TANZIA Bernard Kamilius Membe afariki dunia
Kama sina kazi nakula nn? Unajua binadamu tumepewa utashi lakin tuna uvivu wa kuutumia. Mimi naishi kama kawaida mipango inaenda. Ina maana kila siku lazma nile ninywe. Je kama sina kaz nakual nn?
Uko nje ya maana kabisaa, but sorry best.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Amestaafu so Hana impact same na Lowassa au Salim Leo wakifariki Kuna impact yoyote? Ila wa JPM ulikua unique sababu kafia madarakani lakini pia alikua very powerful kama Putin hivi.

So msitafute consolation kwa misiba mingine, nothing beats kifo cha Rais madarakani
Membe kafaaaaa jaman, hebu tuachee bhana wee. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kufa lazima, lakini nyie Magufuli alipokufa mlikenua meno yote mpaka la mwisho na vigelegele juu, mbona leo nyie inawauma? Au sisi tulizika tofali? Mnavyoumia nyinyi na sisi tuliumia hivyo hivyo kwahiyo kaeni kwa kutulia dawa iingie.
Msiba wao unaagwa karimjee hall kwa watu baadhi, akati JPM taifa zima lililia kwa mkapaa.

J4 ije haraka wamfukie mtu wao, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Katika vifo ambavyo mtu anaweza akalala uaingizi mnono, kucheka peke yake na kujibaraguza kuwa ana huzuni, kutohoa tabia zake na kuwa mlevi ama mzinzi kwa kujifariji ni hiki kifo cha Membe kwa hasimu wake Musiba!

Ciprian Musiba sasa hivi anajipongeza kwa njia ya kimojawapo nilivyovitaja hapo juu!
Alibanwa mbavu na dunia aliona imemchukia.
Lakini kupitia hili tukio, Musiba ana kila aina ya furaha na faraja isiyo kifani.
Sio Musiba pekee yake, wako wengiiiiiii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu weuweeeeeeerrr
 
Back
Top Bottom