ikisimama panda
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 2,716
- 2,388
Comment za aina hii sijui kwanini zinanifurahisha sana leo wakati sina roho mbaya.Una kihere here Sana , wakat Maghufuli anatukanwa humu ulikuwa umekalisha komwe , sa hv unaquote wanaume hovyo hovyo , utapopolewa
Kazi ziko nyingi Duniani hata kusoma watu wanavyosherehekea kifo cha Hayati Membe. Ni kazi pia. Na ataenilipa yuko.Kang'ata shukaa za Kairukiii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jasusi chaliiiiiiiiiiiiiiiiiii.
Kakushonea bwanga?Mungu fundi.
Dah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe shangilia kifo cha magu sisi tunashangilia vha kachero aliejifia kijinga.
.
Ni mgawanyo wa majukumu tu
Magufuli na Musiba.Amefanyiwa na nani? Nani anastahili hayo madhila?
Nimeamini mkuki kwa nguruwe, kwa binadamu panauma.
Basi sawaaaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kazi ziko nyingi Duniani hata kusoma watu wanavyosherehekea kifo cha Hayati Membe. Ni kazi pia. Na ataenilipa yuko.
Maana si kila mtu ana ujuzi wa kuona haya.
Kama Musiba kafanya ile Kitu Wabena wanaita " Tego" ujue hakuna mrithi
😂😂😂 Nilikuwa mpiga goma wa shuleni, akili[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Shule ulisomea ujinga?? OK byeee
Waarabu wanajuana kwa vilemba😂
Wote tu ni hopeless
Amani inatoka wapi wakati kaondoka na fundo rohoni??? Yani yule sa hv hekaheka ndo imekubali huko[emoji23][emoji23][emoji23]Mwanga wa milele umuangazie ee bwana
Apumzike kwa amani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapo kweli[emoji23][emoji23][emoji23] Nilikuwa mpiga goma wa shuleni, akili
Nouma sanaYono mwenyewe kakimbia shoo huyo wakili anatokea wap
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]huko aliko ana haha balaaa, nusu atake kufufuka ashuhudie 9bn kutoka kwa cyprian.Amani inatoka wapi wakati kaondoka na fundo rohoni??? Yani yule sa hv hekaheka ndo imekubali huko[emoji23][emoji23][emoji23]
Niguse ninukeKama wamemtanguliza watamfuata
Membe kafa kishujaa na kifo cha kawaida kama atakakufa binadam yeyote yule.Hapana, atafufuka mshkaji wake aliyekufwa leo membe