Kuamini kuwa musiba angelipa hilo deni ni ujuha wa hali ya juuSheria Gani hiyo mkuu? Wanaorithi Mali huwa wanaorithi assets and liabilities ndio maana Kuna watu wanadai Hadi haki za nyimbo za marehemu Babu zao!!
Kingine Membe hakuwa na shida na billions alikua na shida na kumfilisi huyo jamaa kwa makosa ya kumchafua mtu (Maana brand can be valued). Kwa hiyo tusipiganie haki sababu tutakufa?
Reasoning za kimasikini sana
Niliona hiiiKuna mtu alikuwa ameshamtabiria BM umakamu wa Rais.
Sawa mkuu, karibu chai huku tukisubiri taarifa ya habari saa 2 ITVYeah ni kweli,Mungu anatwisha mizigo mingi ambayo ni ya Shetani.Mashetani yanaua yanakunywa damu ni Mungu,mtu katolewa kafara ni Mungu,mtu kalogwa kafa ni Mungu,comeon we must be serious.
Mpumbavu kweli wewe.JPM kwani alikua nani kwako?
Mlikutana wapi akakuimpact?
We ni fala tu uliyerithishwa chuki sexually na huyo mmeo membe aliyekufwa.
Naenda kuzikwa na membe
Asingekupa hayo maneno usingepambana?R.I.P mzee mara ya mwisho tulikutana hotel flan na huyu mzee akanipa maneno ya kupambana sna kama kijana
Jaribu kuwachokoza!Duuuuh hivi uchawi huu upo kweli?
Ila kama wewe ni Mwislamu safi au Mkristo safi sidhani kama uchawi huu utafanya kazi.
Membe alifungua kesi wakati Magu bado yupo hai na ilianza kusikilizwa wakati huo, angalieni rekodi vizuri..Hawakumshtaki kipindi kile kwa kuwa Musiba alikuwa anatumiwa na Magufuli kutukana watu, so alikuwa anamkingia kifua. Hakuna hakimu wala jaji angeweza kuwagusa team Magufuli na Sukuma Gang.
Lakini kama mahakama imemuonea mbona mwenyewe hajakata rufaa badala yake alikuwa anatuma watu kumuombea msamaha kwa Membe? Why?
Ina vywanzo vyovyote? Maana hakuwa na tatizo,..Daktari wake anasema kwa kitaalam inaitwa pulmonary embolism
Unamaanisha nnHivi kuna mtu au Mtanzania yoyote ambaye si mtumishi wao aliyewahi kwenda ku-print documents zake au kupiga photocopies tu ktk stationery au kiwanda cha TISS?
Kama yupo tunaomba ajitokeze ili tupate uzoefu mpya kutoka kwake.
Alimfanyia nini gadaffi??Mimi sikujua kama Membe nae atakufa nimeumia sana japo alimfanyia sivyo Gadafi
Aisee..Hawa watu wawe wanaandika vitabu mapema ona Sasa ametukosesha mengi..
Huyu anajua Siri nyingi sana
Insha ndefu ila haieleweki,Sema ukweli tu kwamba wewe ni kati ya walioumizwa na kifo cha kipindi kile na sasa umeufurahishwa na kifo cha sasa hivi ila unajaribu kufanya ni ku present kwa namna ya kubalance ila lengo kuu wajitokeze wenzako kushangilia kupitia uzi huu.
Ila ujue tu kwamba, unao watafuta wala hawakuwahi kuwa upande wa Membe, ilitokea tu wakayaonga mkono madai na misimamo yake dhidi ya mtu wenu.
Kwa kujaribu kulazimisha kumuinua Membe ili mjisikie faraja inadhihirisha ninyi na mtu wenu mlikua ni Public enemies ndiyo maana hamjui ni wakati gani hasa wale mliowaumiza na wao mtawaona wakiumia na labda ndiyo maana sasa hivi kila matukio ya kuumiza watu yakitokea mnashangilia.
Wananchi wakilalamikia tozo mnaishia kusema ndiyo, lipeni tozo, si mliona mwendazake hafai?
Mkiona ajali zinawaumiza watu mnafurahia.
Vitu vikipanda bei na kuwaumiza watu mnafurahia.
Watu wakiuawa mnafuahia.
Huduma zikiwa mbovu na kuumiza watu mnafurahia.
Chochote kibaya sasa hivi mnakifurahia ili mradi kiumize watu.
Hii yote ni sababu washiriki wa utawala ule na wafuasi wao wote walikua ni public enemies.
Baada ya Gadafi kuuliwa zilipita kama siku mbili balozi wa libya Tanzania aliuliwa inasemekana mwamba alibeba mifweza ya libya iliyokuwa ubaloziniAlimfanyia nini gadaffi??