Walimwengu washamuua kwa shirki kulinda maslahi ya watu.. Tanzania na shirki ni kama kaka na dada.. RIP Membe..
 
Apumzine kwa Amani
 
Ila watu walimwambia aachane na Musibu hasa wazee wa Kanisa
 
Kuhusu deni lake Musiba atakesha baa leo
Hapana hawezi kukesha kwa sababu Ile Ni amri ya Mahakama na Kuna Sheria ya Urithi na mirathi kaisome vizuri! Kuna kipengele "kukusanya Mali na madeni ya marehemu" pale Ni pagumu hasa ukizingatia Membe kwenye Kesi ya Msingi alijumuisha familia yake na kwa maana hiyo atakayetake charge kwa niaba ya baba ataorodhesha pia miongoni mwa watu ambao baba anawadai Ni Musiba na iko clear kwamba kuna hukumu ya kimahakama! Labda familia imsamehe! Lakini bado Yuko Liable to pay!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…