zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
Sheria Gani hiyo mkuu? Wanaorithi Mali huwa wanaorithi assets and liabilities ndio maana Kuna watu wanadai Hadi haki za nyimbo za marehemu Babu zao!!Ubaya ni musiba hujui ety 9bln ya kumchafua na pesa hampati tunafurahia maneno ya nape na makamba decree in a civil matter dies with the Plaintiff/Decree Holder's death. It cannot be inherited or be put under administration of his/her estate
Kingine Membe hakuwa na shida na billions alikua na shida na kumfilisi huyo jamaa kwa makosa ya kumchafua mtu (Maana brand can be valued). Kwa hiyo tusipiganie haki sababu tutakufa?
Reasoning za kimasikini sana