Ghiti Milimo
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 4,748
- 7,061
Hata kiama, hastahili kufufuka yule!Akiifuta jiwe atafufuka?
Mwingine alisema Bahari imetuliaNape Nauye, waziri wa habari, tayari amekaangwa na Mungu mbele ya macho yake kutokana na lugha zake chafu alizowahi kuzitoa baada ya kifo cha Rais Magufuli. Kauli ya kwamba Mungu ameamua ugomvi ilionekana wazi alishangilia msiba wa Rais wetu. Leo na yeye Nape ameonyeshwa namna ambavyo Mungu ameamua ugomvi wa Memba na Cyprian Musiba.
Bernard Membe alikuwa na ukaribu mkubwa na Nape Nauye ndiyo maana alipoamua kusitaafu ubunge akamwachia Nape Jimbo la Mtama awe mbunge wao.
Bado Zito Kabwe, kwani na yeye ni mmoja ya waliotoa lugha chafu kwa hayati Magufuli kwamba anayempenda akazikwe nae.
Zito Kabwe atashuhudia ukuu wa Mungu mbele ya macho yake.
Mungu ameamu ugomviBahari imetulia
Ila Membe si kafa, ama?!Acheni kujitia moyo, Membe alikwishastaafu utumishi wa umma so impact ya vifo vyao ni tofauti kabisa. JPM alikua anaogopeka na hakuna aliyeweza mzuia kwa chochote ila Mungu tu.
so msitafute consolation kwa Membe kwamba ni karma he was done at the mainstream politics.
poleni sana
Usikute mzimu wa jiwe umeanza kipita na wabaya wake,mawazo ya kibiriani haya ya ijumaa
Bashite kule kesi kufutwa, huku Musiba Musibani,,Alitaka aondoke na 9 billion za Musiba!! Dadadeki ni hatari
Kachero gani anakufa kizembe namna hiyo?Ulishamsikia kachero mbobezi yeyote aliyefia mbagala rangi 3????
Eti kachero mbobezi[emoji23][emoji38][emoji23][emoji38][emoji23][emoji38]
Mbona umepaniki?Hapana, atafufuka mshkaji wake aliyekufwa leo membe
Mbona wewe huendi kumfufua membe hapo kairuki? Naona ungemuwahi sahizi kabla hajaanza kunukaWe USITISHE WATU; UGOMVI WA MEMBE NA MSIBA NDIO UNANZA RASMI; MEMBE KAHAKIKISHA HATOI MSAMAHA NA ALIKATAAm, UPO mpaka hapo umenisoma
Mwendazake alishajiendea zake kitambo iliobaki history so usitishe watu. Na wewe kama unataka kafukue kaburi lake umfwate hapa hatishiki mtu. Haki itabaki kuwa haki nchi yetu sote; sukuma gang kwishnea, mtalipa deni hilo, alietakiwa kusamehe kaamua kufumba mdomo, ndio ujua chapter mpya inaanza mtalipa
Sukuma Gang wanateseka sana lakini hakuna namna wataweza kuingia ikulu pasipo kutubu dhambi zao, dhambi kubwa ikiwa jaribio la kumuua Tundu Lissu kwa maelekezo ya kiongozi wao aliyekufa. Mungu anawaona.Kama Taifa tunatakiwa tutoke kwenye siasa hizi za chuki zilizozalishwa baada ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2015. Baada ya Uchaguzi ule na John Pombe Magufuli kuingia madarakani, kulitokea uhasama mkubwa sana kati ya watu waliokuwa wanamuunga mkono na wale waliokuwa wanapingana na staili yake ya utawala.
Leo Baada ya kutangazwa kwa Kifo cha Bernard Camilius Membe, unaona kabisa limeibuka kundi la watu humu JF ni kama wanahanikiza furaha yao kwa kifo cha Membe. Watu hao ambao wanajificha nyuma ya kuonesha furaha kwamba Cyprian Musiba hatalipa tena hela alizotakiwa kumlipa Membe, lakini kwa undani unaona kinachowafurahisha zaidi ni kuona mmojawapo wa wapinzani wa Magufuli naye Kafariki.
Wakumbuke kwamba ni wao waliokuwa wanasema wakati wa msiba wa Magufuli kwamba "hakuna atakayeishi milele" na Leo ni ushahidi mwingine kwamba hakuna atakayeishi milele.
Watu wafanye maridhiano dhidi ya nafsi zao!!
Ikitokea Wakili akafanya utekelezaji wa hukumu na hii ni kama alikuwa instructed hivyo, basi mirathi ya Membe itafungwa siku Musiba atakapofariki na mirathi yake kufungwa pia.Mungu pekee ndo anaejua,
Sasa mvurugano upi?Kaacha mke na watoto watatu tu,ambao mama yao ni mmoja.Wala hata hawataendelea na hili dai.
Saa mbili kamili Mungu akaamua ugomvi
Uzuri kafa!Hakuna kumbukumbu ya Membe kutesa watu kwa furaha ya nafsi yake au kwa kupata sifa toka kwa watu wasio na utu.
Membe hakuwa Sadist!!
Wewe unadhani kuwachafua watu ndio ushabiki chapati? Lazima huyo mbwa afilisiwe ili iwe fundisho kwa wengine.
Yono mwenyewe kakimbia shoo huyo wakili anatokea wapIkitokea Wakili akafanya utekelezaji wa hukumu na hii ni kama alikuwa instructed hivyo, basi mirathi ya Membe itafungwa siku Musiba atakapofariki na mirathi yake kufungwa pia.
Hii sio rahisi hivyo, hasa kwakuwa ni mtu maarufu.
Japo haya mambo hayana fomula, ila mambo ya mirathi ni moja ya kesi pasua kichwa.
Kuweni na utu jamani. Huu si uungwana kabisa
Wote tu ni hopelessTatizo furaha huwezi ukaizuia, utazuia kwa nje itabaki ndani sasa huo ni unafiki bora ionekane nje tu
Kweli kacheroChangamoto ya upumuaji awamu ya pili imeanza, baadhi ya viongozi waandamizi wachukue tahadhari..