Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
🙏Duh! Umenifikirisha Sana wee jamaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🙏Duh! Umenifikirisha Sana wee jamaa
[emoji1787][emoji1787]Punguza jazba mkuu relux, kunywa maji then futamajasho, wazuri hamfi.yule alikuwa ibilisi, watanzania wanateseka mpaka leo kwasababu ya yule mwovu, wasomi wanadhalilika mitaani kwasababu ya yule shetani. Membe amewakosea nini watanzania? Hajawahi kuwa na cheo cha yule mfu wenu. Mtaweweseka sana ndio ameshakufa na hawezi kufufuka. Bila haya, mkombozi wetu, alikukomboa wapi we mpumbavu
Sawasawa 👍 👍Maana ya Neno huwa kwa msemaji wa neno.
Sukuma gang hamkumuelewa Mzee Makamba au ni sababu ya chuki na nongwa tu?
Mbona ni msemo wa kawaida miongoni mwa wasomi na werevu?
Kwamba watu wema hawafi maana yake “ wanakuwa kama vile wamelala tu sababu matendo yao mema yanabaki kuishi”
Ni msemo wa kawaida miongoni mwa jamii ya waelewa.
Na unahamasisha watu kutenda mema ili wakifa yale matendo yao mema yatakuwa yakienziwa kana kwamba wapo hai.
Asomaye na afahamu.
Una ubaya wewe ni malaika hadi useme una ubaya tena wewe unaonekana ni mbakaji. Hayo mabaya aliokufanyia magufuli una ushahidi nayo.Yeah Mimi nitakufa but Sina ubaya niliomfanyia mtu tofauti na huyo ibilisi wenu aliumiza wengi sana. Ni sawa Leo ushangilie kifo cha Lowassa?? Itasaidia Nini?
Ndiyo mmejua Leo eh baada kupigwa kitu kizito😆😆😆Afya ya taifa si nzuri hata kidogo. Taifa linagitaji uponyaji. Visasi hakuna mahaala vitatufikisha.
Kama ulishindwa kung'amua maana ya huo msemo basi wewe ni kilaza kweli kweli, labda nikuulize swali ni mazingira gani yalisababisha Makamba akaropoka hiyo kauli?.
Hakuna atake shangilia kifo cha lowasaYeah Mimi nitakufa but Sina ubaya niliomfanyia mtu tofauti na huyo ibilisi wenu aliumiza wengi sana. Ni sawa Leo ushangilie kifo cha Lowassa?? Itasaidia Nini?
Acha kupaka rangi upepo dogo!Maana ya Neno huwa kwa msemaji wa neno.
Sukuma gang hamkumuelewa Mzee Makamba au ni sababu ya chuki na nongwa tu?
Mbona ni msemo wa kawaida miongoni mwa wasomi na werevu?
Kwamba watu wema hawafi maana yake “ wanakuwa kama vile wamelala tu sababu matendo yao mema yanabaki kuishi”
Ni msemo wa kawaida miongoni mwa jamii ya waelewa.
Na unahamasisha watu kutenda mema ili wakifa yale matendo yao mema yatakuwa yakienziwa kana kwamba wapo hai.
Asomaye na afahamu.
Sasa Zitto = mangeNa wewe ni mange!? Mange ni kichaa kama wewe pole
Hakuna? Hivi si sukuma gang mlikua mnamdhihaki Lowassa kuwa hawezi piga push up mara sijui anajinyea? Mkasema hatofika 2020?Hakuna atake shangilia kifo cha lowasa
Ila nyie magenge ya wahuni lazima tushelekee
Si aligombea U rais chama chenu cha Act leo una mkana tena wewe zittoWaambie CCM mie sipo huko
😂😂😂😂Mungu ameamua ugomvi alijisemea Nape
Wewe bwege nyamaza! Kambi yenu ya walamba asali leo hamlali vizuri!Hakuna? Hivi si sukuma gang mlikua mnamdhihaki Lowassa kuwa hawezi piga push up mara sijui anajinyea? Mkasema hatofika 2020?
Nyie ni waovu, chuki mlizipanda wenyewe Sasa Leo zinaipasua nchi.
Mimi ni zitto junior CHADEMA damu damu kutokea Kigoma mgombea wetu alikua Lissu ambaye mlijaribu kumuua ila Cha ajabu mkatangulia nyie kuzikwaSi aligombea U rais chama chenu cha Act leo una mkana tena wewe zitto
Hapana alikua,baba yake alijulikana kuwa ni TISS na kijana alifanya kazi balozi mbalimbali,kwa Sasa ni marehemu,alifariki 2007Una ushahidi kuwa alikuwa spotter na si tapeli? Vipi kama alikuwa anakutega ili akutoe kafara?
Jitekenye na kujitia dole mwenyewe kisha nusa, Wakili wa Membe tayari ameshatowa statement madai yako pale pale.Hata mimi nashangaa eti wanaomdai Musiba waendelee kushindana na Musiba wakati trela ya picha imeonekana. Labda kama wanakuwa wamedhulumiwa pesa, lakini fidia watapotezea tu kuliko kutangulia
Ushirikina upo na unafanya kazi.
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Kambi ipi? JPM CCM na Membe ni CCM Sasa nakosaje usingizi? Mnachekesha kweli nyie yatima wa ChatoWewe bwege nyamaza! Kambi yenu ya walamba asali leo hamlali vizuri!
Uraisi agombee mara ngapiCampaign manager? nikadhani mgombea!!?
Mungu ameingilia kati, ukiua kwa upanga utakufa kwa upanga... karma is a bitchSukuma gang hao mawakala wa shetani mtoa roho,Achana nao fanya kazi yako endelea kumtukuza Mingu kwa kukupa uhai na kushuhudia utukufu wake.Membe kafa kifo chema Miaka 70 wengine hatutafika huko hata yule dhalimu hakufikisha hiyo miaka.