Ubaya ni musiba hujui ety 9bln ya kumchafua na pesa hampati tunafurahia maneno ya nape na makamba decree in a civil matter dies with the Plaintiff/Decree Holder's death. It cannot be inherited or be put under administration of his/her estate
Sheria Gani hiyo mkuu? Wanaorithi Mali huwa wanaorithi assets and liabilities ndio maana Kuna watu wanadai Hadi haki za nyimbo za marehemu Babu zao!!

Kingine Membe hakuwa na shida na billions alikua na shida na kumfilisi huyo jamaa kwa makosa ya kumchafua mtu (Maana brand can be valued). Kwa hiyo tusipiganie haki sababu tutakufa?

Reasoning za kimasikini sana
 
Cha muhimu ni kwamba wema hawafi
 
Hivi nyie wafuasi wa fuasi wa Magufuli kwani nyie hamta kufa?
Kila binadamu lazima afe na hata huyo Magufuli alikufa kwasababu ni binadamu
 
Tulia ulambe dawa
 
Kazi nzuri ni ile inayokupatia uhuru hata wa kujitambulisha unakofanya kazi
 
Sijui kwanini leo nimefurahi hivi[emoji23][emoji23][emoji23] Halafu membe si alichanja hadharani?
Damu imeganda fast [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ana bahati tu kwa sababu ya matumizi ya ARV; vinginevyo na yeye ingesoma
Kweli. Nilimwona siku moja nikahisi kuna jambo kwake haliko sawa.

Aendelee tu kutafuna hayo madude lakini Iko siku yake inakuja nayo i karibu sana
 
Weka ushaidi wa nani alitesa watu. Weka ushaidi. Halafu utuambie nani alimtesa ULIMBOKA, Nani alimuua MWANGOSI, nani alimuua mfanyabiashara wa MAHENGE ! Nani nauliza
Kwa hiyo kwa sababu ulimboka naye aliteswa ndo maana na yeye alitesa watu?!!!
Acha tufurahie bana.
Mzee Membe ameishi maisha yake, amefanya yake, muda umefika ameondoka..tatizo lipo kwa katili yule.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…