Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Siumwi na niko timamu!!Tulia ulambe dawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siumwi na niko timamu!!Tulia ulambe dawa
Ngoma droo inaitwa
Hilo haliondoi zambi za muuaji yule, muuaji ni muuaji tuKafa kishujaa? Kufa kishujaa ndio nini wakati mnalialia humu hahaha! Lishakufa hilo dude huko kairuki, mjipange mkalifukie huku mkisubiri zamu ya anayefatia
Binti kama unawashwa kunako si umplekee kipenzi chako jiwe kaburini akakukune.hapana shoga, leo ni zamu ya mama yako. Umemchukulia pedi?
Haswaaaa tena la mbolea kabisa WEMA HAWAFI[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1476]Cha muhimu ni kwamba wema hawafi
Ahsanteni sana.Mpaka tufukie wote wanaojifanya hii nchi ni mali ya baba zao
Weka ushaidi wa nani alitesa watu! Nasema LETA USHAIDI. Unataka tuamini maneno matupu? Basi na wewe usiwapangie watu cha kusema amini wanachokiandika kama hautaleta ushaidiKwa hiyo kwa sababu ulimboka naye aliteswa ndo maana na yeye alitesa watu?!!!
Acha tufurahie bana.
Mzee Membe ameishi maisha yake, amefanya yake, muda umefika ameondoka..tatizo lipo kwa katili yule.
Lipo la zumaridu usiwakatishe tamaa labda ataambulia hilo [emoji1787][emoji1787][emoji24]Huo mwanga ulishauona????
Kuzimu kuna kuna jua la kuleta mwanga????
Mzee kaondoka fresh, hajakatili maisha ya mtuWema huwa hawafi!
By Makamba
Hivi nyie wafuasi wa fuasi wa Magufuli kwani nyie hamta kufa?
Kila binadamu lazima afe na hata huyo Magufuli alikufa kwasababu ni binadamu
Sasa mbona ulikua unampa membe hiyo puru? Kafwa huko atakupanda nani?Binti kama unawashwa kunako si umplekee kipenzi chako jiwe kaburini akakukune.
Mimi situmii mashoga.
Kuomboleza kifo cha mpendwa wetu Membe.
Na imeshaandikwa hivyo.Amina.Apumzike kwa amani.haijalishi kufa ni kufa tu msianze kujifariji na miaka kachero mbobezi kafa kafa tu kawa mwendazake
Sisi tulifurahia katili kuondoka, membe fresh tu hiyo, kawaida.Weka ushaidi wa nani alitesa watu! Nasema LETA USHAIDI. Unataka tuamini maneno matupu? Basi na wewe usiwapangie watu cha kusema amini wanachokiandika kama hautaleta ushaidi
Basi sawa... Tusimpe Mungu mizigo mingi..You people make alot of mistakes.So kila kifo ni kazi ya Mungu,hapana.Umefanya uovu wako,Satan is done with you ana ku-corner unakufa ni kazi ya Mungu,no.
Mchungaji ameingili wapi tenaCyprian musiba na Mchungaji Mashimo wamechinja ng'ombe na beer za kumwaga wanaserebuka
Membe ni nani kwangu.Sasa mbona ulikua unampa membe hiyo puru? Kafwa huko atakupanda nani?
JPM kwani alikua nani kwako?Membe ni nani kwangu.
Hana impact yoyote na mimi.
Nliyekuwa na bifu nae ni shetani jiwe.
Uzuri ni kwamba limekufa na sasa linaoza.
Nothing less nothing more.
Ukiumia kazikwe nae au kalale juu ya kaburi lake.
Yeah ni kweli,Mungu anatwisha mizigo mingi ambayo ni ya Shetani.Mashetani yameua yamekunywa damu through a Freemason agent,ni Mungu,mtu katolewa kafara ni Mungu,mtu kalogwa kafa ni Mungu,mtu kafa kwa ufuska wake kapata HIV-Aids ni Mungu,mtu kafa kwa ujinga wake kachanja C-19 so called Vaccine ni Mungu,comeon we must be serious.Basi sawa... Tusimpe Mungu mizigo mingi..
Ila tumshukuru tu