TANZIA Bernard Kamilius Membe afariki dunia
Kwa hiyo kwa sababu ulimboka naye aliteswa ndo maana na yeye alitesa watu?!!!
Acha tufurahie bana.
Mzee Membe ameishi maisha yake, amefanya yake, muda umefika ameondoka..tatizo lipo kwa katili yule.
Weka ushaidi wa nani alitesa watu! Nasema LETA USHAIDI. Unataka tuamini maneno matupu? Basi na wewe usiwapangie watu cha kusema amini wanachokiandika kama hautaleta ushaidi
 
Kufa lazima, lakini nyie Magufuli alipokufa mlikenua meno yote mpaka la mwisho na vigelegele juu, mbona leo nyie inawauma? Au sisi tulizika tofali? Mnavyoumia nyinyi na sisi tuliumia hivyo hivyo kwahiyo kaeni kwa kutulia dawa iingie.
Hivi nyie wafuasi wa fuasi wa Magufuli kwani nyie hamta kufa?
Kila binadamu lazima afe na hata huyo Magufuli alikufa kwasababu ni binadamu
 
Sasa mbona ulikua unampa membe hiyo puru? Kafwa huko atakupanda nani?
Membe ni nani kwangu.

Hana impact yoyote na mimi.

Nliyekuwa na bifu nae ni shetani jiwe.

Uzuri ni kwamba limekufa na sasa linaoza.

Nothing less nothing more.

Ukiumia kazikwe nae au kalale juu ya kaburi lake.
 
Membe ni nani kwangu.

Hana impact yoyote na mimi.

Nliyekuwa na bifu nae ni shetani jiwe.

Uzuri ni kwamba limekufa na sasa linaoza.

Nothing less nothing more.

Ukiumia kazikwe nae au kalale juu ya kaburi lake.
JPM kwani alikua nani kwako?
Mlikutana wapi akakuimpact?
We ni fala tu uliyerithishwa chuki sexually na huyo mmeo membe aliyekufwa.
Naenda kuzikwa na membe
 
Basi sawa... Tusimpe Mungu mizigo mingi..
Ila tumshukuru tu
Yeah ni kweli,Mungu anatwisha mizigo mingi ambayo ni ya Shetani.Mashetani yameua yamekunywa damu through a Freemason agent,ni Mungu,mtu katolewa kafara ni Mungu,mtu kalogwa kafa ni Mungu,mtu kafa kwa ufuska wake kapata HIV-Aids ni Mungu,mtu kafa kwa ujinga wake kachanja C-19 so called Vaccine ni Mungu,comeon we must be serious.
 
Back
Top Bottom