zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
Sheria Gani hiyo mkuu? Wanaorithi Mali huwa wanaorithi assets and liabilities ndio maana Kuna watu wanadai Hadi haki za nyimbo za marehemu Babu zao!!Ubaya ni musiba hujui ety 9bln ya kumchafua na pesa hampati tunafurahia maneno ya nape na makamba decree in a civil matter dies with the Plaintiff/Decree Holder's death. It cannot be inherited or be put under administration of his/her estate
Cha muhimu ni kwamba wema hawafiAmestaafu so Hana impact same na Lowassa au Salim Leo wakifariki Kuna impact yoyote? Ila wa JPM ulikua unique sababu kafia madarakani lakini pia alikua very powerful kama Putin hivi.
So msitafute consolation kwa misiba mingine, nothing beats kifo cha Rais madarakani
Huo mwanga ulishauona????Mwanga wa milele umuangazie ee bwana
Apumzike kwa amani.
Tulia ulambe dawaKama Taifa tunatakiwa tutoke kwenye siasa hizi za chuki zilizozalishwa baada ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2015. Baada ya Uchaguzi ule na John Pombe Magufuli kuingia madarakani, kulitokea uhasama mkubwa sana kati ya watu waliokuwa wanamuunga mkono na wale waliokuwa wanapingana na staili yake ya utawala.
Leo Baada ya kutangazwa kwa Kifo cha Bernard Camilius Membe, unaona kabisa limeibuka kundi la watu humu JF ni kama wanahanikiza furaha yao kwa kifo cha Membe. Watu hao ambao wanajificha nyuma ya kuonesha furaha kwamba Cyprian Musiba hatalipa tena hela alizotakiwa kumlipa Membe, lakini kwa undani unaona kinachowafurahisha zaidi ni kuona mmojawapo wa wapinzani wa Magufuli naye Kafariki.
Wakumbuke kwamba ni wao waliokuwa wanasema wakati wa msiba wa Magufuli kwamba "hakuna atakayeishi milele" na Leo ni ushahidi mwingine kwamba hakuna atakayeishi milele.
Watu wafanye maridhiano dhidi ya nafsi zao!!
Wakali kuhusu nini boss?Leo mmekuwa wakali na wachungu balaa😆😆😆😆
You people make alot of mistakes.So kila kifo ni kazi ya Mungu,hapana.Umefanya uovu wako,Satan is done with you ana ku-corner unakufa ni kazi ya Mungu,no.Sawa sawa mzee.... Ila Kazi yake Mola haina makosa
Kazi nzuri ni ile inayokupatia uhuru hata wa kujitambulisha unakofanya kaziSpotters wa TISS wakikuona unafaa wanakuchukua,wapo kila mahali,nilipokua a level na 20 yrs,spotter aliniona akanifata,kwa akili za kitoto nilikataa,alinibembeleza Hadi tunamaliza six,nkagoma...huwa najuta sometimes japo pengine ningekua nshachezea shaba
Kaingizwa Chimbo na Wakatoliki,kama Dr.Slaa.Jamaa ana shahada ila vyuo alivyosoma havijulikani
Mbona sisi tunamuombea Yule gaidi w chato pamoja na yote aliyoyafanya, rip membe...Mwombee wewe, usitujumuishe na takataka yako.
Damu imeganda fast [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sijui kwanini leo nimefurahi hivi[emoji23][emoji23][emoji23] Halafu membe si alichanja hadharani?
Ngoma droo inaitwaTunashukru ubao unasoma 1_1
Kweli. Nilimwona siku moja nikahisi kuna jambo kwake haliko sawa.Ana bahati tu kwa sababu ya matumizi ya ARV; vinginevyo na yeye ingesoma
[emoji1][emoji1][emoji16][emoji16]Kwiii kwiii kwiii akifufuka pale pochwari atapigwa rungu moja akufweee tena, hzo bilioni atazisikia makaburini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuomboleza kifo cha mpendwa wetu Membe.
Kwa hiyo kwa sababu ulimboka naye aliteswa ndo maana na yeye alitesa watu?!!!Weka ushaidi wa nani alitesa watu. Weka ushaidi. Halafu utuambie nani alimtesa ULIMBOKA, Nani alimuua MWANGOSI, nani alimuua mfanyabiashara wa MAHENGE ! Nani nauliza
Baby mambo[emoji102]