TANZIA Bernard Kamilius Membe afariki dunia
Kang'ata shukaa za Kairukiii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Jasusi chaliiiiiiiiiiiiiiiiiii.
Kazi ziko nyingi Duniani hata kusoma watu wanavyosherehekea kifo cha Hayati Membe. Ni kazi pia. Na ataenilipa yuko.

Maana si kila mtu ana ujuzi wa kuona haya.
 
Kazi ziko nyingi Duniani hata kusoma watu wanavyosherehekea kifo cha Hayati Membe. Ni kazi pia. Na ataenilipa yuko.

Maana si kila mtu ana ujuzi wa kuona haya.
Basi sawaaaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
johnthebaptist Tego huwa lina sifa zipi?

Maana mwezi uliopita kuna mwili wa binti ulisusiwa na wana ukoo kuuzika wakidai ana Tego, nilitaka kujitosa mimi ili kuuchukua mwili wa marehemu nikatamani nipate japo wana ukoo hata watu au wanne ili tubembe gharama za mazishi, lkn tulipingwa mkwara hatari na wana ukoo, mwisho wa siku nikawa mimi na mama mdogo tu na yeye ni mama wa nyumbani, ikabidi tuache ila niliumia sana mwana ukoo kuzikwa na Serikali kisa ana Tego.
Je Tego ni kitu gani hasa na je ni kitu halisi au ni woga kwa watu wasio na imani katika Mungu wa mbinguni tu?

Kama Musiba kafanya ile Kitu Wabena wanaita " Tego" ujue hakuna mrithi
 
Back
Top Bottom