TANZIA Bernard Kamilius Membe afariki dunia
Sheria Gani hiyo mkuu? Wanaorithi Mali huwa wanaorithi assets and liabilities ndio maana Kuna watu wanadai Hadi haki za nyimbo za marehemu Babu zao!!

Kingine Membe hakuwa na shida na billions alikua na shida na kumfilisi huyo jamaa kwa makosa ya kumchafua mtu (Maana brand can be valued). Kwa hiyo tusipiganie haki sababu tutakufa?

Reasoning za kimasikini sana
Kuamini kuwa musiba angelipa hilo deni ni ujuha wa hali ya juu
 
JPM kwani alikua nani kwako?
Mlikutana wapi akakuimpact?
We ni fala tu uliyerithishwa chuki sexually na huyo mmeo membe aliyekufwa.
Naenda kuzikwa na membe
Mpumbavu kweli wewe.

Kwani mtu kuku impact mpaka mkutane.

Alivyozuia nyongeza za mishahara kwa wafanyakazi mpaka kupelekea wamchukie walikutana nae wapi?

Ndugu wa Ben sa 8 unafikiri wanampenda Magu?

Je waliwahi kukutana?.

Huko CCM amfundishwi kufikiri kwa mantiki?

All in all jamaa lako limekufa na limeshaoza.
 
1683906983265.png
 
Leo nafurahi walau Mungu kawakumbusheni wale wote waliokuwa wanadhihaki kifo cha JPM kuwa kumbe kila nafsi itaonja Mauti.Linapofika swala la kifo,sote tuwe na heshima ya kuweka mipaka ya kuongea na Mzee Makamba huu ni ukumbusho kwako.RIEP Jasusi Mbobezi [emoji120]
 
Hawakumshtaki kipindi kile kwa kuwa Musiba alikuwa anatumiwa na Magufuli kutukana watu, so alikuwa anamkingia kifua. Hakuna hakimu wala jaji angeweza kuwagusa team Magufuli na Sukuma Gang.

Lakini kama mahakama imemuonea mbona mwenyewe hajakata rufaa badala yake alikuwa anatuma watu kumuombea msamaha kwa Membe? Why?
Membe alifungua kesi wakati Magu bado yupo hai na ilianza kusikilizwa wakati huo, angalieni rekodi vizuri..
 
Sema ukweli tu kwamba wewe ni kati ya walioumizwa na kifo cha kipindi kile na sasa umeufurahishwa na kifo cha sasa hivi ila unajaribu kufanya ni ku present kwa namna ya kubalance ila lengo kuu wajitokeze wenzako kushangilia kupitia uzi huu.

Ila ujue tu kwamba, unao watafuta wala hawakuwahi kuwa upande wa Membe, ilitokea tu wakayaonga mkono madai na misimamo yake dhidi ya mtu wenu.

Kwa kujaribu kulazimisha kumuinua Membe ili mjisikie faraja inadhihirisha ninyi na mtu wenu mlikua ni Public enemies ndiyo maana hamjui ni wakati gani hasa wale mliowaumiza na wao mtawaona wakiumia na labda ndiyo maana sasa hivi kila matukio ya kuumiza watu yakitokea mnashangilia.

Wananchi wakilalamikia tozo mnaishia kusema ndiyo, lipeni tozo, si mliona mwendazake hafai?
Mkiona ajali zinawaumiza watu mnafurahia.

Vitu vikipanda bei na kuwaumiza watu mnafurahia.
Watu wakiuawa mnafuahia.
Huduma zikiwa mbovu na kuumiza watu mnafurahia.
Chochote kibaya sasa hivi mnakifurahia ili mradi kiumize watu.

Hii yote ni sababu washiriki wa utawala ule na wafuasi wao wote walikua ni public enemies.
Insha ndefu ila haieleweki,
 
Back
Top Bottom