👊🏾👊🏾
 
Sasa unawaza nini wakati aliyeukwaa uraisi 2015 nae alishafariki hata kabla ya Membe
 
RIP Kachero uliyemfunza Adabu Musiba,
By the way, kwani deni si lipp palepale? na Je ni Hayati Pekee ndo aikuwa anamdai Musiba si wapo wengine, nia ni kutokumpa gap huyu Mwanakijiji Musiba!!
Deni halifi na Marehemu, hapo kuna Mrithi wa marehemu atakeyerithi pia madeni ya marehemu kwa mujibu wa Sheria ya Mirathi! Labda amsamehe!
 
Poleni sana japo kwenye kifo cha mpendwa wetu Magufuli mlitucheka sana, Leo kwangu kesho kwako hayo ndio maisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…