama taifa inabidi ifike hatua tusameheane na tusonge mbele kama wamoja. Na maridhiano ya Mbowe na Mama Samia ni mahali pazuri pa kuanzia japo wengine wanayapinga. Vinginevyo, kama taifa, tunakoelekea siyo kuzuri...
 
Hii ni dalili moja wapo ya kuonesha ni jinsi gani nchi ilivyo jaa wapumbavu.
 
Kazikwe nao mzoga wenu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Madhila aliyofanyiwa na serikali ya awamu ya tano, chini ya Hayati Rais Magufuli si mazuri hata kidogo, Membe amepitia kipindi kigumu sana yeye pamoja na familia yake, poleni sana familia, ndugu jamaa na marafiki kwa kundokewa na kipenzi cha wengi.
 
We tumeshakuzoe na maneno matupu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…