Ukwel unakemewa tena?
Hiv mnajua hata kina max wa JF walitishiwa? Kama hawakusimama imara pengine leo tusingekuwa na hii JF mnapojinoma kwa id fake
Kubenea alimwagiwa Tindikali na nani mwaka 2008?, Mwakyembe aliwekewa sumu na nani mwaka 2012, Absom Kibanda alingolewa jicho na nani mwaka 2012 akiwa mkurugenz mkuu wa gazeti la MTANZANIA?
 
so what?
 
Wakati mnazodoa mwili wa Magufuli hamkuyajua hayo?
Njoo tunywe bia hapa dogo.
 
Una ushahidi kuwa alikuwa spotter na si tapeli? Vipi kama alikuwa anakutega ili akutoe kafara?
 
Ni wapi daktari wa Magufuli alisema alikufa kwa changamoto ya kupumua
 
Hakuna uhusiano wowote. Usi mhusishe Mungu, usikalili misemo ya kijinga ya kumkufuru Mungu anawapenda waja wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…